Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Ha ha ha...yanatokea Sana Ayo.
Kama alivosema mkuu Noelia , furaha haipaswi kupambaniwa kiparoko.

Mwanaume Lazima uvae silaha zote uingie vitani upambanie furaha yako[emoji4]
Mi sijui ni kiburi sijawahi kumpambania mwanaume kihivyo, ila huyu niliyenae mh nikinusa mchepuko najiona kumpiga mtu tukio, Mungu anisaidie sana maana nampenda kufwaa😂 japo mie ndo mama mjengo ila sijabweteka kifala
 
Mi sijui ni kiburi sijawahi kumpambania mwanaume kihivyo, ila huyu niliyenae mh nikinusa mchepuko najiona kumpiga mtu tukio, Mungu anisaidie sana maana nampenda kufwaa[emoji23] japo mie ndo mama mjengo ila sijabweteka kifala
Kubweteka hakufai kabisa mkuu[emoji4]
 
Wamwaga maji wapo wengi sogea pande hii ya ziwani bro, asije kukupa magonjwa tu maana duh inataka moyo kula unapojua kbs kuna mtu ametoka kula hapo hapo, na inaonekana mkandarasi alipendwa kwa dhati kuzidi wewe Basi ndo hivyo akili ukawazidi wote
Mjini akili mkuu,
Walipendana Sana mi mwnyw nilijua Hilo,

Sema mwnyw mwanamke akawa muoga kuniacha, afu anaficha nisijue akiendelea kutamani kunifaidi Kama danga lake tu[emoji4]
 
Mjini akili mkuu,
Walipendana Sana mi mwnyw nilijua Hilo,

Sema mwnyw mwanamke akawa muoga kuniacha, afu anaficha nisijue akiendelea kutamani kunifaidi Kama danga lake tu[emoji4]
Mtumie tu, akili hana
 
Umeona eeh[emoji4]
Unajua Kuna MDA huwa huruma inaniingia kwa nnavombania ila nawaza kumfanyia makubwa

Sema kwa akili yake waruwaru hakawiagi kunivuruga kichwa
Kumeza na kutema vyote chungu,, endelea kufaidika na utamu mengineyo utajua yatakapojitokeza, msemo wa Lowasa tutavuka mto tutakapolifikia daraja
 
Back
Top Bottom