Nakadori
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 8,778
- 21,010
Ndo utulie sasaKwakweli zilindwe TU[emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo utulie sasaKwakweli zilindwe TU[emoji4]
Mi sijui ni kiburi sijawahi kumpambania mwanaume kihivyo, ila huyu niliyenae mh nikinusa mchepuko najiona kumpiga mtu tukio, Mungu anisaidie sana maana nampenda kufwaa😂 japo mie ndo mama mjengo ila sijabweteka kifalaHa ha ha...yanatokea Sana Ayo.
Kama alivosema mkuu Noelia , furaha haipaswi kupambaniwa kiparoko.
Mwanaume Lazima uvae silaha zote uingie vitani upambanie furaha yako[emoji4]
Hahahahaha mbingu utaiona kwenye cartoon Wallah nakuapiaKama ulikuepo mkuu, Chama changu kile[emoji4]
Kwann umesema hivo mkuu?
Kubweteka hakufai kabisa mkuu[emoji4]Mi sijui ni kiburi sijawahi kumpambania mwanaume kihivyo, ila huyu niliyenae mh nikinusa mchepuko najiona kumpiga mtu tukio, Mungu anisaidie sana maana nampenda kufwaa[emoji23] japo mie ndo mama mjengo ila sijabweteka kifala
Mjini akili mkuu,Wamwaga maji wapo wengi sogea pande hii ya ziwani bro, asije kukupa magonjwa tu maana duh inataka moyo kula unapojua kbs kuna mtu ametoka kula hapo hapo, na inaonekana mkandarasi alipendwa kwa dhati kuzidi wewe Basi ndo hivyo akili ukawazidi wote
Mtumie tu, akili hanaMjini akili mkuu,
Walipendana Sana mi mwnyw nilijua Hilo,
Sema mwnyw mwanamke akawa muoga kuniacha, afu anaficha nisijue akiendelea kutamani kunifaidi Kama danga lake tu[emoji4]
Na mnapendana kweli kweliNtafanyaje Sasa na yeye ndo ananifikisha kileleni.
Kiufupi tumekutana kichupa na mfuniko wake[emoji12]
Kumeza na kutema vyote chungu,, endelea kufaidika na utamu mengineyo utajua yatakapojitokeza, msemo wa Lowasa tutavuka mto tutakapolifikia darajaUmeona eeh[emoji4]
Unajua Kuna MDA huwa huruma inaniingia kwa nnavombania ila nawaza kumfanyia makubwa
Sema kwa akili yake waruwaru hakawiagi kunivuruga kichwa
Si ndio hicho Cha mtu ushakiiba na mbinu zako za kibedui.Mi mbona mtu Safi Sana mkuu, maana sijawai iba Cha mtu[emoji2]
Huo ni ujinga ukiharibu uhusiano wa watu kwa kumlaghai mmoja wapo ujue hata wewe tukimlaghai atakutoroka akapigwe pumb kwingineSasa ulivuruga mipango yao yakuoana huyo mchepuko utamuoa wewe?
Ni ubinafsi tuHuo ni ujinga ukiharibu uhusiano wa watu kwa kumlaghai mmoja wapo ujue hata wewe tukimlaghai atakutoroka akapigwe pumb kwingine
Ndio naiona hapa bado nasoma...ilaaaaaaa......