Ushawahi fanya figisu kuvuruga mahusiano ya watu ili awe wako?

Mdogo wangu aliwahi jaribu hiyo ikafaulu, mwanamke ana niambia kuna kaka mnafanana, ila kabla sijagonga nikapata safari kurudi nae kahama mkoa
Dah! Pole Sana mkuu, ulipishana na utamu[emoji2]
 
Ha ha ha..kwann Tena mkuu[emoji4]
Hahaha wewe kichaa wangu nipe siku 30-60 nitakupa mrejesho mmoja babkubwa. Mimi nimeweka pesa ifanye kazi na kazi ilianza vizuri sana five days ago. Tayari mpango mkakati umeshaletwa mezani.....

Kazi inaenda vizuri sana,hii nimeopt kutoka zile Documentaries za Cheaters na Serial killers. Kuna ABCs nzuri sana. Yaani unacheka na mtu kumbe ndio hivyo Tena.
 
Ha ha ha.....
Nasubir huo mrejesho chief[emoji4][emoji109]
 

Hizi ndio zenyewe za kibaharia, ila uko smart kichwani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siko kwenye mood naweza kujibu tofaut nkakukwaza mkuu... niache kwanza...Nipo kwenye process ya kujifunza kuwa mtu mwema
Usijali dear mimi mwenyewe sina nia mbaya wala sitaki kukukasisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…