Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Huu uzi umejaa chai tupu, kila mwanaume ni " meneja"

Mmoja tu humu kwenye huu uzi namuamini na story zake coz namjua, yuko njema lkn hafaninii kabisa na visenti vyake[emoji16][emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wanaume kwa kujimwambafai bana
 
Hahaha ndio kabisaaaaa tunapata wake tunaowaoa katika mazingira ya ajabu.. ndio maana unaambiwa NDOA BAHATI
sasa mkeo unamuita demu na wewe[emoji2] mi nikajua umemuacha single mother
ni kweli ndoa bahati sio kila mtu anayo , japo mwenzangu alijitoa kimasomaso ,maana mimi nikiambiwa tafuta mwanaume wa maana uolewe hii kauli siielewi[emoji2] sasa mi nitafute mwanaume namtafutia wapi
 
Ndevu na nywele zangu hazinaga ushirikianao, hivyo nywele uwa nanyoa kila wiki zikae size ya chini kabisa, ndevu naziacha lakini ziko kidevuni tu nazo hata niziache miezi hazizidi kimo flani.
Nilimsikia F.a anasema alianza kuwa na mwili alipoanza kwenda ym ili awe anakula sana, namimi nina mpango huo maana mwili hauna shukrani huu.

Mm ni gym trainer, nitafute
 
Kuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
😂😂😂😂 Wangari Maathai njoo msikilize mdogo wako huku
 
Hapo umezingua aisee
Usingeshoboka kwa mara nyingine ungempotezea tu angeumia alafu angekutafuta mwenyewe [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku moja nikiwa bank ya Exim na deposit pesa, while tupo kwenye foleni ghafla alikuja mzee fulani ana asili ya kihindi, mzee alikua normal tu yani ukimuona alivyo unaweza sema ni homeless maana allikua kawaida sana. Sisi tupo kwenye foleni ghalfa akaja nahisi ni meneja wa bank akasema jamani naombeni mmpisheni huyu babu hapa, nyie wote hamieni dirisha lingine, muda si mrefu mtu wa kuwahudumia atakuja.

Kiukweli yule mzee binafsi sikua nimemdharau kama ile dharau ya kujikweza, ila kiukweli nilikua nimemchukulia poa, hasa ukijumlisha na tukio la kuhamishwa dirisha la kupata huduma.

Yule mzee bhana alikua na begi kubwa kama la wale wanaopandia milima, alifungua akatoa rambo (kipindi hicho zilikua hazijafungiwa) rambo kubwa zile za kufungia mabegi kama mtu unasafiri.
Aiseh ile rambo ilikua imejaa pesa mpaka juu haifungi vizuri, kwa haraka haraka zilikua zinaonekana noti za elfu 10 kwenye mabunda ya kama milioni 1, moja hivi, . Kiukweli kila mtu alibaki ameduwaa, basi binafsi nikiangalia pesa niliyokua na deposit nikachoka kabisa nikajisemea hakika hapa dunia kuna wengine tunawasindikiza watu kuishi [emoji3]

All in all lesson niliyopata siku ile ni kwamba usimchukulie mtu yoyote poa.
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni flani.Basi siku hiyo ninetoka kufanya mazoezi ya kukimbia kama kawaida yangu asubuhi.Halafu kipindi hicho mvua ilikuwa imenyesha usiku,Sasa ninerudi pale kazini nikawa nipo napiga story na walinzi zile raba na track zimechafuka balaa.Wakaja wadada wawili na boda boda mi nkaanza kuwasalimia kwa bashasha afu ndo nilikuwa naondoka kujipiga maji.Basi wale wadada wote walinipandisha kuanzia juu hadi chini wala hawakuitikia salam wakanipita wakaenda kwa walinzi,Basi mi nkaona noma nkaondoka zangu.Kumbe wale wadada wamekuja kumuulizia meneja wameleta barua za kuomba kazi na meneja mwenyew ni mimi.Nilivorudi walinzi wananambia wale wadada walikuwa wana shida na wewe wameacha barua zao za kuomba kazi.Nikasema mbona hawajanisubiri wakasema wameona aibu,jinsi walivokudharau.Kesho yake wakarudi kuomba nnamba zangu kwa walinzi mi sikuwepo nilienda mkoani walinzi wakanipigia nikawaambia wapeni tu.Kila mmoja akawa ananipigia kwa mda wake,na wote walichezea rungu ila kazi hawakupata walikuwa wangoni mmoja alidata hadi tukabahatika pata mtoto.
[emoji23] [emoji23]
 
Nina rafiki yangu tunapenda kumuita (mlela) ni kapuku na hana mbele wala nyuma. Si wakuzalaulika yaani hata du awe mkali vipi lazima akae kwa huyu mwamba. Na hata kumi,
Na hata uwe mkuda vipi huyu mwamba akiamua akutapeli lazima ukae.
Kwanza maneno anayo na waweza ona ni mtoto wa kishua hata avar bukta ya 1500.
Mlela kama unapita hii bigup sana kaka
 
Back
Top Bottom