witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]kwenye huu uzi kila mmoja ni menejaMkuu tuelezane kidogo. Wewe ni meneja??[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16]kwenye huu uzi kila mmoja ni menejaMkuu tuelezane kidogo. Wewe ni meneja??[emoji848]
Nawe ni " meneja" mkuu
Ok ok mkuu, nimeelewaKipindi hicho sema nilikuja kutumbuliwa badae umeneja umebaki kama story tu ya maisha yangu.
Ok ok mkuu, nimeelewa
[emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wanaume kwa kujimwambafai bana[emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huu uzi umejaa chai tupu, kila mwanaume ni " meneja"
Mmoja tu humu kwenye huu uzi namuamini na story zake coz namjua, yuko njema lkn hafaninii kabisa na visenti vyake[emoji16][emoji16]
sasa mkeo unamuita demu na wewe[emoji2] mi nikajua umemuacha single motherHahaha ndio kabisaaaaa tunapata wake tunaowaoa katika mazingira ya ajabu.. ndio maana unaambiwa NDOA BAHATI
Ndevu na nywele zangu hazinaga ushirikianao, hivyo nywele uwa nanyoa kila wiki zikae size ya chini kabisa, ndevu naziacha lakini ziko kidevuni tu nazo hata niziache miezi hazizidi kimo flani.
Nilimsikia F.a anasema alianza kuwa na mwili alipoanza kwenda ym ili awe anakula sana, namimi nina mpango huo maana mwili hauna shukrani huu.
Mmmh huyu si Frank wa Caldet Mikocheni?View attachment 1552819
Niaje mazee, its Sunday again. Glory to God!
Daaah huu uzi nilijua tu kuwa kuna watu wataumbuka[emoji16][emoji23][emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]wanaume kwa kujimwambafai bana
😂😂😂😂 Wangari Maathai njoo msikilize mdogo wako hukuKuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
Karibu ABSA kwa usalama wa fedha zako.😂😂😂😂 Wangari Maathai njoo msikilize mdogo wako huku
😂😂😂aje Morocco kufanya nini?Yes ABSA TZ njoo Morocco.
mkuu upo kwenye oppa yako au sioView attachment 1552819
Niaje mazee, its Sunday again. Glory to God!
umesharudi toka morogoro?Karibu ABSA kwa usalama wa fedha zako.
Weunaonaje kwani.umesharudi toka morogoro?
[emoji23] [emoji23]Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi kampuni flani.Basi siku hiyo ninetoka kufanya mazoezi ya kukimbia kama kawaida yangu asubuhi.Halafu kipindi hicho mvua ilikuwa imenyesha usiku,Sasa ninerudi pale kazini nikawa nipo napiga story na walinzi zile raba na track zimechafuka balaa.Wakaja wadada wawili na boda boda mi nkaanza kuwasalimia kwa bashasha afu ndo nilikuwa naondoka kujipiga maji.Basi wale wadada wote walinipandisha kuanzia juu hadi chini wala hawakuitikia salam wakanipita wakaenda kwa walinzi,Basi mi nkaona noma nkaondoka zangu.Kumbe wale wadada wamekuja kumuulizia meneja wameleta barua za kuomba kazi na meneja mwenyew ni mimi.Nilivorudi walinzi wananambia wale wadada walikuwa wana shida na wewe wameacha barua zao za kuomba kazi.Nikasema mbona hawajanisubiri wakasema wameona aibu,jinsi walivokudharau.Kesho yake wakarudi kuomba nnamba zangu kwa walinzi mi sikuwepo nilienda mkoani walinzi wakanipigia nikawaambia wapeni tu.Kila mmoja akawa ananipigia kwa mda wake,na wote walichezea rungu ila kazi hawakupata walikuwa wangoni mmoja alidata hadi tukabahatika pata mtoto.
bado sion mkuuWeunaonaje kwani.