Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Aisee
 
Wangari Maathai 😂😂😂
 
Chai.
 
we nakuona unataka kunifundisha tabia mbaya wewe..
Hahaha, unajua wabongo hizi hoteli za 5 Star tunakosea sana ukifika unaanza chips kuku mala pizza. Ww wasumbue naomba glas ya juice alafu baada ya dk 40 niletee fungu la mchicha usiungie kitunguu weka karot tu na ndizi moja ya kuchemsha pembeni. Ukishatoa maelekezo unawasha data unaanza kuchati huku unasubiri washkaji waje.
 
Kuijua mitaa ya dar tu ndio unajisifia?
 
Kuijua mitaa ya dar tu ndio unajisifia?
Nilijua tuu watu kama nyie hamkosi maeneo haya

Ila elewa dhamira ya uzi mkuu, uzi unasema tulio wahi kuchukuliwa powa powa sasa na mimi huyo demu alinichukulia powa kule bush kana kwamba ckuwa na umuhimu ktk hii Dunia pia mpaka yeye mwenyewe alidiriki kunitumia sms akíkiri makosa yake unafikiri kuna nini hapo kama siyo nafsi ilimsuta.
 
Nimefurah 😂😂 Ila pia nimejifunza ,girls love to be cheated...
 
Nlimwagizia mtu mzigo flan, wakati wa kufanyiwa delivery kwa maagizo yake bila kunihusiha mimi bahati mbaya mzigo wake ukapata shida, alivoniita akademand mzigo mpya bila kujal kua sikua na dhamna nao tena baada ya yeye kutoa maagizo apelekewe.
Siku nmekutana nae akiwa na mzee wake walinidharau sana mzee alitamka wazi waz huyu hio hela ataitoa wapi? Maana ilikua kama 18m
Mzee akasema huyu awekwe ndan ndg zake watafute io hela tena nataka anilipe 20m
Nliumia sana, nkamwambia mzee bas nilipe harama ya mzigo mzee alikataa katu katu af n swala 5.
Nikamwambia nipe miez 2-3 nikulipe akakataa katu katu akanambia labda ndan ya mwezi unilipe 19 then io 1 unilipe baada ya miez miwil nkamwambia sawa
Baada ya mwez mzee alijikoki akijua ananiweka ndani, nilimpa hela yake ikabak 1
Siku inakaribia a week before mtt wake akanichek sasa ile 1 vp tumalizane niliumia sana maana walinilipisha kitu ambacho wao ndo chanzo cha mzigo kutokuwafikia, hawakua under standable, walinidharau sana na maneno ya kebehi
All in all nilimalizana nao nikasepa
But sitasahau
 
Aisee pole sana mkuu.. So mzigo uliopotea ikawa ni hasaraa yakoo...???
 
Mleta mada niliposoma kichwa cha habari cha uzi wako nilijisemea Huyu atakuwa umeandika utopolo lakini niliposoma andiko lako mpaka mwisho nikakuta lina mashiko na watu wanachangia kwa wingi nimejifunza kitu usikijaji kitabu kwa muenekano wa kava lake
 
Dah nimefedheheka sana kwa uliyotendewa na huyo baradhuli namuombea afe mapema hata sasa ikiwezekana
 
Dharau na kibri ni ugonjwa kama yalivyo magonjwa mengine na mbaya zaidi wengi wetu hatujui ukubwa wa maradhi haya na ndio maana ni vigumu pia kuyatafutia tiba.

Mtu anaweza kudharau kwa sababu na bila sababu, inategemea na ukubwa wa tatizo.

Huu ni ugonjwa mbaya watu wanatakiwa wajiepushe nao kama Corona.

Upande wa pili, kuna watu wanalazimisha wadharaulike. Mtu mzima mwenye akili timamu ukikojoa mbele ya watoto wako unataraji watoto hao wakuheshimu? Never! Nani wa kulaumiwa? Ni mdharauliwaji na si mdharadhauji.
Mtu mdomo wake hauchagui neno eidha iwe kwa mkubwa au mdogo, bado unataraji heshima tu? Hapana!

Na jingine ni kwamba, watu wana 'inferiority complex', hii inawatesa wengi kwa kudhani kuwa wamedharauliwa kwa vile jinsi walivyo. Mtu anaweza akakusalimia kipindi ambacho akili yako imehama hivyo usiweze kuisikia salam yake na kushindwa kuitikia, atalalamika "jamaa kanidharau kwa vile mimi mfupi" kumbe tatizo ni jambo lingine na si ufupi.
Mwingine hana kawaida ya kusalimia no matter who you are, kwa asiyemjua atasema jamaa hanisalimii kwa sababu 'ananidharau' kumbe hata baba yake anayempa kula nyumbani hajamsalimia pia.

*Watu wanao jiamini, wana malalamiko machache ya kudharauliwa kuliko wale wasio jiamini!*

KUPANGA NI KUCHAGUA KWAHIYO KAZI KWENU WAUNGWANA.

Sent from my SM-N910W8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wanafanya kufuru kwenye matatizo ya wenzao mpaka unajiuliza hivi hawa kesho yao wanaijua vizuri eeh!!! Pole sana maana nahisi maumivu uliyopata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…