Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kuna siku walikuja wapima ardhi eneo ninalo ishi,wakanikuta nafua nipo kama house girl.
Katika mahojiano wakawa wanahitaji majina ya mwenye nyumba nikawatajia jina la kike ambalo ni langu.
Wakasema kwa kupanik kabisa tunatak jina la mwenye nyumba nikawajibu ndio hilo.Wakahitaji jina langu nikawapa wakaona ni jina hilo hilo,waliondoka hawaamini mpaka kesho.
 
Ungevunga baada ya kutambuana. Ungechukua point tatu vyema, kabisa. Badala ashoboke yeye ukashoboka tena kwa mara ya pili.

Kwanza anamuonea bure tu Dada wa watu, unainuka kumfuata mtu usiyemfaham kumuomba ujumuike nae akikataa unasema amekuchukulia poa???
 
Asante Sana kijana,yule mlinzi hakujua kua nilikua Nina uwezo wa kumfanya house boy nyumbani kwangu
 
Nakumbuka nilikua nimeenda ku report kazini mara ya kwanza. Askari wakanifanyia ukaguzi na kufuata taratibu zote za kiusalama kuruhusiwa kuingia kwenye jengo.

Nilikua na bag nikaliacha pale kwao, ikaja kuniuliza majina yangu, nikataja la kwanza, wakatizamana, akauliza la pili, nikataja akatabasam, akaniuliza la tatu nilivyotaja akamtizama mwenzake akacheka sana. Na kuonyesha hali ya kuwa tuko mrengo tofauti wa kiimani na wao. Nakumbuka nililazimisha tabasam na kutokusema kitu nikapanda juu ofisini.

Baada ya muda kama masaa matatu hivi nikapitishwa kutambulishwa ofisi zote baadae tukamalizia kwa wale ma askari...walihofu sana lakini sikuwahi kuwaonyesha kinyongo chochote licha ya kuwa na hofu mara kwa mara kwamba ningewafanyia kitu..kuna siku nikaona niwatoe wasiwasi kwamba yaliyotokea yalishapita ila siku ingine wasimfanyie hivyo mtu mwingine. Ikaishia hapo.
 
umefikia hatua nzuri ya kula kimasihara
 
chati nae tuu na shetani akikupitia mkubalie apite tu 😀
 
Why walikuwa wanacheka majina yako sasa???

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
Utakuwa ni mtu wa ajabu sana muonekano wako. Hebu tutumie picha tukuone.

Enzi zetu magenius wengi ndio walikuwa wachafu wachafu wa kutokuoga, kufua na kupiga mswaki.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
nilikua napata tabu sana kuelekezwa na magenius maana midomo yao ilikua inanuka mno
 
Baada ya kumaliza Chuo mtaani kukawa na matukio ya wizi na uvamizi. Basi nikqja na idea ya kuanzisha ulinzi shirikishi. Wananchi wakasapoti nika organise vijana tukawa tunapiga kazi, mwisho wa mwezi nawa cash vijana laki na 20 kila mmoja maisha yanaenda.. Kuna Bi mkubwa mmoja anapita beria na kagari kabaya baya ila tunamsalimu na kumkirimu vyema tu. Siku moja akaniambia juma mosi uje kwangu nilipopanga pale. Tukaongea kidogo akataka kujua elimu yangu basi akaniambia kesho niende offisini kwake.. Akani business card.. Maza kumbe ni Naibu Msajiri wa High Court.. Akanioa connection moja kali na Mungu ambariki.
 
kwahiyo unaolewa kimasikhara 😀
 
Mkuu tutaanzisha uzi wa kuolewa kimasihara utupe kisa kamili
 
Safi sana mwenyezmungu akuzidishie kheri inshaallah

Sent from my SM-A307FN using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…