Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

F*la wewe hahaaaaahaa
 
nilimkazia dada mmoja alipotaka nisalimia, hata nilipo jua yuko kitengo kizuri sana bado nilimkazia maana niliona ni ubwege kujishusha

mwisho wa siku alinifata akanambia we ni jeuri sana ila ndio mwanaume anafaa kuwa ivo

tangu hapo n mchizi wangu na hunipa assist sana tu
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hivi ni kweli kaka?????Kushoboka shoboka au ucheshi sio mpango????
 

.
 
Baaadhi ya vitu umeongea point!!!Lakini hilo la kuprove jinsia ya kiume wrong ni sawa na kutwanga maji kwrnye kinu!!!Utapoteza mda
 
Nlipata ajali ya kugongana na mbw flani hivi ya jamaa alikuwa amelewa chakali. Mm naendesha passo.
Jamaa alitoka alinitukana matusi yote ikiwemo kunitishia kunipiga risasi. Akaita wwnzake waliokua anakunywa nao mmoja wapo anatoka ofisi ya DCI , wakaomba tuelewane mi nikawambia hakuna gari iliyoumia so kila mtu aende home. Jamaa wanasisitiza mm ndo nimemgonga so nikubali kutengeneza gari, nikawambia hakuna gari imeumia. Jamaa akaona sio shida anitishia bastola nikamwambia bastola hauna na kama wewe mwanaume basi kaichukue uje unipige usinitishie. Nalivoona hivo nikaita polisi ilikuwa usiku. Polisi wakaja wanapima ikabidi nimgeuzie kibao nasema yeye ndo kanigonga and amelewa. Jamaa ni mwanasheria ofisi binafsi. Tulibishana sana polisi akashindwa kutoa maamuzi coz wanafahamiana na jamaa na kwa mazingia ya aajali yy ndo alinigonga ila ki uhalisia mm ndo nlimgonga.
Tumeenda tukaacha magari central. Kesho yake mm nikachukua gari ofisini nikapewa na dereva kunipeleka jamaa nikamkuta pale kapauka mm nashika kwenye vx dereva mwenyewe utadhani ndo bosi wangu. Alivoniona akashtuka na kunywea sana. Yy ndo alilipa rushwa nikamwambia poa mm nitaitengeneza gari, akasema ngoja aende kuosha nikamkuta anaosha gari. Mwoshaji nikamwambia hebu osha vizuri hapo kwenye weupe mwoshaji akaosha rangi ikaakaa sawa alivokuja nikamuuliza wapi nilipokugonga akakosa. Nikamwambia ungekubali ushauri wangu tusingefika huku
 

Kudadek zako[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…