Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?


[emoji23]
 
Yes zipo sana hizi na mm ishanikuta hii😁
 
Chai hii

Hii nchi ina uhitaji wa Ph.D katika maeneo mbalimbali ya kitaaluma na kitafiti katika taasisi nyingi.
Hivyo angalia uwezekano wa kufanya jambo juu ya hilo pindi upatapo nafasi mkuu.
Zipo za heshima Kama ya Hamis Taletale
 

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alooo we noma
 
Hyo Ni burka estate [emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mimi kuna jamaa tumesoma wote form 1&2 tulikuwa washkaji maana ndo tulikuwa tunaongoza class
Nikafukuzwa so 3&4 tulikuwa tunakutana likizo tu
Baada tukapotezana Ila me nilikuwa napata data zake alimaliza degree ya mambo ya afya akaingiza jeshi then akapelekwa mondul kusomea sijui vyeo then akapangwa mikoan huko
2020 sm inaita ni jamaa " Flan vip? Za siku niomeambiwa uliacha kazi ya ualim now unapiga umachinga dar? Tuonane basi ndg" ni kweli niliachaga ualim nikajichanganya kariakoo kabla sijatoboa kibiashara ambayo hakuwa anajua kuwa nilitoboa tena kwa kiwango kikubwa
Basi tukakutana Mliman me ndo nilitangulia pale Grano
Jamaa akaja "agiza chochote ntalipa kaka " mbwembwe nyingi
Me na mwili mdogo halaf kwenye uvaaji me ni 0% so ngumu sana mtu kujua huyu yuko vzr au la!
Tukiwa pale dem wangu akaniambia nimfate kazin kumrudisha home alkkuwa mjamzito nikamwambia mshkaji akajibu " haina shida na usafir kaka twende tutamchukua tu nishanunua gari siku hizi mambo yangu fresh "
Nikakubali tukatoka nikamwambia tupite nichukue langu tuongozane ndo anaanza kushangaa " kwan una gari? Machinga ana gari mura au nimedanganywa!?"
Tumefika mzee anaona BIMA imepaki nafungua namwambia twende na hii tukirud tutapitia yako
Jamaa alikosa aman sikujua why ila alikosa aman kabisa
Tumemaliza kule namrudisha Mliman kumbe ana Swift old mole dah jamaa tangu pale alikata mawasiliano mpk leo tunaview tu status
 
Did you pray today
 
Igwee igwee [emoji119]
 
Hii nchi ina uhitaji wa Ph.D katika maeneo mbalimbali ya kitaaluma na kitafiti katika taasisi nyingi.
Hivyo angalia uwezekano wa kufanya jambo juu ya hilo pindi upatapo nafasi mkuu.
Inshallah miaka ijayo huko tukijaliwa uzima.
 
Hahah sema kwa nature ya kazi sio mbaya kama huitaji kuwa smart. Sisi wa kushinda juani huwa form 6 na jinz ni mkombozi 🀣🀣🀣
Yes kuvaa inategemea unaenda wapi.
Huwezi kqenda porini na suit utakuwa ujuha.
 
Kwann alikosa amani na mawasiliano amekata pia?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…