Efendi
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 314
- 438
Hii ishanitokea wakati niko primary nilikuwa kichwa kuwa namba 1,2,3 kitu cha kawaida nilikuwa maarufu kuanzia shule nnayosoma mpaka shule za jirani so cku moja nkakutana na kichwa wa shule ya jirani yy alikuwa hanijui alikuwa ananichukulia poa kuna mwana akaniita jina langu yule kichwa akackia hakuamini kama ndo mm
Nyingine katika mishe zangu za udalali kuna mwarabu koko mmoja alikuwa anahitaji kiwanja cha kununua so akanipa kazi ya kumtafutia but nilipokutana alikuwa mtu wa madharau ghafla cmu yangu ikaita wakati tunaongea akawa anajisachi akijua cm yake kumbe ni cm yangu Samsung A 12 kipindi hicho ndo znatoka na yy alikuwa anayo kama hyo alinunua Dubai alijickia mnyonge kuona mchizi dalali tena Chanika anamiliki cm kama yake
Nyingine katika mishe zangu za udalali kuna mwarabu koko mmoja alikuwa anahitaji kiwanja cha kununua so akanipa kazi ya kumtafutia but nilipokutana alikuwa mtu wa madharau ghafla cmu yangu ikaita wakati tunaongea akawa anajisachi akijua cm yake kumbe ni cm yangu Samsung A 12 kipindi hicho ndo znatoka na yy alikuwa anayo kama hyo alinunua Dubai alijickia mnyonge kuona mchizi dalali tena Chanika anamiliki cm kama yake