Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Ushawahi kuchukuliwa poa na mtu halafu akakuta sivyo kama alivyokudhania?

Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale Obey waniambie wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kuna Afande mmoja alinunua Iphone 12 akaja nimtengenezee icloud nikafanya hivyo, malipo tulikubaliana 10000, nilipomaliza kazi akatoa elfu mbili, dah nikamwambia haitoshi na si makubaliano yetu, ( alikuwa ni trafki ) akasema hamna lolote nililofanya nichukue mbilinyi au kama vipi siitaki asepe, kiroho upande nikamwambia basi sio kesi we sepa, nikampa email na pass kwenye kikaratasi, akasepa, zikapita siku karibia mwezi ile simu anataka kuiuza, kikaratasi kapoteza, akaja kwenye ile ofisi kuniulizia akaambiwa nishahama wakampa namba, akanipigia akajitambulisha, mimi yule mdada afande uliniwekea icloud samahan kakayangu kama utakuwa unaikumbuka naomba niandikie nitumie, nikamwambia siikumbuki na hata ningekuwa naikumbuka kwa jins alivyonijibu nyodo siwezi mpatia...zikapita siku tena akanitafta tena nikamwambia mm nimehama mkoa nipo dar, akasema na yeye yupo dar, anataka tuonane, basi nikamuelekeza maghetoni akaja, ki ukweli nilikuwa naikumbuka, kwa sababu wakat naitengeneza alikuwa anaongea upuuzi flani hiv nikaona huyu anajisikia sana anaweza nisumbua ktk kunilipa so nikaiandika pembeni nikabaki nayo kwa matumizi kama haya, basi kaja mwenyewe kajipodoa mtu yumo, nikamwambia hii ishakuwa msala hapa ni lazima tuwasiliane na jamaa wapo United states ndio waifungue na gharama ni laki nne, dah kalia lia akatoa laki tatu nikaichua kwanza nikatia pum**ni, nikamwambia niachie simu siku 7 itakuwa ishatoka, basi kuanzia hapo akawa anawasiliana sana nami hasa akitoka kazini, simu usiku za kuulizia simu yake, sasa siku ya sita kapiga nimemjibu kesho inaweza kuwa tayari lakin hakat simu story nyiingi mara mpaka sa hii uko nje unafanya nn mkeo yuko wapi, kipindi hicho sijaoa nipo nipo tu nikamwambia sister sina mtu kama vipi njoo nikuweke, kama utani kaanza stak nataka mara si utatumia ndom? Kufupisha story ni kwamba nilimuweka, nikampa simu yake ikiwa fresh yaan mm niliiformat nikaiweka ndani siku zote hizo. Akazoea nikawa naweka kila siku mani*a, anatuma miamala tu 50, 70, anakodi hotel mpaka ule muda wa kazi sometimes anachepuka mi naenda naweka, nikahongwa Ile Iphone, hiyo ndo siku nikanunua line mpya maana wiki iliyofuata nikahama mtaa na nikaoa..
 
Kuna Afande mmoja alinunua Iphone 12 akaja nimtengenezee icloud nikafanya hivyo, malipo tulikubaliana 10000, nilipomaliza kazi akatoa elfu mbili, dah nikamwambia haitoshi na si makubaliano yetu, ( alikuwa ni trafki ) akasema hamna lolote nililofanya nichukue mbilinyi au kama vipi siitaki asepe, kiroho upande nikamwambia basi sio kesi we sepa, nikampa email na pass kwenye kikaratasi, akasepa, zikapita siku karibia mwezi ile simu anataka kuiuza, kikaratasi kapoteza, akaja kwenye ile ofisi kuniulizia akaambiwa nishahama wakampa namba, akanipigia akajitambulisha, mimi yule mdada afande uliniwekea icloud samahan kakayangu kama utakuwa unaikumbuka naomba niandikie nitumie, nikamwambia siikumbuki na hata ningekuwa naikumbuka kwa jins alivyonijibu nyodo siwezi mpatia...zikapita siku tena akanitafta tena nikamwambia mm nimehama mkoa nipo dar, akasema na yeye yupo dar, anataka tuonane, basi nikamuelekeza maghetoni akaja, ki ukweli nilikuwa naikumbuka, kwa sababu wakat naitengeneza alikuwa anaongea upuuzi flani hiv nikaona huyu anajisikia sana anaweza nisumbua ktk kunilipa so nikaiandika pembeni nikabaki nayo kwa matumizi kama haya, basi kaja mwenyewe kajipodoa mtu yumo, nikamwambia hii ishakuwa msala hapa ni lazima tuwasiliane na jamaa wapo United states ndio waifungue na gharama ni laki nne, dah kalia lia akatoa laki tatu nikaichua kwanza nikatia pum**ni, nikamwambia niachie simu siku 7 itakuwa ishatoka, basi kuanzia hapo akawa anawasiliana sana nami hasa akitoka kazini, simu usiku za kuulizia simu yake, sasa siku ya sita kapiga nimemjibu kesho inaweza kuwa tayari lakin hakat simu story nyiingi mara mpaka sa hii uko nje unafanya nn mkeo yuko wapi, kipindi hicho sijaoa nipo nipo tu nikamwambia sister sina mtu kama vipi njoo nikuweke, kama utani kaanza stak nataka mara si utatumia ndom? Kufupisha story ni kwamba nilimuweka, nikampa simu yake ikiwa fresh yaan mm niliiformat nikaiweka ndani siku zote hizo. Akazoea nikawa naweka kila siku mani*a, anatuma miamala tu 50, 70, anakodi hotel mpaka ule muda wa kazi sometimes anachepuka mi naenda naweka, nikahongwa Ile Iphone, hiyo ndo siku nikanunua line mpya maana wiki iliyofuata nikahama mtaa na nikaoa..
Mkuu kiukweli hapo ulikuwa unakula majasho ya makonda na madereva wa daladala wakishakamuliwa huko ndio unakuja kuhongwa wewe.
 
mimi binafsi nachukuliwa poa sana na naendelea kuchukuliwa poa kwasababu sina mwendelezo chanya ( sina maendeleo) ila naamini wanaonichukulia poa ipo siku watajuta na kusutwa na nafsi zao juu yangu as long as bado kijana na nina ndoto na mipango kedekede yakitimia watainamisha vichwa vyao chini


ngoja nimwage hiki kisa nilichosimuliwa na mwalimu wangu. huyu ticha wangu alienda kariakoo kama sio posta kwenye maduka ya kuuza vifaa vya kielektroniki maana laptop yake ilikua na shida akahitaji kifaa flani kama spear. sasa wakati anaelekea kuingia kwenye mojawapo ya duka kubwa mlinzi akamchukulia poa kwa mwonekano wake( ticha ni mfupi, mweusi, ana mwili mdogo na ana ulemavu wa mkono mmoja sijawahi juaga chanzo cha ulemavu wake) kwa ukali mlinzi akawa anamhoji


mlinzi; weweee simama hapo, UNAKWENDA WAPI?

ticha; kwani huku watu wanakwenda wapi?

mlinzi; UNAKWENDA KUFANYA NINI HUKO?

ticha; kwani huku watu wanakwenda kufanya nini?

mlinzi; Unarudisha maswali kwangu hebu nipatie kitambulisho chako


ticha akazama kwenye begi akamtolea Id kucheki ni mwalimu wa shule ya sekondari mojawapo wilaya ya temeke. mlinzi akabaki ameduwaa nadhani alijua atakua ni ombaomba wale wa jiji maana ticha hakua smart hata kidogo.ticha kuzama ndani akamkuta mzungu sijui mhindi dukani kwa kuua kabisa mwalimu akaeleza shida yake ya kifaa anachohitaji kwa lugha ya malkia kwa ufasaha kabisa maana hiyo lugha yeye ndo mwalimu hilo somo, mlinzi akachoka. hakufanikiwa kupata alichokitafuta ila kwa lugha ya kibiashara yule mhindi akamuambia mzigo umeisha ila mpaka next week mzigo utakua umefika.



nadhani huyo mlinzi licha ya aibu zake alipata funzo kubwa kuliko sisi.



huyu ticha ni memba mkongwe huku jf na tukiwa shule alituambiaga mtandao wa kuongeza maarifa ni jamii forum sio ile ya ajabuajabu. nimekumis sana mwalimu mwaka juzi nilionana nae kwa mara ya mwisho nikamwambia saivi na mi ni mwanajf akaniambia 'kuwa makini bhana usije ukawa unabishana na mwalimu huko jf'



nakutakia kheri na uzima tele mwalimu wangu nakukumbuka sana
Duh jamaa naona kama ulipitia miburani iviiii but sorry nikiwa mistaken.
 
Doctor alimkuta nje ya Hospital jamaa mmoja anavuta sigara akamwambia Bwana usivute Sigara akamtukana sana yule Dr !!!! Kuumbe bwana ni Mgonjwa ana Gonnoerrhoea!!! akenda kukata kukata kadi kuingia ndani anakuta ni Dr yule yule aliye mtukana nje!

akaomba DR akamsamehe yakaisha tu kiroho safi samahani yakaisha mpaka leo ni marafiki wako hapa
 
Doctor alimkuta nje ya Hospital jamaa mmoja anavuta sigara akamwambia Bwana usivute Sigara akamtukana sana yule Dr !!!! Kuumbe bwana ni Mgonjwa ana Gonnoerrhoea!!! akenda kukata kukata kadi kuingia ndani anakuta ni Dr yule yule aliye mtukana nje!

akaomba DR akamsamehe yakaisha tu kiroho safi samahani yakaisha mpaka leo ni marafiki wako hapa
Nahisi wewe ndio huyo Dokta. Correct me if i'm wrong
 
Kwanza naomba 'nidiclee' kwamba mm ni mmoja wa ME ambae si mtu wa fashion, yani mimi sijui kuvaa kabisa na sina hiyo passion ya pamba pamba. Nishawahi kusemwa sana na ma-ex wangu kuhusu uvaaji wangu lakini haikusaidia kitu.

Sasa weekend iliyopita nilienda sehemu moja flani hivi amazing, chimbo la uhakika haswaa, limejitenga na limetulia kweli. Nilipigilia kipensi changu na ka t-shirt flan hivi local nikachagua sehem nikakaa, kutizama vizuri nikaona kuna meza amekaa mdada mmoja hivi and of coz she is gud looking nikaamua kujitosa angalau kumpa hata hi 'coz tulikuwa wateja 2 tu, nikamfata nikamsalimu.

Yule dada kwanza alinishusha kuanzia juu mpaka chini then akaitikia salamu yangu ki-design kama namsumbua flani hivi. Nikaomba kujumuika nae kama asipojali. Jibu lake ndo lilinitoa confidence kabsa, alinambia: "Kwahiyo kaka unadhani kila msichana akikaa peke yake anahitaji kampani? Hapana sihitaji" Dah, mwanamme nikajizoazoa pale nikarudi nilipokaa. Nilikaa kama masaa ma3 hivi nikaamsha zangu. Sasa kilichotokea jana ndo kimenifanya niandike huu uzi.

Nilipokea maagizo kuanzia J3 ya wiki hii kuwa leo watakuja watu wa Taasisi flani ya kifedha kutoa semina kwa sisi wafanyakazi kwa ajili ya kutushawishi kujiunga na huduma za Taasisi yao, hivyo mimi nikapewa jukumu la kuwakaribisha na kuwapeleka sehemu ambapo semina itafanyika.

Asubuhi mida kama ya saa 3 hv ugeni ukafika, walikuwa watu kama 7 hivi, kati yao alikuwepo yule dada nilieonana naye weekend.

Wakaingia ofisini nikawakaribisha, wakati mkubwa wao anatoa introduction macho nikayakaza kwa yule dada, bahati nzuri tukagonganisha macho, akashtuka flani, nikajua kashanikumbuka.

Baada ya semina kuisha ikafika kipindi cha watu kujiunga sasa kwa walioshawishika. Nikamfata yule dada nikamuomba aje anielekeze namna ya ujazaji fomu. Alivyofika tu, nikamuuliza "Unanikumbuka?" Akachekaaa, akaniambia "Yani wewe, sikutarajia kama unaweza kuwa unafanya kazi huku", nikamuuliza ulitarajia niwe nafanya kazi wapi? Akaishia kucheka tu. Mawasiliano yake kanipa; fresh bila shida kabisa.

Sasa naomba kuuliza wadau, mshawahi kukutana na situation ya namna hii?
Vp mzigo umekula
 
Doctor alimkuta nje ya Hospital jamaa mmoja anavuta sigara akamwambia Bwana usivute Sigara akamtukana sana yule Dr !!!! Kuumbe bwana ni Mgonjwa ana Gonnoerrhoea!!! akenda kukata kukata kadi kuingia ndani anakuta ni Dr yule yule aliye mtukana nje!

akaomba DR akamsamehe yakaisha tu kiroho safi samahani yakaisha mpaka leo ni marafiki wako hapa
Ni wewe
 
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale Obey waniambie wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
😄😄😄😄
 
Juzi tu NMB Dodoma:

Jamaa flan kavaavaa tu afu na midevudevu hivi

Kaenda NMB ATM kakuta na wadada wa benki wameweka meza ya kutoa huduma kwa wateja pemben hapo. Akafika tu kauliza (bila hata kusalimia).....kwanini kadi yangu inakataa kuniunganisha NMB mkononi

Dada kamjia juu...."kwanza salimia;...vipi habari za huko,...haya tukusaidie nini??"

Jamaa hakupokea. Mie nawaangalia tu.

Dada karudia tena ...."vipi mzima mwenzetu?? Za ulikotoka??!.....mbona umekuja kasi sana??!"....

Jamaa anaeaangalia tu. Mara akauliza...."ivi ni lazima kusalimia/ au kupokea salam ya mhudumu ili nipewe huduma NMB???...

Wakaanza kumshangaa ..."unatokea wapi wewe, yani unakuja kuvamia tu bila kusalimia..." ....wamamzodoa flan.

Jamaa akaingia Benki ndani. Straight kwa Meneja. Nafkiri hakueleza shida aliyopata nje. Alimueleza tu kama kutaka kusaidiwa shida yake. Sijui ndani waliongea nini??

Wametoka na meneja...hadi pale ATM kwenye meza ya wale wadada....meneja akiwa kashika mkononi kadi ya yule mshua....akawambia wale wadada mmoja wao (sikumbuki jina)...

Meneja: .....hebu msaidie Katibu Mkuu hapa kumuunganisha na NMB Mkononi...(Meneja akaongeza:....mkuu hapa utahudumiwa)...mara meneja katuomba wote wa kwenye foleni ya ATM..."naomba ndugu tumpishe kiongozi anajambo kidogo kwenye ATM ...samahani"...wakaingia ATM meneja, mshua na yule dada.

Wakafanya mambo humo ...kidogo wakatoka. Tukaendelea.

Meneja akamsindikiza yule mshua hadi kwenye gari akaondoka meneja anapunga mkono.

Niliwaangalia wale akina dada mavi yalivyowagonga chupi. Walitoa macho sana wakawa na wasiwasi mkubwa....

Walimchukulia poa
aisee, nilichojifunza ni kwamba wengi wenye nafasi na uwezo hawana complications kabisa. Wenzangu na mm sasa 😄😄😄
 
Wewe doctor acha kuvuta masigara kazin unakela watu
Doctor alimkuta nje ya Hospital jamaa mmoja anavuta sigara akamwambia Bwana usivute Sigara akamtukana sana yule Dr !!!! Kuumbe bwana ni Mgonjwa ana Gonnoerrhoea!!! akenda kukata kukata kadi kuingia ndani anakuta ni Dr yule yule aliye mtukana nje!

akaomba DR akamsamehe yakaisha tu kiroho safi samahani yakaisha mpaka leo ni marafiki wako hapa
 
Kuna siku niliazima gari nikaenda pale best bite kuchukua zaga.

Sasa nilivyoingia ndani nikakutana na pisi tatu za kwenda zinatoka ndani, nikazipa hi zikachuna full kunipandisha na kunishusha, nikaona POA tu nikafuata kilichonipeleka.

Sasa ile natoka nje nikazikuta ziko bize zinajisnap kwenye gari niliyokua nayo, hiii bagoshaaa, mbona walikoma kunijua.

Nilianzisha zogo la maana makusudi kabisa, nikaita mpaka uongozi wa pale nikawaambia wawaambie wateja wao wafute picha zote walizopiga gari yangu otherwise niite Askari pale Obey waniambie wana lengo gani na picha za mkwaju wangu?
Ahaha umecheza kama pele ila nawaza siku mwenye gar akutane na hao madada na ww ukiwepo alaf wamkubali mchizi then wajue gar ni lake co lako.. utakuwa kwny hal gan cjh
 
Juzi tu NMB Dodoma:

Jamaa flan kavaavaa tu afu na midevudevu hivi

Kaenda NMB ATM kakuta na wadada wa benki wameweka meza ya kutoa huduma kwa wateja pemben hapo. Akafika tu kauliza (bila hata kusalimia).....kwanini kadi yangu inakataa kuniunganisha NMB mkononi

Dada kamjia juu...."kwanza salimia;...vipi habari za huko,...haya tukusaidie nini??"

Jamaa hakupokea. Mie nawaangalia tu.

Dada karudia tena ...."vipi mzima mwenzetu?? Za ulikotoka??!.....mbona umekuja kasi sana??!"....

Jamaa anaeaangalia tu. Mara akauliza...."ivi ni lazima kusalimia/ au kupokea salam ya mhudumu ili nipewe huduma NMB???...

Wakaanza kumshangaa ..."unatokea wapi wewe, yani unakuja kuvamia tu bila kusalimia..." ....wamamzodoa flan.

Jamaa akaingia Benki ndani. Straight kwa Meneja. Nafkiri hakueleza shida aliyopata nje. Alimueleza tu kama kutaka kusaidiwa shida yake. Sijui ndani waliongea nini??

Wametoka na meneja...hadi pale ATM kwenye meza ya wale wadada....meneja akiwa kashika mkononi kadi ya yule mshua....akawambia wale wadada mmoja wao (sikumbuki jina)...

Meneja: .....hebu msaidie Katibu Mkuu hapa kumuunganisha na NMB Mkononi...(Meneja akaongeza:....mkuu hapa utahudumiwa)...mara meneja katuomba wote wa kwenye foleni ya ATM..."naomba ndugu tumpishe kiongozi anajambo kidogo kwenye ATM ...samahani"...wakaingia ATM meneja, mshua na yule dada.

Wakafanya mambo humo ...kidogo wakatoka. Tukaendelea.

Meneja akamsindikiza yule mshua hadi kwenye gari akaondoka meneja anapunga mkono.

Niliwaangalia wale akina dada mavi yalivyowagonga chupi. Walitoa macho sana wakawa na wasiwasi mkubwa....

Walimchukulia poa
aisee, nilichojifunza ni kwamba wengi wenye nafasi na uwezo hawana complications kabisa. Wenzangu na mm sasa
Kunasiku Weekend nilikuwa bored ukizingatia mama watoto wangu alisafiri kikazi LA nikafikiria kwenda sehemu locally nibarizi nikaona ni drive mjapani kutoka mikocheki Aim nipitie kufanya Shopping ya baadhi ya zaga ambazo nitazitumia nikifika ufukweni basi nikatoka nyumbani mikocheki mpaka Mcity nikafanya Shopping ile natoka napakiza zaga sindio nataka kufungua mlango niingie kwenye mpira mlinzi kanidukua akaanza kunidandia unataka kufanya nini gari la watu wewe mwizi nimepigwa nabutwaa namwambia Afande tatizo nini huu mpira wangu basi nikawaonesha Documents ndio wakaamini mimi nikaingia nawasikia aisee watoto wa washua mtoto mdogo anaPush Gari kama hii.

Walinikata moto wote ile siku nikarudi zangu Mikocheni kulala tu.
😄😄😄shemej kaenda kikazi Los Angelos LA
 
Watu wa hovyo hovyo wanaodeposit hela zao kabisa kabisa wako Makete

Wakinga balaa bwana, kuna kazee ukikakuta dukani kwake kanakula viazi vya kuchoma, hata supu kanaona anasa

Kakipeleka pesa benki kanabeba kwenye rambo lakini kwa mtazamo wa nje huwezi kukadhania

Wakinga/wabena wengi hawafanani na pesa yao
Pesa za ndumba hzo mkuu, pesa halali huwezi jinyima kula vizur
 
Kuna shida hapo either unashindana na wanaume uonekane mko sawa. Na ilhali unakojoa umechuchumaaa na mwanaime amesimama. Yaani hautaki kukubali kuwa mwanaume yuko juu yako. Labda ka elimu ulikopata kanakupa ujasiri na unajiona kama laweza kuoa mwanaume.

Yaani sijui kama utadumu na mwanaume .
Labda uoe umuweke mjini ila ukiolewa sidhani
Am sorry ila ni mtizamo wangu.
Tuna tofauti kijinsia
Ila katika eneo la kazi ama elimu haimaanishi mwanamke ana uwezo wa chini

Mh Rais ni Mama Yetu Mpendwa SASHA🥰
 
Kama Mimi, kuvaa navaa lakn so kivile yaani halafu Sina mengi kivile kujikosha Kosha yaani Niko normal Sana. Sasa kawaida ya baadhi ya dada zetu kudharau. Dada mmoja alinichukulia Kama hivyo anavyoniona hakuwahi kunijali Wala kunithamini katika vijana Basi Mimi aliniona Kama mbwa tu vile halafu nilikuwa natumia ki sumsung Cha batani ndiyo kabisa yaani. Sasa siku moja boyfriend wake akaja katika kampuni frani hivi kufanyiwa interview. Tukamuinterview but Mimi sikujua kwamba ni boy friend wa Yule dada Ila tulimfanyia interview fresh ikabidi abaki tu kusubiri majibu ndani ya siku chache. Siku chache badaye nikawa nipo kitaa nikawaona yule jamaa akiwa na Yule msichana. Jamaa akaniita kwa heshima. Habari yako mkuu? Nikamjibu poa mambo VIP? Akajibu poa mkuu, basi akanikimbilia nakuanza kuniambia brother naomba Sana Ile ishu nisaidie Mimi huku kitaa life ngumu Sana brother. Yule mdada akabakitu anatuangalia. Mi nikamjibu kwamba Mungu akipenda utafanikiwa. Sasa kuanzia hapo Yule dada akiniona ananishobokea Sana Tena salamu zake ni zakuchangamka Sana na ananitazama kwa tabasamu Sasa sijui boyfriend wake alimwambia Nini kuhusu Mimi mpaka kabadilika hivyo nakuanza kunijali kiasi hicho.
 
Kuna siku nipo nilikuwa sina kazi nyingi ofisini nikatoka nje hivi nikamweleza PA wangu nipo nje nachukua Juice Fresh kutoka nje kuna gari limeingia Parking kwa speed kidogo liniingie miguuni jamaa hawakuwa na hekima walinitusi Mpuuzi wewe...nimerudi Ofisini naambiwa na PA wangu Meneja kuna wageni wako nikawaruhusu waingie nakuta wale jamaa walionitusi nikawakaribisha na sentensi fupi 'Karibu ABSA' wanageuzageuza nyuso zao hawajui waanze vipi.
Mzee wa ABSA nimekumbuka leo .

Hujaachiwa ban tu[emoji1787]
 
Back
Top Bottom