Ri ri
Senior Member
- Aug 28, 2022
- 141
- 219
adi Oprah Winfrey ilishamkuta.. muuzaji alikataa kumuonesha pochi ya beii akamwambia hataweza kuiafford
Kuna mchezaji mmoja wa zamani wa Southampton anaitwa James Beatty alikuwa anataka kununua Porsche 911 akapita kwenye Porsche dealership moja mitaa ya London salesman akamwambia 'you can't afford this' (bei ilikuwa zaidi ya £100,000).
Jamaa akazunguka mitaa miwili mitatu akakuta Porsche dealership ingine akachukua gari kama ile akapita tena pale alipopita mwanzo akampa middle finger yule salesman akaishia. Hapo salesman kapoteza si chini ya £5000 commission.