Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

masai dada,

Nimesoma maoni ya wote humu, naona wameegemea upande mmoja. Wengi walotoa maoni inaonesha aidha ni akinamama wenzako au ni vijana ambao hawajaoa na kama wameoa basi ni ndoa changa kama yako ila bado kuonja subiri za ndoa kama unazokumbana nazo.

naomba nikuhakikishie kuwa hata kwa mumeo bado anaonja subiri na anakupenda, la sivyo alivyokupapasa isingesimama! Pili kuwa na mtoto was akati huo huo hana biological mother ndani ya nyumba hiyo ni mtihani kwetu hasa mbele ya mama wa kambo. Kulala naye anajitahidi kumweka karibu naye hasa mtoto wa Kike. Unatakiwa uwape Uhuru hata kama roho inakuuma.

ninavyojua wewe ni wa Mlimani (sijui kama ni sahihi), uzoefu wangu ni kuwa huwa mnajisemea tu ila sie vyasaka huwa tunaingiza kifuani na tunatafuta jinsi ya kuwarudi. Uloyasema mumeo anakupenda ila kuna vitabia asovipenda na una mdomo sana! Hivyo anakuchapa kwa vitendo (he is not exceptional, we normally discipline our lovers kwa njia hiyo Mwalimu Masai Dada). Tumeyapitia na bado wengine tunasukuma hivyo.
 
Pole masai dada, changamoto yako pamoja mimi ni mwanaume imefuta furaha yangu ya leo. Huwa najiuliza kama umepata mke anayeheshimu na kukujali unapata wapi kiburi cha kumliza? Mungu hatamwacha salama mtu wa aina hiyo na mda wowote mmeo atakupigia magoti maana Mungu huwa karibu na wamliliao.

Nakuomba usifikirie kusaliti pia usifikirie kulipiza bali mwachie Mungu. Kula na kipofu hakukuondolei heshima yako. Akihitaji penzi mpe maana ni haki ya ndoa, cheka nao walionuna au kukuumiza, cheka nao wanaocheka nawe. Kwa kuwa huu ni mwaka mpya Omba sana Mungu atende jambo katika familia yako na mtoto wa kufikia mpende sana kama mwanao.

Natamani sana Mungu akujibie na naamini atakujibia.

Wanaume tunaosoma uzi huu plz usimfanyie ukatili mwenza wako kisa anakupenda.

Huwa nampenda sana J wangu hatajutia kuwa nami.

Masai dada Mungu hajakuacha mpweke.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
masai dada,

Pole kwa mapitio hayo ndugu yetu. Mwanaume akifikia hatua hiyo hakika lazima kuna kitu anajivunia kama mbadala, na hapo hata huruma na wewe hana tena. Nakuomba utunze nyaraka zako zote za huo mkopo uliochukua kwa ajili ya kusaidiana kujenga hiyo nyumba pia kusanya risiti zote za mapato ya hela zako kisha zi scan na uzitunze kwenye email yako au popote unapoona ni salama, ili siku ukiamua uwe huru na hayo manyanyaso basi kaombe shauri mahakamani mgawane hizo mali zenu.

Hii dunia imeumbwa ili tufurahie na ndoa zimekuja kama makubaliano ya kuheshimiana na kujaliana kiubinadamu ndani ya familia. Sasa kama mmoja wapo akikengeuka na akaamua kutesa hisia na moyo wa mwenzake basi hakuna haja tena ya kuendelea na makubaliano hayo. Nijuavyo mimi huyo mwanaume alipaswa akuheshimu sana,maana umejitoa mhanga kukopa hela kwa ajili ya maendeleo ya pamoja pili alipaswa akuheshimu maana tayari alishazaa kabla ya wewe kukuweka ndani na bado umemkubali mwanae.
 
Mkuu namuheshimu sana mume wangu
..ukija nyumbani most of tge time utanikuta jikoni nampikia sibweteki nazitafuta hela na mtoto wake ninampenda anajua hilo.
Nitamuangalia tunipo siku atahitaji msaada wangu
 
Kiasi cha hela ninachokipata kwa mwezi na sina pa kupata popote ni Mungu tu naona ananisogeza.
Roho inaniuma kwa kiwango kikubwa sana.
 
Suna neno mkuu nimeuchukua ushauri wote
 

Hii ndo solution..kwa binadamu wa kweli ukifuata hii njia lazima itamwingia


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
masai dada,

Inaumiza ila kiukweli huyo mwanaume hakupendi na hana mpango wowote na wewe. Cha msingi fanya kila jitihada uanze kujikomboa ila kuanzia sasa na kuendelea jiondoe kabisa kuwa sehemu ya maisha yake. Upo uwezekano mapenzi yapo kwa mama wa mwanaye. Chukua hatua mapema sana na mwaka huu jitahidi uwaze na upambanie hilo moja la kijikomboa.
 
Huu usemi huwa unanichekesha..
Hivi ukipewa nafasi ya kuwa mwanamke unaweza kunyenyekea hata robo siku?
there is a difference,kuna mwanamke hata uwe mkorofi vipi huna uwezo wa kumpiga,utaanzia wapi labda uwe tahira,kuna mwanamke hata kumcheat tu unaumia sana n kujuta sana,sasa kwa lishankurumbembe kama wewe lazima utandikwe tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maumivu ya ndoa siwezi kuyavumilia ushauri wangu ondoka kaanze upya. Hakuna mapenzi, huruma, Wala upendo hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…