Ushawahi kuhisi upo single ndani ya ndoa?

Unaumwa wewe
Afu pesa alizokopa wakajenga inakuwaje?.

kashasem kipato ni kidogo ana mkopo
Yani utoke kwako ukapange inahusuu
Eti badae utafte mtu malaika yupi kwa mfano na mtu mshazaa

solution ni kutafta side guy wakiwa humohumo ndani ya nyumba low profile tu wenge limuishe kwanza aache kujali viroja vyake
 
Cresida hakuna ndoa ya watuwatatu duniani wewe siku moja tenga andaa kikao chenu wawili fungua kikao kwa maombi baada ya hapo anza kumwambia namna ambavyo hupendi vurugu ambazo zinaendelea kwenye ndoa yenu elezea yote kuanzia huyo dada mtu,matukio hayo yote kwa ujumla wake baada ya hapo mwambie na yeye aeleze ni mambo Gani ambayo yamekwaza kiasi kwamba ndoa inakwenda mrama ,pia wakati mnaongea mpe nafasi ya kujimwaga sana hapa ninamaana kuwa hata kama atafikia hatua ya kutukana wewe mwachie nafasi usimkatishe hata kidogo kama tatizo linaendelea pelekeni kwa wazazi maana inawezekana wazazi wakatatua mkwamo wa ndoa yenu ikishindikana kabisa sisi wakristo tunaenda kwa padre kama tatizo bado basi mnatengana ,,,,,,,hata hivyo umri wa kuishi Africa ni mfupi sana ,,,,. pole kama kiswahili changu ni kigumu
 

I can feel your situation..Pole! Ushauri uliopewa wa kuzungumza na waliokuzidi ni bora zaidi. Pia jaribu kusoma vitabu/makala mbali mbali zihusuzo ndoa and psychology for your relief. Hata kama havitakupa majibu ya moja kwa moja lakini vitakusaidia usiathirike kutokana na changamoto unayoipitia. Zaidi ya yote usichoke kumwamini Mungu japo kuna wakati nguvu huwa zinakuishia. Ushinde ubaya kwa wema. All the best!
 
Mchukue Masai dada mkae mahali patulivu muongelee changamoto zenu kwa kina mnaweza kupata ufumbuzi.....ila inauma mnara unasoma 6G alafu simu inazingua kuwaka[emoji16][emoji16] pole sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa wsnawake sio watu, hata huyo anelalamika hapa usikute jamaa lilimvumilia kwa mda mrefu sasa likachoka likaamua kumkazia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukisema wanawake tunakera vipi mleta mada angesema wanaume wanakera?!

Sema mkeo anakera, usiunganishe wengine kwa madhaifu ya mkeo! Kila mtu ana mapungufu yake na tunatofautiana!
Wengi wao ni kero sana, ndoa nyingi kwa sasa zinawaka moto, unakuta wanaishi kwa heshima ya watoto tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wengi wao ni kero sana, ndoa nyingi kwa sasa zinawaka moto, unakuta wanaishi kwa heshima ya watoto tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni upande wa pili wengi wao ni kama ulivyosema pia!
Heshima ya watoto huku mkionyesha tofauti kila leo, inawaharibu watoto kisaikolojia pia!

Tuombee ndoa zetu, na hili ni kwa pande zote mbili!
 
wewe una sifa zote za ....... ...... ......

(dont ever try quote my Comment again)

that red line means how serious i am,huwezi kutumia lugha za kistarabu ku reply ebu kaa kimya acha kabisa kimbele mbele cha kuwashwa na maandishi yangu.
 
wewe una sifa zote za ....... ...... ......

(dont ever try quote my Comment again)

that red line means how serious i am,huwezi kutumia lugha za kistarabu ku reply ebu kaa kimya acha kabisa kimbele mbele cha kuwashwa na maandishi yangu.
Hahahah unaumwa wewe
Hizo rules zako katengeneze JF yako
Ila hii ya Max Melo utaulizwa tu for anything u ever post na ukijichanganya ban pia utapigwa
Vinginevyo baki kuwa ndugu msomaji😊
 
masai dada njoo usome ushauri huu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahah unaumwa wewe
Hizo rules zako katengeneze JF yako
Ila hii ya Max Melo utaulizwa tu for anything u ever post na ukijichanganya ban pia utapigwa
Vinginevyo baki kuwa ndugu msomaji😊
endelea kuchepuka ila mwenzako hana tabia kama yako na hatokaa awe nayo

ushazoea kuvuliwa chupi na kila mwanaume unafkiri hilo pepo utaweza mpa kila mwanamke

wanawake wengine wanajielewa,wanelewa maana ya MUME wewe kakakuona unaevuliwa chupi

na kila mwanaume unakuja mshauri mwenzako afanye ufuska wako umelogwa unatakiwa utolewe mapepo

mwanamke mzima unamshauri mwenzako eti "chepuka hata siku 1" shenzi type bogas la mwisho kabisa

yani umekaa kirax rax mpk kwenye ID fake asee we mgawa uchi,hii ni coment yangu ya mwisho kukujibu

ila kaa tambua mwenzako hana umalaya na hawezi msaliti mume wake,huo ushenzi fanya wewe usie elewa

maana ya Sehemu za siri,wanaume wote wanajua K yako shenzi mnuka K wewe ebu kwenda kule.
 
Naam. Hakika hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Fuata ushauri huu Masai dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Povu la nini mkuu..
Au we ndo una q.um.a saivi nikushauri ufanyeje..?.
Haha eti maana ya mume..uyo mume anaelewa maana ya mke?..
 
Nimegundua wengi wamezoea kunyanyasa au kunyanyaswa kiasi kwamba kwao hiyo ni kawaida tu na inatakiwa iwe hivyo. Ndio maana watu wanakuja na kauli za "ndoa ngumu, vumilia tu"

[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
 
Nawashukuru sana nyote kwa ushauri wenu.
Nimepata homa kali sana jana imeniletea kitapika na mwili wote kuchoka.ndo nimeshindwa kujibu coment zenu ila nawashukuru sana
Pole sana mama, get well soon.
 
kwangu binafsi nachoweza kukushauri dada yangu kwanza angalia furaha yako
kama kuwa nae na kuendelea kuteseka kwako ni bora kuliko kuachana nae basi endelea kuvumilia ila navyojua mwanaume habadilishwi anabadilika mwenyewe akijiskia

Kama ameonesha ishara hakuhitaji uwe mkewe huna haja ya kumlazimisha akupende au kukujali wewe jipende mwenyewe inatosha na jitengenezee furaha bila uwepo wake akiona humsumbui kumuuliza chochote akiwepo sawa asipo kuwepo sawa huku unajishughulisha mwenyewe kutimiza ndoto zako bila kujali uwepo wake atajua unachepuka na ataanza kukufuatilia yeye huku wewe upo na furaha saa 24

Na kuhusu kukupa unyumba assume huna mume kuwa bussy na kusaka hela uone kama hatateseka kukubembeleza .
 
Pole sna Dada, yan penye miti mingi hakuna wajenzi kwakwel, nataman sna ngepata shavu hili hpe unge enjoy. But n hv as long as ni mumeo wa ndoa fight kuachana nae then mgawane vitu nahis kila kitu kitakaa sawa mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kwa namna nimekusoma unaonekana kichwa yako iko resi, una mawenge sana tuliza kichwa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…