Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ndoa haina hata miaka 5.
Kwa kweli tubakie mabachelol hivi hivi.
Nakumbuka masai dada alikuwa anatafuta sana mume humu na thread.
Akaja kumpata kimasihara.
Sent using Jamii Forums mobile app
Furaha unayo mwenyewe. Usitegemee mtu mwingine akupe furahaMkuu nilishasaligi huko nyuma mpaka nikaona acha nikae tu labda uenda ndo Mungu kapanga hivi
Njoo Pm nikuelekeze vizuri jinsi ya kurudisha furaha iliyopetea.Heri ya mwaka wandugu.
Ukweli nimeona nije na hii ID kabisa tu maana uchungu nilionao moyoni nahisi kufikia point ya kuhitaji msaada.
Nilikuja na ID hii mamii90 kuomba ushauri tu. Naomba uangalie ule uzi wa familia ya mume ndo utapata muendelezo wa hii.
Hua mnatuonea sanaPole kwa hili kasheshe linalokukuta Mrembo.
Wanaume wengi ni wabinafsi sana na wengi ndo wanafanyaga mioyo ya wanawake kuwa migumu.Tulia uzuri unamjua mume wako ndoa ni kupambana usirudishe mpira kwa kipa, bado mapema mno!jifunze kumpuuza kipindi hichi fanya vile vitu unavyovipenda.
Kumbuka wewe ndo chanzo cha furaha yako.Kingine tafuta biashara au mradi wowote utakaokufanya uwe busy na uweze kutengeneza kipato chako.Mbona utatoboa kimya kimya pasipo kuwa na majibizano ndani.Mungu akusaidie kweli kweli maana si rahisi.Happy New year.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo maana kila siku mnaanbiwa acha kujenga na mwanaume. Usimsaidie mwanaume financially. Wanaume hawana shukrani kamwe
Ndio ukubwa huo na Mungu ndiye amepangaHii ya kuwa na mtoto kabla yako inanitesa mimi sana...kuna wakati najuta ila dada yangu anaitia moyo ,napata ujasiri maisha yanasonga
Huyo mume wako ni kabila gani?Unajua watu jf wanafikirigi watu wengine wanaletaga stor ila aisee kuna point mtu unafikia unahitaji msaada kabisaa
Yaani natamani ni attach sms moja hapa ila aia maana
Maana mimi nilimwambia sipendi haya maisha ya manyanyaso kwangu akasema
Haya maisha wewe ndo utakaeumia maana mimi siumiagi nadhani unajua hilo
Yaani nikajiuliza kuna mtu duniani asiemia kwa namna yoyote?
Haahaaahaa