Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumeanza kuchangamukaaaa 😊 😊Clarification- hii story ya mary nimeiandika juu juu tu kwani sio mlengwa halisi wa hiki kisa
EPISODE 2
Basi bana nakumbuka kuna sherehe nilihudhuria ilikua birthday party ya co worker mmoja ivi nikakutana na huyu binti wa kisomali hapa nadhani ndo masaibu na mikosi ya maisha yangu yalianzia hapa.... Hiyo siku tulifanya party tu wala hatusemeshana na huyo binti, ila ali catch sana attention yangu maana alikua binti mrembo haswa, tukirudi kwenye maisha ya chuo sio kwamba sikuwahi kucheat, ila nilifanya hivo na mabinti ambao niliwaweka wazi kabisa kuwa nina serious relationship wasitegemee chochote kutoka kwangu kwamba tunaweza kua serious, after that party nikapotezea kuhusiana na huyo binti( tumuite Samira)... Kumbe Samira alikua amekuja na rafiki yake mmoja ambae anadate na huyu mfanyakazi mwenzangu ambae ndo alikua na hio shehere
Huyu jamaa sikua na mazoea nae sana zaidi ya kikazi,maana wao wakitoka job walikua wanapenda kwenda pale new africa casino wanapiga zao mitungi mpaka foleni ilegee ndo wanaondoka, sasa mimi hio lifestyle sikuweza kwenda nao sawa maana nilikua tayari naishi na Mary ni kama nilikua nishaoa na kumbuka usafiri naotumia mary nae ndo alikua anautegemea.... Sasa kumbe huyu mfanyakazi mwenzangu( tumuite John) yeye bado akawa anakutana na huyu Samira na rafiki yake Samira ambae ni mpenzi wake na John, sijui sasa story zikaanzia wapi kumbe yule Samira akawa ananidadisi kwa huyu mshkaji john kila wakikutana, ikaenda mpaka wakaanza matani kila wakikutana Samira anamtania msalimie Mume wangu Patrick!!! Hapo mi sijui lolote na wala jamaa hakuwahi kuniambia chochote....
Baada ya muda huyu jamaa John tukaanza mazoea flani tukawa weekend nyingi tunapiga wote vinywaji japo nilikua najitahidi sana kumkwepa, ikaenda hivo mpaka siku akaniita jangwani kipindi hicho pa moto moto nikaenda nipo mwenyewe, nikamkuta yupo na mpenzi wake na huyo binti Samira nae alikuwepo, mabinti wameagiza juice jamaa anakunywa grants( kipindi iko bado vijana na mshahara na posho ofisini ilikua si haba).... Ile nafika nikawasalimu kisha nikaketi, huyu samira akawa anaongea kwa utani "afadhali leo Mume wangu amekuja maana kila siku natuma salamu hata sijibiwi"
Nikawa confused kwanza ila nikajikaza nikakausha tu, nikaagiza glass tukaanza kupiga shots pale mshkaji story nyingi ndo nikajua wale mabinti wako mwaka wa pili TIA pale, hapo nikawa nampiga jicho Samira la kuibia ibia mpaka nadhani akawa kama kashtuka ivi, nikaona hapa niskae kinyonge nikawaagizia chakula wakakataa wakidai wametoka kula basi nikaongeza tena pombe pale na wao nikawaongezea juice, sasa baada ya muda john nae pombe imeanza kukolea akawa anamwambia huyu samira " haya patrick huyo hapo nimechoka kila siku unatuma tuma"...
Akili yangu ikaclick tena nikawaambia mbona siwaelewi, ndo john akaanza kuropoka " bana huyu kila siku haishi kutuma salamu kwako bora umekuja leo muongee wenyewe tu" nikawaza mbona mshkaji hajawahi kuniambia au ndo alikua ananbania white, hapo nikaweka shots kadhaa nina confidence kiaina nikamgeukia yule binti nikamwaambia hebu chukua namba zangu salam zangu unipe mwenyewe basi akaandika namba kwenye simu yake akasave....
Sikukaa sana maana Mary alishaanza kusumbua nachelewa nikaaga pale mi nikaondoka zangu, nafika home ile nafungua simu nakuta samira kantumia picha zake kama 10 ivi wala hakuna ujumbe wowote, huyu mtoto alikua mzuri huwezi amini mpaka leo picha zake kuna mahali ninazo nilishindwa kuzifuta.... Nikaangalia zile picha nikawa ninawaza hapa kazi ninayo, sema nikawa najipa moyo Mke tayari ninae hapa nikipita siangalii nyuma... Nakafungua zile picha zote sikujibu chochote nikakaa kimya tu
Kesho nipo kazini, ikaingia text kutoka kwa samira "Mme mbona jana hukujibu au ulipitia mchepuko huko nini"... Nikawaza sana badae nikamuita john nikawa namdadisi kuhusu huyu binti, nikamuuliza john ina maana katika maongezi/utani wenu hujawahi mwambie huyu binti naishi na mwanamke mimi, jamaa akasema hajawahi hata kumuambia hilo swala, hapo na mimi nipo kwenye denial mode tu ila akilini samira kashaanza kuniingia... Nikawaza nikasema potelea popote acha liwalo na liwe
Nikawa sio mtu wa mazoea ya kuchat nae kwenye simu sana mpaka weekend moja nikamtafuta tukaanza kuchat
Mimi: hujambo mke
Samira: sijambo mme, loh mwanaume ndo leo umenikumba
Mimi: kukuwaza nakuwaza sana sema nakua busy na kazi na kupambana na maisha, vipi leo una muda nataka tuonane
Samira: sijaweka vizuri ratiba zangu ila inategemea una shida gani na mimi labda naweza kuadjust ratiba
Mimi: nataka leo nimtoe mke kwenye first date ikiwezekana tuvunje kabisa undugu leo tuzindue penzi letu
(Kumbuka hapo mi naenda resi maana binti mwenyewe ndo alianza kuonyesha kunitaka)
Samirah: Patrick hivi uko serious kweli?
mimi: nipo serious sana tu we jiandae niambie saa ngapi nije nikufate
samira: Mungu wangu Patrick mi napenda utani sana sikutegemea kama we utachukulia serious kiivo, mi nakuona kama kaka yangu sio tofauti na hapo na mimi na mtu anayekunywa pombe wapi na wapi
Heeee!! Nikabaki nashangaa tu, huyu mtu mbona simuelewi hata, mbona ye ndo ameanzisha haya mambo leo hii anaruka kiasi hiki? Basi nikashikwa na hasira pale nikapotezea, huku Maisha na Mary yapo poa kabisa wala hakuna dosari yoyote ile, nikawa nawaza kwanza nahangaika nini wakati nina mke mzuri kabisa ambae hajawahi hata kunisumbua, aisee kumbe nilikua sijui kinachonisubiri mbele
Mkuu hadi hapa naona ushatoa bikira 3, unabahati sanaS3 episode 3
Sasa nikawa namuuliza G(grace) mbona mnaondoka hata hamuagi sasa, akasema hakuna hata niliogopa tu kuwasumbua.... Basi nikamwambia funguo nawaachia mje huku mi natoka akasema sawa
Mapenzi na naomi hayakuwezekana kwa sababu kama tatu hivi, kwanza sipendi office romance, pili naomi tayari alikua na watoto wawili so kuendelea kua nae mbeleni ingekua complicated sana, tatu alikua ni mtu anapenda sana ku control mtu, yaani alikua na ubabe flani wa kijinga sana, atahangaika kukagua simu yako kila muda, atataka kila saa ajue upo wapi na unafanya nini, usipopokea simu yake yaani yupo radhi apige missed call hata 20, utakuta sms za kulalamika za kila aina.... Basi tu hatukukaa hata muda tukaja kuachana tu kiivo
Huku sasa mama mkwe asharudi so the same routine, G na mtoto mara nyingi watashinda kwangu mama mkwe akitoka mihangaiko jioni atawapitia wataenda kulala kwake, haikupita muda mama mzazi nae akaja kumsalimu mtoto akafurahi kumkuta amekua,wakapeana namba na mama mkwe ni kama walitokea kuelewana tu, after some days huyo ye akaondoka zake
Huku G nae anazidi kunzoea tofauti na awali ambapo alikua ananiogopa kabisa, kuna siku atakutumia sms ya utani yaani hivo tu, ila ukiwakuta mkiwa wote hua hawezi kuongea ujanja utaishia kwenye simu tu
Sasa kuna siku natoka kazini nafika home namkuta G yupo na mtoto wako sebleni wanacheza cheza, sikumbuki exactly alikua amevaa nguo gani but ni vyepesi vyepesi, hwa watoto nao ndo wanapevuka hasa na hata sidiria huwezi kukuta amevaa, ile npo busy namuangalia ghafla nikashtuka, nikasema hapana siwezi kabisa kuwaza hivyo hata siku moja, nikatoka nje nikaondoka zangu..... Hili wazo nikalifutilia mbali
Nikawa sasa najitahidi kutokaa nyumbani kabisa, maana kuna kipindi inatokea tu mnajikuta mnaangaliana kiwizi wizi, hapo kumbuka mi ni mkubwa kabisa kwa huyu binti nikawa nasema hapa ntakuja kujiabisha tu, nae sasa sms za utani haziishi kila nikiwa sipo.....
On a fateful day
Kuna siku hii siwezi kuisahau mpaka tarehe hua naikumbuka, ilikua jumapili moja hivi nimetoka na mshkaji wangu mmoja tumeenda zetu kuna bar karibu na chuo cha saut, tugaagiza zetu mbuzi iliyokaangwa na pombe kali pale tukawa tunapiga taratibu, sasa nikawa napitia pitia display pictures za watu za whatsapp nikakuta G kaweka picha moja hivi nikajikuta siishi kuiangalia, nikaanza kama kupata mawazo fulani ya kijinga hivi basi tu kila muda ntarudi kuiangalia, tukanywa pale mpaka mida ya jioni kila mtu akaaga mi nikarudi home
Namkuta G anaangalia tv mtoto amelala, hapa kavaa kisket flani na kitop cheupe chuchu hizo, hio siku nikamuangalia ni kama shetani alishanizidi nguvu, namuambiaje sasa? Si ndo kujiabisha sasa huku, nikasema hapa ni kuendelea tu kujitoa akili nikawa nakunywa zangu pale namtania tania na ye hapo tukiwa wote hua ana kauoga fulani hivi
Kila move nayotaka kupiga naona inagoma, kila nikiwaza kufanya hivi naona hapana, baadae nikasema liwalo na liwe bana, nikaenda room kwangu, nikamuita G, akaita nikamwambia njoo, akaja akawa kasimama nikamwambia kaa kitandani kuna kitu nataka nikuambie, akakaa lakini mwisho kabisa wa kitanda hapo naona kashabadilika hayupo sawa, nikamwambia mbona mbali huko sasa tutaskizana kweli? Akasema panatosha nakuskia, hapo nasema hapa maji nishayavulia nguo, liwalo na liwe tu hata nisipofanikiwa sawa tu yaani, ila kuna ka akili kanakuja huyu akikataa nani atakaa na mwanangu? Akimwambia mama mkwe? Anyway nikasema potelea mbali hapo pombe nazo zinanipa ushauri si utani
Nikasogea nikamvuta mkono akawa kama amekaza ila akasogea, hapo mimi sasa maneno yashaisha sina hata cha kumuambia, nikamvuta karibu kabisa akaanza kuniambia hapana kaka, hapo ashajua nini kinaendelea, nikasema hapa hakuna kurudi nyuma nishaharibu, hapo nishamvuta yupo karibu anahema tu ananiambia hapana hapana, mimi ni nani hapo siskii chochote, nataka kupandisha sketi ananitoa mikono yaani ni vurugu tupu, mwisho ni kama nikamzidi nguvu sketi imepanda chupi nishaivuta chini, ye yupo busy anasema tu hapana kaka, mara nisamehe kaka, hapo nashangaa maana sijawahi hata kuitwa kaka na G
Aisee katika maisha yangu hii ni moja ya siku ambayo hua naona aibu sana kuikumbuka, yote yaliyotokea ni kama nilimbaka tu huyu mtoto wala hayakua mapenzi ya makubaliano, ukiweka na pombe sasa na ye bado alikua na utepe yaani sikua gentle kabisa nahisi nilimuumiza sana, anyway ndo ikawa ishatokea sasa, acha aanze kulia, bembeleza wapi, sijakaa sawa d nae kaamka chumba kingine nae analia, bembeleza huku na huku, hapo najiona mjinga sana, nimefanya nini, akienda kumwambia mama ake? Nikatoka nje nikawaacha, piga simu kwa mama mkwe namwambia hawa ntawapitisha mahali wakale wala usiwafate ntawaleta mwenyewe akasema sawa
Rudi ndani bembeleza we wapi, mwisho akaniambia niache nilale kwanza, nikamchukua d tumekaa sebleni, mara vilio chumbani haviishi namuuliza nini tumbo linauma, sumbuka sana pale nikasema huyu asije nifia, badae kuna jamaa yangu mmoja ni mtu mzima kidogo nikamchek nikamuelezea akaniambia chemsha maji tia chumvi kidogo mkande chini ya kitovu hapo, ikabidi nifanye hivoo... Tumekaa we ametulia kidogo ananiangalia kwa hasira akaniambia tunaenda kwa mama
Basi nikawapakia mpaka kwao nimwambia jikaze mama asijue kitu hapo hata hajibu, nikatoa hela kumpa akagoma, alikua na kimkoba flani ivi nikazisunda huko wakashuka mi nikaondoka, aisee nikaenda kukaa mahali nawaza nimekuja kua mtu wa aina gani mimi tena, hapo nimeshajishusha hadhi sana nawaza mbona kama nimekua mbakaji tena
Ikaenda mpaka usiku sana G anatuma sms "kwanini umenifanyia ivo" nikatafuta jibu la kumpa wala sioni, badae nikajibu nisamehe tu sijui nini kilinipata
G na mtoto wakakata mguu kuja sasa kwangu, simu nampigia hapokei wala sms hajibu, mpaka mama mkwe ananiuliza hawa mbona siku hizi hawataki kuja huko? Nikawa nazuga zuga tu sijui labda walipamiss huko na majirani huku si unajua hakuna mtu, basi nikawa naenda nawasalimu ila G kila akiona atanikwepa tu.... Nikasema hapa nishaharibu, kuna weekend moja hapo zimepita kama wiki 2 siongei na G mama mkwe akasema leo tunakuja tupike huko huko, kweli wakaja wakashinda home pale na mama mkwe, sasa wamama nao kuna mambo hua wanaona ya kiutu uzima, ile siku jinsi tunavyoangaliana na G jinsi alivyokua ananipakulia sijui yule mama aliona nini, na ukiunganisha G alivyokua anakataa kuja huku
Mama mkwe kuna muda akaniita nje
Mama mkwe: "mwanangu kuna kitu nataka nikuulize nikikukwaza unisamehe"
mimi: "uliza tu mama"
Mama mkwe " we na mwenzako, kuna kitu mmefanya?
mimi: "mwenzangu nani?"
Mama mkwe: "Grace"
Umeongea la maana Sana dadaMaombi ya wazazi kwa watoto ni ngao muhimu Sana....
Wazazi msiache kuwaombea watoto wenu kila iitwapo Leo. Maombi yenu ni nguzo imara kwa watoto wenu.
Imagine mtu anarudi kazini ankutana na habari njema had anaambiwa alikotoka sio pa kawaida (maana yake mganga wake konki) lakini ni ile nguvu ya maombi.
Nakumbuka wakati mama yangu akiwa hai alikuwa ananiombea Sana na kweli Mambo yangu mengi yalikuwa yananyooka. Nakumbuka Nikiwa shule kuna fursa moja kubwa alikatwa mtu aliyewekwa kwa hila nikawekwa mm....wakat niko huko kuna application moja nlifanya nikapata admission mbali na tz bas kuna raia mmoja akasema mganga wako mzuri.
Mommy Alipoanza kuumwa Sana akapunguza maombi nilipwaya kias flani. Na sasa hayupo kabisa Sina mtu anayeweza kuvunja ratiba zake za milo ya kila siku kujitaabisha kwa ajili yangu.
Kabisa kaka mademu wa uswahilin hawako romabtic , ngeli haipand wao ni xaxa xaf nambieYaani wakati unasema kuwa Huyo mwanamke kaishia darasa la Saba nilitaka kukuuliza how are you communicating with her, maana wengi ni vichwa maji level ya uelewa ni ndogo Sana , yaani hata mapenzi huwa Yana kosa Ule uromantic maana hawajui kabisa hata kuji- sexisha , Mimi napenda mwanamke tuwe tunaitana majina ya kizungu like better half, good kisser and the likes sasa Hao wadarasa la Saba hayo hawajui wewe uliwezaje mkuu kuishi na type Hiyo !? Bad enough akiwa anatoka uswahilini Anakuwa she's belong to the streets yaani hata umpe nini lazima utachapiwa tu Maana kuna life style ya hovyo Anakuwa tayari amesha izoea ndio Ile wewe unajikuta Una Hali nzuri ya kiuchumi lakini mke wako Analiwa na DJ wa vigoro, pole Sana chief
Kaka hukutaka kunialika christmas kabisa,Maisha haya 😀, 10 minutes ago nimetoka kuongea na Samira hapa
X mas gan tena kaka mbona huu Uzi ulianza x mas imeishaKaka hukutaka kunialika christmas kabisa,
Imagine 🤣🤣🤣Kabisa kaka mademu wa uswahilin hawako romabtic , ngeli haipand wao ni xaxa xaf nambie
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Yeah Good idea twende kazi boss PatrickNataka kuanzisha Uzi mwingine nielezee tu majanga yangu ambayo sitayasahau ambayo sikugusia kwenye uzi uliopita
Shusha vituNataka kuanzisha Uzi mwingine nielezee tu majanga yangu ambayo sitayasahau ambayo sikugusia kwenye uzi uliopita
bro tuna subir huo uzi mpyaNataka kuanzisha Uzi mwingine nielezee tu majanga yangu ambayo sitayasahau ambayo sikugusia kwenye uzi uliopita
[emoji28]hii comments ilifaa iwe episode
" Hivi wewe hizo akili zako umezitoa wapi , mbona baba Yako hakua na akili kama hizo" hii kauli inafansna na ya mama angu ila hapo kwenye akili weka tabiaS3 epi 10
Mama namjua akianza kuongea hamalizi Leo sikumjibu chochote nikampotezea, kesho yake Sasa nawasiliana na ba mdogo yaani tunapanga mbinu utasema tuko vitani, kwanza akaniambia amefanya mawasiliano Kuna mtu kampata mwanza Mzee mmoja wa kwenda nae, akaniambia yule Mzee wa kwanza tulieenda nae wakati wa kujitambulisha Kwa Rachel hafai, anadai yule ni mlaini Sana hii vita hatoiweza inahitaji makamanda kweli, hapo mimi simbishii kitu chochote nipo kimya maana nilishamuachia msala apambane nao....
Ba mdogo akaja Sasa na idea Moja, operation ya kuua ndege wawili Kwa jiwe Moja....
Akaniambia hapa inabidi tulipue mabomu kotekote ibaki tu kazi ya kukabiliana na madhara yatakayojitokeza, jumapili akienda Kwa mama mkwe na mimi huku nikae na mama nimuambie tu Kila kitu, maana hata nisiposema akasema mama mkwe ni lazima tu atampigia mama, hapo Sasa naona nimeruka nimejichanganya tu, mama yangu namjua ataongea mpaka nyumba ipate ufa, ila nikiwaza msala wa mama mkwe kule naona Bora nipambane tu huku kule ni kwa moto zaidi, hapo Rachel yeye Bado Sasa, nawaza huyu nae hawezi kuacha ipite hivi hivi lazima tu ataleta vita ya aina yake,
Hua sifanyi kitu bila ya kua na plan b, nawaza haya mambo yanaweza yakaenda tofauti kabisa na tunavyotarajia hivo plan b yangu ni kua nikiona mambo yameharibika Sana nifanye mpango mtoto nimlete huku Kwa mama maana nilihofia Rachel anaweza pata sababu ya kumchukua mtoto....... Nikishamleta huku mimi Sasa nibaki nipambane na lolote litalokuja
Usiku wa deni haukawi kufika, jumapili hio hapo, nipo busy na askari wangu( ba mdogo) tunapanga mipango wa mwisho, nikampa idea usiende mikono mitupu nunua zawadi za mama mkwe na mtoto kwanza mpate hata pa kuanzia mkienda, Sasa ba mdogo hii ishu yeye anachukulia simple tu yaani anasema " hii ya Leo Haina Cha zawadi Wala nini, Leo tunaenda uwanja wa vita zawadi za nini tena"
Mimi huku swala la kumuambia mama likanishinda, Kuna rafiki yake mmoja mama mtu mzima Sana tulikua tunatenganishwa na ukuta tu huyu mama alikua mcheshi na simple Sana, nikawa nimeshamuambia majanga yote nikamwambia jumapili we njoo umueleze tu huyu Mzee mwenzako akasema hakuna shaka.........
Hio siku yule mama kafika Sasa home, tumekaa Kaa pale ikabidi mi nizuge nikatoka zangu nimuache Sasa afikishe msala huku, nimetoka nimekaa bar Moja nampigia ba mdogo kujua kafikia wapi, anapokea anauliza vipi wewe uko wapi? Namuambia npo bar hapa natuliza kichwa kidogo, jamaa nae anacheka anasema na si tumepitia hapa tunapiga Moja Moja kwanza hii vita sio ya kwenda ivi ivi
G hapo tunawasiliana kawaida ila sijamwambia chochote asije akavujisha taarifa akaharibu, ikafika muda ba mdogo ananiambia wapo njiani wanakaribia kufika....
Mimi ni nani??
Nikachukua Simu yangu, mama mkwe nikamtupia kwenye blacklist, Rachel nae nikamuunga huko huko.... Hapa nasema mpaka nipate kwanza feedback kutoka Kwa ba mdogo ndo ntajua Cha kuongea nao....
Basi wao wakafika kule hapo tukaacha kuwasiliana, hapo Nina mawazo najiuliza mbona nimejiingiza kwenye matatizo kiasi hiki, upande wa mama Wala siwazi Sana najua tu atasema mpaka nikome, huku Sasa Kwa mama mkwe.... Nikakaa pale yaani navyosubiri Simu ya ba mdogo ni sawa na mtu ammepeleka mwenzie labor anasubiri ajifungue
Nikiwa nashusha bia taratibu pale, mama yangu akaanza kupiga nikawa kimya tu Wala simpokelei, akapiga kama mara tatu mie kimya tu.... Nakaa kama dakika 10 naona sms kutoka kwake
" Hivi wewe hizo akili zako umezitoa wapi , mbona baba Yako hakua na akili kama hizo"
Nikawaza hapa bomu la kwanza lishalipuka...
Sijapata hata muda wa kuwaza ba mdogo nae anatuma sms
" Mzee hii Ngoma nzito, tushachemka huku"
[emoji3][emoji3]Unataka nipewe laana sio
Usisahau kutuweka link hapa ya huo uzi.....Nataka kuanzisha Uzi mwingine nielezee tu majanga yangu ambayo sitayasahau ambayo sikugusia kwenye uzi uliopita