Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Naomba utag huo uzi
 
Eti kuwa na wewe mwanangu utakuja kuyapitia tu[emoji28][emoji28][emoji28]
 
kaka Patrick mwezi February Narudi likizo Mwanza, kindly nitapenda tuonane unipe ABC fulani ambazo nimeona unaweza kunisaidia(za familia na mahusiano), kindly ni PM


Mkuu naona unataka kampani ya gambe coz mtoa mada mambo ya familia na mahusiano hayupo vizuri kabisa.
Kabla hujafika mwanza akutumie namba za bamdogo

🤣🤣🤣🤣
 
Mkuu naona unataka kampani ya gambe coz mtoa mada mambo ya familia na mahusiano hayupo vizuri kabisa.
Kabla hujafika mwanza akutumie namba za bamdogo

🤣🤣🤣🤣
kulipa mahari nusu ya dada mtu na kuoa mdogo mtu, hiyo ni zaidi ya experience, btw sikurudi nilibanana😁
 
Ni hatari
 
N ndefu sana nmeishia season2 Mwanza espode2 sema maixha yamejaa usaliti na kuumiza nyoyo za watu. Kingne nilichogundua...mnaooa singo mom ni kama kula matapishi/mabaki ya food alokula m2 kabla
 
Mwenyewe majanga yanayonikumba hapa mpaka najiuliza hivi nimemkosea nani?
La mwisho juzi, nimejikuta home damu kibao njia nzima nimepasuka pua
Huku j3 nna interview🥲.
Mademu sifikirii maana niko sawa na ma X wangu karibia wote.
Ila najua iko siku ntachomoka kama hawajaniua kabisa.
Labda huyu Mkenya wa mwisho,
ila mbona tuliachana in peace tu.
 
Jirani kama jirani😀, sema kale kambulu kalikua kazuri ila kalinikuta kipindi nimevurugwa
Thanks mkuu hii story nimeisoma yote kwa siku 2 tu non-stop.
Mambo mengi umegusia mi nimepitia ingawa kwenye kumwaga makuta umeniacha mi ni sound tu natoboa,
Ila nimejifunza majanga nikutambaa nayo tu mpk mwisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…