Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Tupia tupia Vitu Dingi D
 
wewe jamaa unakera, kama vile hauna akili vizuri wakati unaaminiwa na ukoo wako kabisa
Anza na huyo alienianza wewe ndio pungu kabisa huna akili kudandia mambo hayakuhusu huna kazi ya kufanya jobless unatafuta kazi ya kutukana watu mitandaoni?
 
haha kweli jf ni kichaka kuna mtu kanitumia sms kupitia simu yangu ya kawaida ameshagundua id yangu kupitia hii story, ila hakuna shaka mi ntaiendeleza mpaka mwisho kabisa
Hiyo kawaida sana, Kuna jamaa nlikuwa nacheza nae team Moja ya mtaaa nlimsimulia story ya mtoto wa Rombo jamaa akaja kuandika humu nikamuuliza we ni fulani akakataa nikampa details flan akakubali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…