Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Kmmk 😁 🤣 🙌 🙌

Watoto wa uswahilini Wana kuwaga wazuri ila tabia sasa 🙌🙌
 
Andika hapo na wewe punguza umalaya ✍️✍️✍️🤣🤣🤣
 

Attachments

  • 20241223_163455.jpg
    49.7 KB · Views: 8
Baba mkubwa nae anatonesha kidonda 🤣🤣🤣
 
Yaani wakati unasema kuwa Huyo mwanamke kaishia darasa la Saba nilitaka kukuuliza how are you communicating with her, maana wengi ni vichwa maji level ya uelewa ni ndogo Sana , yaani hata mapenzi huwa Yana kosa Ule uromantic maana hawajui kabisa hata kuji- sexisha , Mimi napenda mwanamke tuwe tunaitana majina ya kizungu like better half, good kisser and the likes sasa Hao wadarasa la Saba hayo hawajui wewe uliwezaje mkuu kuishi na type Hiyo !? Bad enough akiwa anatoka uswahilini Anakuwa she's belong to the streets yaani hata umpe nini lazima utachapiwa tu Maana kuna life style ya hovyo Anakuwa tayari amesha izoea ndio Ile wewe unajikuta Una Hali nzuri ya kiuchumi lakini mke wako Analiwa na DJ wa vigoro, pole Sana chief
 
🤣🤣🤣 Umpe milion 3 na Mtu alikuwa anauza matunda huko umemkomboa umemuweka ndani so anajikuta mko level Sawa , imagine umeanza Ujenzi badala mwanamke akupunguzie majukumu ili ujenge ndio kwanza anaomba mtaji wa biashara wtf 🚮
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…