Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Mwaka Huu Mpk Ibirisi Atutoe Roho 🀣
 
Umo si ulitaka mwenyew 🀣
 
Sikutuma ujumbe

Kuhusu zawadi,ni nyingi hadi natamani niwapatie ndugu wa kike lakini suala la kumpelekea wewe ni hapana maana kuna nyingine natakiwa nimvishe kwa mikono yangu sasa wewe utaweza?🀣

Nimtume kijana alete umfikishie baadhi?
😹😹😹 Weeh.!! Tule tudude twa kambakamba 🀭

Mpelekee mkanitafutie na auntie mwaka usiishe huu wifi anitume embe na udongo 😹
 
Halafu wewe ni mstaarabu sana na una hofu ya Mungu. Vinginevyo ungewakimbia na hakuna chochote wangefanya
 
Mkuu naona ushapiga cha nyumbani kabisa
 
Wale wazee usiwape hata mia, watatumia kukuroga
 
Ashukuru alikunywa balimi, angejichanganya kunywa pingu au chipapa ba mdogo angeomba naye akazie undugu kwa mama mkwe ili walee wajukuu [emoji81]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…