Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Ulipo tupo!😃
 
Hii stori chai kama sio chai we hujielewi hujielewi mtoto wa kiume huwezi kuendeshwa kama ng'ombe we ukitajiwq pesa tu unatoa we ni mtoto wa bakhresa nini hii chai na Leo ndio mwisho kuisoma
Tonatofautiana kimtazamo that's all


Wewe huwezi, mimi naweza and vice versa


Mwaka Jana Kuna rafiki yangu kaoa huku katoa mahari ngombe 24( 24*350,000) hapo hata mimi nilimshangaa nikasema nisingeweza


Kuna watu wanatoa mahari mpaka 20+M, kama kitu we huwezi usione hakiwezekani


Alafu na we jaribu kuwapa mimba mabinti wa boma moja ndo utajua nilikua naendeshwa kama ng'ombe au
 
Achana nae..
 
Yashanikuta wife alitembelewa na mdogo ake. Mipombe hii nikamshika maziwa. Ni miaka 6 sasa mkwe tunasalimiana kwa mbali.

Naona aibu..kwangu amekata mguu kuja, yaani ni aibu na ipo kimya kimya tu. Hata sijui mambo yatakuja kuishaje...

Kiukweli nilichofanya nilikataa tu..wife nikamwambia siwez kufanya jambo hilo na kwa kuwa mkwe ameambiwa na mwanae baas mmi nimejinyamazia na aibu ipo kimya kimya hivyo.

Cha msingi nilikataa kutenda jambo hilo
 
Acha habari zako sisi sio watoto bhana wewe Kwa hii stori Yako ni Chao yaani unazungumza kaam unadanganya watoto wa chekechea sio yaani we ni mzee wa kutoa tu hela hovyo hata mo ushawahi kumuona anatoa hela hovyo hovyo sisi sio wajinga malizia stori Yako kudanganya wengine Mimi nimeishia hapa nimeona napigwa kamba ya katani
 
Mane Toks,,,
 
We bwege tuu umeitwa????????
 
Ww mwamba una hasira za arsenali kudroo ndo unaleta huku

Nimeona dp yako naona ni arsenal damu

Hebu kama unaona chai si upite kule halaf hio chai iendelee
 
Hapo kwenye maPenne mmh,,,
Kwamba akikohoa2 ziko kwny gar,,🤣

Credit kwako Nzengo Party
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…