Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Hapo kwenye maPenne mmh,,,
Kwamba akikohoa2 ziko kwny gar,,🤣
Ndio maana nikasema jamaa stori Yake ni chai yaani yeye akiambiwa swala la pesa tu fasta kutoa yaani hata abishi kusema kuwatingisha wanaomuomba pesa yaani hata mo hafanyi hivyo Mimi nimeishia hapa hii stori ni Chai acha asimulie wengine mwanzo nilijua stori ya kweli kumbe chai ya rangi
 
Kama huna hela ni wewe tu, Wengine wanazo.
 
Hii stori chai kama sio chai we hujielewi mtoto wa kiume huwezi kuendeshwa kama ng'ombe we ukitajiwa pesa tu unatoa we ni mtoto wa bakhresa nini hii chai ya rangi na Leo ndio mwisho kuinywa
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
 
Acha ujinga fala wewe fanya kazi sio unakaa unasubiri stori za uongo humu ili kujifariji boya wewe
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
 
Kizururi kinasemwa hyoo ni subtitle yako ya kusifia 🤗🤗🤗 sema hawajakuelewa
 
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
Fanya kazi ngedere wewe sio Kila mda kukodoa macho humu kusoma chai yaani unamnyenyekea huyo bwege wakiume wewe kaza
 
Sijaona mwenye hela hapa najua mnabembeleza kuendelea kusoma chai
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
 
Fanya kazi ngedere wewe sio Kila mda kukodoa macho humu kusoma chai yaani unamnyenyekea huyo bwege wakiume wewe kaza
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
 
UMELAZIMISHWA??? CHAI ACHANA NAYO USIWE MPUMBAVU USIYEKUWA NA AKILI, MTOTO WAKIUME BADO UPO KWENYE UZI WA MWANAUME MWENZIO UNAROPOKA KA MTOTO WA KIKE ACHA UJINGA!!!! USHAMWAMBIA CHAI PITA KUSHOTO
We mbona hujapita kushoto kwenye comment yangu hii ni chai na lazima tuseme chai chai chai chai
 
Rafiki ako alivuta Chombo cheupe cha Kisukuma nini!?? Ndio Mahali zao hizo mkuu
 
Yakiisha haya, siku ukitaka kukagegeda natumbo wake utatushushia Siraidi unavyomgegeda
 
Gunner Shooter MTOTO WAKIUME UNAUPONDA UZI WA MWANAUME MWENZIO AFU KUCHWA UNAUFATILIA ULIVYO BWEGE KILA SAA UNAUFATILIA UNAUFUNGUA NAKUUSOMA HUO MUDA WA KUUFUNGUA SI UNGEKAA NA DADA YAKO MKUNE NAZI, AFU UNAUPONDA STAKI NATAKA. BOYA KWELI WEWE.
Muache huyo ngoja tuendelee, naona laki 6 imemtibua kweli, ngoja siku na yeye aende kuoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…