Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

Ba mdogo ni mwamba
 
Taharifa kutoka kituo cha police Cha Staki Shali ni kwamba kaka patrickk ajaletewa chakula toka jana maana yule jamaa aliye pewa wallet na simu ajaonekana kituoni tena ivyo ni vigumu kuendelea na story ivyo tunaomba mtu ambaye yupo karibu na kituo apeleke chakula ata kama ni kande na maji ni sawa tuu
 
Mahusiano na ndoa kwa sasa ni kitu kugumu mno kuna members wanasoma hii story ila wana ya kwao moyoni sema sio wazuri kuanzisha thread na sio waandishi wazuri
Ndoa ni ngumu kama wanandoa ni pasua vichwa, au kama mmoja ana mambo mengi hapo lazm moto uwake, lakin kama wanandoa hamna mambo mengi, ndoa ni raha sana, sema nin, mwanaume ndo unatakiwa uwe dereva wa hiyo ndoa, lakn ukikubali kuendeshwa, umekwisha!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…