Ushawahi kujichanganya kimapenzi mpaka ukawa unawaza hapo nyuma ulikosea wapi?

patrickk
 
sasa wewe unaheshima gani,utopolo
 
hii tabia yakuleta stori na kupotea au unaweka viepisode viwili na visababu mara muda mara sijui maujinga gan ni mambo ya ajabu au ni mambo yakike. kama unaona huna mda husianzishe stori subiri hadi uwe na mda ndo mlete vistori vyenu. shain... nyi ndo mkifanikiwaga kupata viela flan vya kubadilisha mboga mnaanza kuringa. mbna mnavoanzaga stori hamsemag kama mda hautosh?
 
Khaa !!umekula mchana mkuu
 
Dunia inashangaza sana. Huyu mtu utakuta ni baba wa familia au mama wa familia.
Yupo busy mtandaoni kusoma historia za watu na watu wasipomalizia anakasirika na kuchukia. Hajalazimishwa asome ila amesoma na matokeo yake ni matusi. Mtu humchangii bando wala humsaidii kwa lolote ila unamtukana. Hebu andika na wewe historia yako uone ilivyo kazi kuandika na kupata muda wa kuandika
Huyu mtu kwa wema ameamua andike historia yake na hajakulazimisha usome na ukumbuke hapo ana kazi kwahiyo kitendo cha kukaa na kuandika maneno zaidi ya 2000 na kwa kutumia bando lake ni kumheshimu sana
Mtu mwenye IQ kubwa akiona inamfaa anasoma, km haijawekwa anatulia, anaendelea mishemishe zake, siku ikiwekwa anasoma, km story haimfai hasomi
 
calm down body.
 
kwakweli mkuu, makasiliko hayafai tujalibu kuwaheshim wengine kwa maneno na matendo,
 
Mkuu jumapili nenda kanisani kapunguze dhambi halafu punguza bia
Mungu anajaribu kukupunguzia matatizo lakini bado unayafuata kwa speed.
Recho sio mtu mzuri kwako
Mara nyingi shetan anapambana sana na watu wenye vision na nyota Kali hiyo story yako ni maisha halisi ya mdogo wangu
Sijui anamatatitizo gani yaani analiona shino halafu anajiingiza Kuna wakati kutoa hela hakumalizi matatizo zaidi inahitajika busara za baba wadogo, kaba haya maswala yanaenfelea bado hujaseto imalizie haraka ili tukushauri kama nimatukio ya kitambo basi endelea kutupa burudani.

Lakini pia kuokotaokota wanawake sio kuzuri wengine wanaroga balaa Mimi ninawasiwasi na yule aliyekuaribia kwa Mary yule so mpemba sijui? Nahisi alikuroga maana ulimuumiza sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…