Mtu na dada yake Una wala vizuri tu kama wameamua kukubless , Mimi ilinitokea kuna Mademu mtu na dada yake walijichanganya nikapita nao though hawakuwa type yangu nilipiga tu Ile hit and run
Kwanza alianza dada mtu akanipa nili mwambia Tufanye Siri maana mtu mwenyewe ni mcharuko Na Mimi Nina heshima zangu kumbe bwana akawa akikaa na ndugu / Rafiki zake ana tangaza kuwa tuna mahusiano, sindio siku Moja Nika kutana na mdogo wake wa kike , akawa ana niita shemeji nikamuuliza Mimi shemeji yako Kwa Nani nikawa najifanya sijui alicho maanisha , akasema si kwa - dada Fulani ,
Nilichofanya Mimi Nika Kataa kata kwamba sijawahi kuwa na mahusiano na Huyo mtu , Yule binti akajibu basi itakuwa dada anakutaka , Nika mwambia yaani Mimi niache kutoka na wewe nitoke na dada yako Yule mapepe kakawa kanacheka Cheka , Kaka Nipa namba za simu siku Nika kavuta home Nika kat****ba