Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui utamuoa grace hatari sanaS2 episode 12
baada ya training kuisha nikarudi, nakumbuka kipindi hicho pesa ilikuepo si haba maana tulijibana na posho tulipewa nyingi ukizingatia maisha yetu ya kibongo, basi nakumbuka nikarudi nikaenda wasalimia na kupeleka zawadi nikaondoka zangu, Rachel akaanza nitafuta mme wangu nakuja tulee mtoto wetu na blah blah kibao nikamwambia we nipe muda ntakuambia, ikapita muda mi kimya tu naenda kuona mtoto naondoka zangu, hapo kuna muda simkuti maana mtoto alishaacha na kunyonya
katika hela nilizobakiwa nazo nikaenda site nikamwaga tofali za kutosha nikaanza kuinua boma taratibu, sasa kuna kipindi Rachel akawa anauliza vipi kuhusu zile m3 nilizokuomba za mtaji mi nikwambia kwa sasa sina pesa nina ujenzi, basi sijui ni hasira au kesho yake akaniambia " kuna mtu kanitafutia kazi geita najiandaa kuondoka na mwanangu"
nikawa nawaza huyu mwanamke mbona kila siku ana jambo tu, lengo lake nipate stress tu au nini, nikampigia namuuliza sawa umepata kazi huko ukienda na mtoto na maisha hata hujaanza huko mtaishi vipi na wapi? akajibu " tutaishi tu mbona mi nilikua bila baba"
basi nikaona huyu mtu ni kama anataka ligi, jioni nikaenda kwao nikamkuta yupo na mama mkwe na grace, yule mdogo wao mdogo wa mwisho wa kiume kuna kipindi baba yake mzazi alikuja kumchukua, basi baada ya salamu na nini mama mkwe nikamueleza kila kitu tukawa kama tupo kikao, nikawaambia mwanangu haendi popote kama wamemchoka nimchukue nimpeleke kwetu maana na kunyonya kashaacha, uzuri huyu mama mkwe nachompenda hakua kabisa upande wa binti yake kwenye mambo ya kipuuzi, mama mkwe akawa mkali sana akasema mtoto haondoki mahali akawa anamwambia mtoto wake kama umepata bwana huko we ondoka ila mjukuu wangu haendi popote, baadae huyu mama akaanza kulia anamuuliza rachel umesahau maisha tulioishi kwanini unajitafutia matatizo bure ni nini ambacho hupati
hapo na mi nina hasira nikamwambia yule mama mtoto wangu nafanya mpango wa kuja mchukue na kuanzia leo mi najitoa ule utambulisho hebu ufate siku huyu akileta mwanamme mwingine we mpokee tu na mahari chukua, mi nikaondoka zangu
kweli bana ikapita muda Rachel akaja kuondoka akaenda geita nilikuja kujua baada ya muda kua alipata mwanamme alikua ana maduara mgodini huko ndo alimtoa huku ila uzuri mtoto alimuacha kwao, Mungu nae ni mpaji mi nikabadilishwa kitengo nikaenda kitengo kingine tulikua tunapata pesa sana nyumba yangu inazidi kukimbia tu moyoni nina amani, kuhusu swala la mahusiano sikua na mahusiano rasmi tena ikawa ndo hivo tena tunatoka kazini tupo na co workers tunaenda viwanja tu, wadada wa kujiliwaza hapa na pale walikuwepo wengi tu hasa hasa wanafunzi wa saut pale
mawasiliano na rachel yatakataa rasmi, nikawa namuambia mama mkwe sasa nitafute mfanyakazi nianze tu kukaa na mwanangu, akawa anagoma ananiambia italeta picha mbaya ukizingatia upo mwenyewe hapo, kumbuka hapa huyu mama kashakua kama mama yangu mzazi haishi kunipigia simu, kila siku ananiambia mwanangu Mungu atakusaidia tu mtoto atakua
Grace nae akamaliza form 4 ndo ikawa muda wote yupo na mtoto maana mama mkwe alipata kibarua mahali, kwa hio muda mwingi ikawa ndo mtu ninayewasiliana nae sana kujua mahitaji na hali ya mtoto na nini japokua karibu kila baada ya siku 2 nilikua naenda kuwaona
sasa kuna kipindi mama mkwe akaanzisha utaratibu, siku za weekend anamtuma huyu Grace wanakuja kushinda huku kwangu ili nipate muda wa kukaa na mtoto, Grace nae atafanya usafi huku, kufua nguo , kupanga vitu na kupika n.k, ye akitoka kazini ndo hua anawapitia wanaenda nyumbani, ikafika mahali wakazoea nawaachia tu funguo hata siku npo kazini watakuja kukaa kwangu badae mama mkwe atawapitia waondoke
nakuja na season 3 sasa ambayo ndo itakua mwisho huku ndo kuna balaa zito, stay tuned
Nitasoma badaeWakuu natumaini wote mpo salama na mnaendelea vyema kusherekea sikukuu hizi
Dah, kwa upande wangu mimi sipo sawa kabisa hapa najiona mkosefu sana na sijui hata jamii itanielewa vipi, nimekuja huku naamini kuna wakubwa na watu wenye busara naweza pata ushauri.. Nayopitia kwa sasa na jinsi nilivyokua na mahusiano imara huko nyuma ni mbingu na ardhi. Kisa ni kirefu kiasi chake hivyo naomba muwe wavumilivu
Mikosi ilianza kama miaka 7 iliyopita nikiwa nimemaliza chuo, nilikua na maisha bora sana yasiyo na misukosuko yoyote, nilianza mahusiano na mrembo mmoja tukiwa form four wote sema shule tofauti, yeye akisoma shule ya bweni ya wasichana pekee na mimi kipindi icho niko boarding school boys tupu, huyu binti mpaka kumpata nilitumia sana nguvu acha tu hua sitaki hata kukumbuka, ni binti ameshika sana maadili sidhani kama kuna binti wa namna hiyo endelea kufatilia huu mkasa utaelewa kwanini nakuambia hivo....ili iwe rahisi acha tumuite mary japo sio jina halisi ntajitahidi kuficha codes kadhaa
Mary alikua ametoka familia yenye uwezo mkubwa tu sana na yenye maadili mema, mama yake akiwa na wadhifa mkubwa tu serikalini na mzee wake akiwa mfanyabiashara, hatukua majirani bali nilikutana nae shuleni kwao nikiwa nimeenda kuhudhuria mahafali ya dada yangu mkubwa, bado hio siku naikumbuka kama jana kweli mapenzi yana nguvu unaweza kumuona mtu ukakaa wiki nzima bila kumtoa akilini kwako, sikufanikiwa hata kumsemesha hio siku nikawa nimeondoka na mawazo kibao tu huku namuwaza mtu ambae nilikua na imani sitokaa nije nimuone tena maishani..
Basi bana maisha yakaendelea mpaka siku nakumbuka nipo naangalia cd ya graduation ya sister kuna kipande walikua wanaimba madarasa ya chini ndipo nikamuona Mary bana, hapo nilikua nishaanza kusahau kuhusu yeye, nikamuita sister nijajikaza tu nikamuuliza unamjua huyu binti? Akamuangalia akajibu " vipi unamjua kwanini unaniuliza?" Nikamuambia hapana simfahamu ila nakumbuka nilimuona nilivyokuja shuleni kwenu kipindi kile, sister akaniambia anha huyo anaitwa Mary(disguise name) ni mdogo wake na fulani.... Akaniuliza vipi kuna nini...? Nikajibu hakuna kitu kwani wao wanakaa mkoa gani, uzuri akaniambia wanakaa mkoa mmoja na sisi tulipo, hapo mapigo ya moyo yanaenda kasi sana
Basi kila nikipata muda nikawa namdadisi sister kuhusiana na yule binti mpaka kuna siku sister akaniambia na wewe nimechoka na maswali yako ngoja ntakuombea namba kwa dada yake, baada ya kama siku mbili sister akaja akanipa ile namba hapo nimechanganyikiwa nashindwa hata nianzie wapi,nikaja mtafuta kwa njia ya sms akanijibu nikatumia nguvu sana kujitambulisha uzuri alikua anamjua sister, akawa anakomaa tu anauliza unataka nini toka kwangu nikamuambia tukiwa marafiki itapendeza akanijibu hakuna shaka....
Nikaja kumuomba nimuone kabla shule hazijafunguliwa tukaja kuonana sehemu moja alikuja na mdogo wake ila hatukukaa sana wao wakaondoka,mawasiliano yakaendelea kwa njia ya barua kipindi hicho kishule shule sasa, kufika form 4 ndo nikaja kumfungukia hisia zangu kwake nakumbuka alikua mkali mpaka nusu urafiki ufe, lakini sikukata tamaa mpaka akaja kunikubalia tukawa wapenzi rasmi
Huyu binti alikua na msimamo sana maana hatukufanya chochote mpaka tukaja kumaliza six nakumbuka kwa mbinde nilimvunja usichana hio siku alilia sana akaniomba nisije kuacha kumuoa, kwa uzuri na tabia zake hakika nilishajihakikishia hapa mke nimepata, tukachaguliwa wote udsm hakika nilifurahi sana nikapanga ghetto huko ndo mapenzi yakawa rasmi sasa, jumatatu naenda nae chuo jioni namuacha anakaa hostel za chuo mpaka ijumaa tukitoka tunaenda wote ghetto mpaka jumatatu tena, hakika Mary alikua mzuri sana ndani ya muda watu wengi sana wakawa wanamjua, nakumbuka kuna siku nipo hall kwao tupo room wakaja wadada flani nilikua nasoma nao kozi moja Mary kuwaambia kua mi ni boyfriend wake wale wadada kila tukikutana nae lecture hall wakawa wananiambia we kaka ulimpata wapi binti mrembo vile
To cut the story short, Mary hakuwahi kuniletea mauza uza yoyote kipindi tupo chuo, na ujinga sikufanya mwingi maana hakuna weekend yoyote ambayo sikua nae, maisha yakaendelea mpaka tukamaliza chuo mi nikapata kazi mwenye government institution moja ofisi zake zipo posta yeye akapata kazi kwenye private firm, after a while tukahamia kwenye nyumba nzima Mungu akajalia tukanunua na usafiri, asubuhi nampeleka job namuacha jioni anatoka anakuja ofisini kwangu ananisubiri mpaka natoka tunaenda wote home maana mi nilikua nachelewa kutoka, sikua na wasiwasi na Mary maana kuanzia chuo alishatongozwa sana na alikua akiniambia tu naomba uniamini siwezi kufanya ujinga
Basi tukaanza kuishi maisha ya Mume na mke rasmi, uzuri kwao wote kasoro wazazi tu ndo walikua hawanijui, na kwetu ivo ivo, tukaanza kabisa na kupanga mipango ya kutambulishana makwetu, dah kumbe bana ukipanga hivi shetani nae anapanga vile, nakumbuka kuna birthday moja nilihudhuria nikakutana na msichana mmoja wa kisomali mixture kidigo alikua anasoma chuo cha uhasibu TIA aisee najuta sana hio siku maana nahisi masaibu yangu yote mpaka leo hii nakula christmas kinyonge ivi yalianzia hapa...
Endelea kunifatilia naandika leo leo hii mpaka iishe hata kama ni saa 7 usiku
Raheli mwingine huyu huku anaendelea kutuwakilisha 😹😹😹S2 episode 10
Mama namjua nikampotezea tu japo nafsi yangu ilikua inaniambia kile kile ambacho kilikua kipo moyoni mwangu, lakini kitendo cha kuendelea kufanyiwa kiburi na Rachel ch kugoma kuja nyumbani hata wageni walipokuwepo nikasema hakitapita hivi hivi, nikasema ni muda muafaka sasa wa kuacha kujifanya kijana mwema sana, mimi huyo sasa nikakata mawasiliano na Rachel pamoja na mama yake, yaani hivo tu, simu sipokei, sms sijibu, hakuna cha matumizi wala nini, kitu pekee nachokumbuka kutuma tena namtuma mtu ilikua pampers za mtoto, sabuni za kufulia, mafuta ya mgando ya mtoto na wipes!! Nikitoka kazini nachelewa kurudi nyumbani basi tu nikaanza ratiba mpya nazojua mimi
Wakalalamika sana kwa sms lakini wapi mi npo kimya tu, wanakuambia dawa ya jeuri ni kiburi, imepita kama mwezi siku natoka zangu kazini nafika nyumbani namkuta Rachel yupo na mtoto, mama mkwe na mdogo wake(Grace) wananisubiri, nikajifanya kama sijashtuka wala nini nikafungua nikawakaribisha ndani, basi na wao wakazuga kama hakuna tofauti yoyote tukawa tunapiga story kawaida badae nikamwagiza boda akaleta mahitaji pale wakawa wanapika mi nikatoka nikawaacha pale, nimerudi badae mama mkwe kashaondoka yupo Rachel na mdogo wake
Rachel ndo akawa karudi sasa kwa style hio maisha yakaendelea badae tukawa sawa tu ila ndo hivyo ukishakosa imani na mtu mnaishi kwa machale tu sana, kufupisha sana mambo japo katikati hapo ugomvi haukosekani, mtoto ndo ana kama miezi 9 ivi, ikatokea nafasi kazini za kwenda training nje, mwanzo sikutaka kwenda ila kuna bosi wangu akanishauri niende nikirudi anaweza nibadilisha kitengo chenye maslahi zaidi, nika apply zile nafasi nikakaa kimya kusikilizia majibu maana waliokua wanataka walizidi nafasi zilizotolewa
Baada ya kama mwezi majibu yakatoka nimepata nafasi ila kuondoka ilikua kama baada ya miezi miwili, na kule ni kwenda kukaa wiki 8, nilivyoona posho ambayo tutakua tunalipwa kule nikaona si haba nikapata msukumo nitafute eneo ninunue nijenge hata msingi kabla sijaondoka, nilikua na akiba yangu fulani kweli nikafanya mpango nikapata kiwanja kikubwa tu pembezoni kidogo ya jiji nikaanza kujenga msingi kimya kimya hapo sijamwambia mtu wala hata sikuona sababu....
Hapo swala la safari wanalijua sema muda bado ulikua haujafika, sasa kuna notebook moja nilikua naandika mahesabu ya site ili co monitor cost Rachel akaja kuiona akawa ananiuliza hayo mahesabu ya nini, nikamwambia kuna mahali nimenunua najenga msingi huko, akakaa kimya ni kama mtu ambae hakufurahishwa maana hata hakuniuliza ni wapi, mchana npo kazini napata ujumbe toka kwake nae kaandika business proposal yake sijui biashara gani anataka milion 3 kabla sijaondoka ya biashara yake, nikamjibu tu plain sina pesa kwa sasa huoni kama najenga
Aisee ni kama nilipalilia moto, huyu binti kumbe alikua na mdomo sana nilikua simjui vizuri
Wapotezee mkuu sisi wengine tunaufuarilia uzi kwa makinidah kuna watu washaharibu huu uzi kwa kuleta mada za matusi huku
Kuna uwezekano mkubwa ulikutana na bikra fake.katika maisha yangu sijawah kukutana na bikra ya namna ile yaani hata kidole cha kati kilikua hakipiti kabisa
Achana nao mkuu hao watoto Wadogo tu hawasumbui, gonga glass tuendeleedah kuna watu washaharibu huu uzi kwa kuleta mada za matusi huku
Ukapiga G shemejio Nasubiria nione moto wa bibie Recho jibwa 😹S2 episode 12
baada ya training kuisha nikarudi, nakumbuka kipindi hicho pesa ilikuepo si haba maana tulijibana na posho tulipewa nyingi ukizingatia maisha yetu ya kibongo, basi nakumbuka nikarudi nikaenda wasalimia na kupeleka zawadi nikaondoka zangu, Rachel akaanza nitafuta mme wangu nakuja tulee mtoto wetu na blah blah kibao nikamwambia we nipe muda ntakuambia, ikapita muda mi kimya tu naenda kuona mtoto naondoka zangu, hapo kuna muda simkuti maana mtoto alishaacha na kunyonya
katika hela nilizobakiwa nazo nikaenda site nikamwaga tofali za kutosha nikaanza kuinua boma taratibu, sasa kuna kipindi Rachel akawa anauliza vipi kuhusu zile m3 nilizokuomba za mtaji mi nikwambia kwa sasa sina pesa nina ujenzi, basi sijui ni hasira au kesho yake akaniambia " kuna mtu kanitafutia kazi geita najiandaa kuondoka na mwanangu"
nikawa nawaza huyu mwanamke mbona kila siku ana jambo tu, lengo lake nipate stress tu au nini, nikampigia namuuliza sawa umepata kazi huko ukienda na mtoto na maisha hata hujaanza huko mtaishi vipi na wapi? akajibu " tutaishi tu mbona mi nilikua bila baba"
basi nikaona huyu mtu ni kama anataka ligi, jioni nikaenda kwao nikamkuta yupo na mama mkwe na grace, yule mdogo wao mdogo wa mwisho wa kiume kuna kipindi baba yake mzazi alikuja kumchukua, basi baada ya salamu na nini mama mkwe nikamueleza kila kitu tukawa kama tupo kikao, nikawaambia mwanangu haendi popote kama wamemchoka nimchukue nimpeleke kwetu maana na kunyonya kashaacha, uzuri huyu mama mkwe nachompenda hakua kabisa upande wa binti yake kwenye mambo ya kipuuzi, mama mkwe akawa mkali sana akasema mtoto haondoki mahali akawa anamwambia mtoto wake kama umepata bwana huko we ondoka ila mjukuu wangu haendi popote, baadae huyu mama akaanza kulia anamuuliza rachel umesahau maisha tulioishi kwanini unajitafutia matatizo bure ni nini ambacho hupati
hapo na mi nina hasira nikamwambia yule mama mtoto wangu nafanya mpango wa kuja mchukue na kuanzia leo mi najitoa ule utambulisho hebu ufate siku huyu akileta mwanamme mwingine we mpokee tu na mahari chukua, mi nikaondoka zangu
kweli bana ikapita muda Rachel akaja kuondoka akaenda geita nilikuja kujua baada ya muda kua alipata mwanamme alikua ana maduara mgodini huko ndo alimtoa huku ila uzuri mtoto alimuacha kwao, Mungu nae ni mpaji mi nikabadilishwa kitengo nikaenda kitengo kingine tulikua tunapata pesa sana nyumba yangu inazidi kukimbia tu moyoni nina amani, kuhusu swala la mahusiano sikua na mahusiano rasmi tena ikawa ndo hivo tena tunatoka kazini tupo na co workers tunaenda viwanja tu, wadada wa kujiliwaza hapa na pale walikuwepo wengi tu hasa hasa wanafunzi wa saut pale
mawasiliano na rachel yatakataa rasmi, nikawa namuambia mama mkwe sasa nitafute mfanyakazi nianze tu kukaa na mwanangu, akawa anagoma ananiambia italeta picha mbaya ukizingatia upo mwenyewe hapo, kumbuka hapa huyu mama kashakua kama mama yangu mzazi haishi kunipigia simu, kila siku ananiambia mwanangu Mungu atakusaidia tu mtoto atakua
Grace nae akamaliza form 4 ndo ikawa muda wote yupo na mtoto maana mama mkwe alipata kibarua mahali, kwa hio muda mwingi ikawa ndo mtu ninayewasiliana nae sana kujua mahitaji na hali ya mtoto na nini japokua karibu kila baada ya siku 2 nilikua naenda kuwaona
sasa kuna kipindi mama mkwe akaanzisha utaratibu, siku za weekend anamtuma huyu Grace wanakuja kushinda huku kwangu ili nipate muda wa kukaa na mtoto, Grace nae atafanya usafi huku, kufua nguo , kupanga vitu na kupika n.k, ye akitoka kazini ndo hua anawapitia wanaenda nyumbani, ikafika mahali wakazoea nawaachia tu funguo hata siku npo kazini watakuja kukaa kwangu badae mama mkwe atawapitia waondoke
nakuja na season 3 sasa ambayo ndo itakua mwisho huku ndo kuna balaa zito, stay tuned
Mzee fanya basi umalizie show yakoNimefurahi kuona bwana patrickk anafungua code. Recho wangu na Rachel wa Patrick wote ni kina 'Hawa'.
Isijekuwa mdogo mtu (Shemeji) kaliwa kwa baraka za Mama mkwe!!!S2 episode 12
baada ya training kuisha nikarudi, nakumbuka kipindi hicho pesa ilikuepo si haba maana tulijibana na posho tulipewa nyingi ukizingatia maisha yetu ya kibongo, basi nakumbuka nikarudi nikaenda wasalimia na kupeleka zawadi nikaondoka zangu, Rachel akaanza nitafuta mme wangu nakuja tulee mtoto wetu na blah blah kibao nikamwambia we nipe muda ntakuambia, ikapita muda mi kimya tu naenda kuona mtoto naondoka zangu, hapo kuna muda simkuti maana mtoto alishaacha na kunyonya
katika hela nilizobakiwa nazo nikaenda site nikamwaga tofali za kutosha nikaanza kuinua boma taratibu, sasa kuna kipindi Rachel akawa anauliza vipi kuhusu zile m3 nilizokuomba za mtaji mi nikwambia kwa sasa sina pesa nina ujenzi, basi sijui ni hasira au kesho yake akaniambia " kuna mtu kanitafutia kazi geita najiandaa kuondoka na mwanangu"
nikawa nawaza huyu mwanamke mbona kila siku ana jambo tu, lengo lake nipate stress tu au nini, nikampigia namuuliza sawa umepata kazi huko ukienda na mtoto na maisha hata hujaanza huko mtaishi vipi na wapi? akajibu " tutaishi tu mbona mi nilikua bila baba"
basi nikaona huyu mtu ni kama anataka ligi, jioni nikaenda kwao nikamkuta yupo na mama mkwe na grace, yule mdogo wao mdogo wa mwisho wa kiume kuna kipindi baba yake mzazi alikuja kumchukua, basi baada ya salamu na nini mama mkwe nikamueleza kila kitu tukawa kama tupo kikao, nikawaambia mwanangu haendi popote kama wamemchoka nimchukue nimpeleke kwetu maana na kunyonya kashaacha, uzuri huyu mama mkwe nachompenda hakua kabisa upande wa binti yake kwenye mambo ya kipuuzi, mama mkwe akawa mkali sana akasema mtoto haondoki mahali akawa anamwambia mtoto wake kama umepata bwana huko we ondoka ila mjukuu wangu haendi popote, baadae huyu mama akaanza kulia anamuuliza rachel umesahau maisha tulioishi kwanini unajitafutia matatizo bure ni nini ambacho hupati
hapo na mi nina hasira nikamwambia yule mama mtoto wangu nafanya mpango wa kuja mchukue na kuanzia leo mi najitoa ule utambulisho hebu ufate siku huyu akileta mwanamme mwingine we mpokee tu na mahari chukua, mi nikaondoka zangu
kweli bana ikapita muda Rachel akaja kuondoka akaenda geita nilikuja kujua baada ya muda kua alipata mwanamme alikua ana maduara mgodini huko ndo alimtoa huku ila uzuri mtoto alimuacha kwao, Mungu nae ni mpaji mi nikabadilishwa kitengo nikaenda kitengo kingine tulikua tunapata pesa sana nyumba yangu inazidi kukimbia tu moyoni nina amani, kuhusu swala la mahusiano sikua na mahusiano rasmi tena ikawa ndo hivo tena tunatoka kazini tupo na co workers tunaenda viwanja tu, wadada wa kujiliwaza hapa na pale walikuwepo wengi tu hasa hasa wanafunzi wa saut pale
mawasiliano na rachel yatakataa rasmi, nikawa namuambia mama mkwe sasa nitafute mfanyakazi nianze tu kukaa na mwanangu, akawa anagoma ananiambia italeta picha mbaya ukizingatia upo mwenyewe hapo, kumbuka hapa huyu mama kashakua kama mama yangu mzazi haishi kunipigia simu, kila siku ananiambia mwanangu Mungu atakusaidia tu mtoto atakua
Grace nae akamaliza form 4 ndo ikawa muda wote yupo na mtoto maana mama mkwe alipata kibarua mahali, kwa hio muda mwingi ikawa ndo mtu ninayewasiliana nae sana kujua mahitaji na hali ya mtoto na nini japokua karibu kila baada ya siku 2 nilikua naenda kuwaona
sasa kuna kipindi mama mkwe akaanzisha utaratibu, siku za weekend anamtuma huyu Grace wanakuja kushinda huku kwangu ili nipate muda wa kukaa na mtoto, Grace nae atafanya usafi huku, kufua nguo , kupanga vitu na kupika n.k, ye akitoka kazini ndo hua anawapitia wanaenda nyumbani, ikafika mahali wakazoea nawaachia tu funguo hata siku npo kazini watakuja kukaa kwangu badae mama mkwe atawapitia waondoke
nakuja na season 3 sasa ambayo ndo itakua mwisho huku ndo kuna balaa zito, stay tuned
I know,ila nimetumia Marry ili ajue nataka kumuwekaOya Mary ni code name sio kwamba kila anaeitwa Mary anahusiana na tabia za hii story wengi ni mguu kichwani km wakina Recho ogopa
Unataka kumuweka nini?I know,ila nimetumia Marry ili ajue nataka kumuweka
Kama kuna harufu ya Chai, ila ukweli mwingi. Usukumani ni kweli Ng'ombe 6 ni faini ya Kubebesha mtu UjauzitoKama hivi vyote ni visa vya kweli, Pole kwa majanga yaliyokukuta. Kama ni fictional kaka una kipaji kikubwa sana kama Shigongo. Yani nasoma huku sitamani iishe. Unajua sana kuandika, ebu leta episode nyingine
Hongera sana Mkuu kwa simulizi nzuri pia umetufanya tufunge mwaka vizuri na kusahau story zote zilizo ishia njiani maana ayo maumivu yake ayaelezekiS2 episode 12
baada ya training kuisha nikarudi, nakumbuka kipindi hicho pesa ilikuepo si haba maana tulijibana na posho tulipewa nyingi ukizingatia maisha yetu ya kibongo, basi nakumbuka nikarudi nikaenda wasalimia na kupeleka zawadi nikaondoka zangu, Rachel akaanza nitafuta mme wangu nakuja tulee mtoto wetu na blah blah kibao nikamwambia we nipe muda ntakuambia, ikapita muda mi kimya tu naenda kuona mtoto naondoka zangu, hapo kuna muda simkuti maana mtoto alishaacha na kunyonya
katika hela nilizobakiwa nazo nikaenda site nikamwaga tofali za kutosha nikaanza kuinua boma taratibu, sasa kuna kipindi Rachel akawa anauliza vipi kuhusu zile m3 nilizokuomba za mtaji mi nikwambia kwa sasa sina pesa nina ujenzi, basi sijui ni hasira au kesho yake akaniambia " kuna mtu kanitafutia kazi geita najiandaa kuondoka na mwanangu"
nikawa nawaza huyu mwanamke mbona kila siku ana jambo tu, lengo lake nipate stress tu au nini, nikampigia namuuliza sawa umepata kazi huko ukienda na mtoto na maisha hata hujaanza huko mtaishi vipi na wapi? akajibu " tutaishi tu mbona mi nilikua bila baba"
basi nikaona huyu mtu ni kama anataka ligi, jioni nikaenda kwao nikamkuta yupo na mama mkwe na grace, yule mdogo wao mdogo wa mwisho wa kiume kuna kipindi baba yake mzazi alikuja kumchukua, basi baada ya salamu na nini mama mkwe nikamueleza kila kitu tukawa kama tupo kikao, nikawaambia mwanangu haendi popote kama wamemchoka nimchukue nimpeleke kwetu maana na kunyonya kashaacha, uzuri huyu mama mkwe nachompenda hakua kabisa upande wa binti yake kwenye mambo ya kipuuzi, mama mkwe akawa mkali sana akasema mtoto haondoki mahali akawa anamwambia mtoto wake kama umepata bwana huko we ondoka ila mjukuu wangu haendi popote, baadae huyu mama akaanza kulia anamuuliza rachel umesahau maisha tulioishi kwanini unajitafutia matatizo bure ni nini ambacho hupati
hapo na mi nina hasira nikamwambia yule mama mtoto wangu nafanya mpango wa kuja mchukue na kuanzia leo mi najitoa ule utambulisho hebu ufate siku huyu akileta mwanamme mwingine we mpokee tu na mahari chukua, mi nikaondoka zangu
kweli bana ikapita muda Rachel akaja kuondoka akaenda geita nilikuja kujua baada ya muda kua alipata mwanamme alikua ana maduara mgodini huko ndo alimtoa huku ila uzuri mtoto alimuacha kwao, Mungu nae ni mpaji mi nikabadilishwa kitengo nikaenda kitengo kingine tulikua tunapata pesa sana nyumba yangu inazidi kukimbia tu moyoni nina amani, kuhusu swala la mahusiano sikua na mahusiano rasmi tena ikawa ndo hivo tena tunatoka kazini tupo na co workers tunaenda viwanja tu, wadada wa kujiliwaza hapa na pale walikuwepo wengi tu hasa hasa wanafunzi wa saut pale
mawasiliano na rachel yatakataa rasmi, nikawa namuambia mama mkwe sasa nitafute mfanyakazi nianze tu kukaa na mwanangu, akawa anagoma ananiambia italeta picha mbaya ukizingatia upo mwenyewe hapo, kumbuka hapa huyu mama kashakua kama mama yangu mzazi haishi kunipigia simu, kila siku ananiambia mwanangu Mungu atakusaidia tu mtoto atakua
Grace nae akamaliza form 4 ndo ikawa muda wote yupo na mtoto maana mama mkwe alipata kibarua mahali, kwa hio muda mwingi ikawa ndo mtu ninayewasiliana nae sana kujua mahitaji na hali ya mtoto na nini japokua karibu kila baada ya siku 2 nilikua naenda kuwaona
sasa kuna kipindi mama mkwe akaanzisha utaratibu, siku za weekend anamtuma huyu Grace wanakuja kushinda huku kwangu ili nipate muda wa kukaa na mtoto, Grace nae atafanya usafi huku, kufua nguo , kupanga vitu na kupika n.k, ye akitoka kazini ndo hua anawapitia wanaenda nyumbani, ikafika mahali wakazoea nawaachia tu funguo hata siku npo kazini watakuja kukaa kwangu badae mama mkwe atawapitia waondoke
nakuja na season 3 sasa ambayo ndo itakua mwisho huku ndo kuna balaa zito, stay tuned
Mimi siyo nabii, ila Grace naye atagawa utamuS2 episode 12
baada ya training kuisha nikarudi, nakumbuka kipindi hicho pesa ilikuepo si haba maana tulijibana na posho tulipewa nyingi ukizingatia maisha yetu ya kibongo, basi nakumbuka nikarudi nikaenda wasalimia na kupeleka zawadi nikaondoka zangu, Rachel akaanza nitafuta mme wangu nakuja tulee mtoto wetu na blah blah kibao nikamwambia we nipe muda ntakuambia, ikapita muda mi kimya tu naenda kuona mtoto naondoka zangu, hapo kuna muda simkuti maana mtoto alishaacha na kunyonya
katika hela nilizobakiwa nazo nikaenda site nikamwaga tofali za kutosha nikaanza kuinua boma taratibu, sasa kuna kipindi Rachel akawa anauliza vipi kuhusu zile m3 nilizokuomba za mtaji mi nikwambia kwa sasa sina pesa nina ujenzi, basi sijui ni hasira au kesho yake akaniambia " kuna mtu kanitafutia kazi geita najiandaa kuondoka na mwanangu"
nikawa nawaza huyu mwanamke mbona kila siku ana jambo tu, lengo lake nipate stress tu au nini, nikampigia namuuliza sawa umepata kazi huko ukienda na mtoto na maisha hata hujaanza huko mtaishi vipi na wapi? akajibu " tutaishi tu mbona mi nilikua bila baba"
basi nikaona huyu mtu ni kama anataka ligi, jioni nikaenda kwao nikamkuta yupo na mama mkwe na grace, yule mdogo wao mdogo wa mwisho wa kiume kuna kipindi baba yake mzazi alikuja kumchukua, basi baada ya salamu na nini mama mkwe nikamueleza kila kitu tukawa kama tupo kikao, nikawaambia mwanangu haendi popote kama wamemchoka nimchukue nimpeleke kwetu maana na kunyonya kashaacha, uzuri huyu mama mkwe nachompenda hakua kabisa upande wa binti yake kwenye mambo ya kipuuzi, mama mkwe akawa mkali sana akasema mtoto haondoki mahali akawa anamwambia mtoto wake kama umepata bwana huko we ondoka ila mjukuu wangu haendi popote, baadae huyu mama akaanza kulia anamuuliza rachel umesahau maisha tulioishi kwanini unajitafutia matatizo bure ni nini ambacho hupati
hapo na mi nina hasira nikamwambia yule mama mtoto wangu nafanya mpango wa kuja mchukue na kuanzia leo mi najitoa ule utambulisho hebu ufate siku huyu akileta mwanamme mwingine we mpokee tu na mahari chukua, mi nikaondoka zangu
kweli bana ikapita muda Rachel akaja kuondoka akaenda geita nilikuja kujua baada ya muda kua alipata mwanamme alikua ana maduara mgodini huko ndo alimtoa huku ila uzuri mtoto alimuacha kwao, Mungu nae ni mpaji mi nikabadilishwa kitengo nikaenda kitengo kingine tulikua tunapata pesa sana nyumba yangu inazidi kukimbia tu moyoni nina amani, kuhusu swala la mahusiano sikua na mahusiano rasmi tena ikawa ndo hivo tena tunatoka kazini tupo na co workers tunaenda viwanja tu, wadada wa kujiliwaza hapa na pale walikuwepo wengi tu hasa hasa wanafunzi wa saut pale
mawasiliano na rachel yatakataa rasmi, nikawa namuambia mama mkwe sasa nitafute mfanyakazi nianze tu kukaa na mwanangu, akawa anagoma ananiambia italeta picha mbaya ukizingatia upo mwenyewe hapo, kumbuka hapa huyu mama kashakua kama mama yangu mzazi haishi kunipigia simu, kila siku ananiambia mwanangu Mungu atakusaidia tu mtoto atakua
Grace nae akamaliza form 4 ndo ikawa muda wote yupo na mtoto maana mama mkwe alipata kibarua mahali, kwa hio muda mwingi ikawa ndo mtu ninayewasiliana nae sana kujua mahitaji na hali ya mtoto na nini japokua karibu kila baada ya siku 2 nilikua naenda kuwaona
sasa kuna kipindi mama mkwe akaanzisha utaratibu, siku za weekend anamtuma huyu Grace wanakuja kushinda huku kwangu ili nipate muda wa kukaa na mtoto, Grace nae atafanya usafi huku, kufua nguo , kupanga vitu na kupika n.k, ye akitoka kazini ndo hua anawapitia wanaenda nyumbani, ikafika mahali wakazoea nawaachia tu funguo hata siku npo kazini watakuja kukaa kwangu badae mama mkwe atawapitia waondoke
nakuja na season 3 sasa ambayo ndo itakua mwisho huku ndo kuna balaa zito, stay tuned