Soma vizuri yupo Dar,kaolewa ana mtoto,G ana duka lake G ni km mdogo wake,hamfokei n.k heshima km zoterachel yuko wapi kwa sasa? uhusiano wake na g ukoje? sounds weird but just being curious, sorry dude patrickk
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Soma vizuri yupo Dar,kaolewa ana mtoto,G ana duka lake G ni km mdogo wake,hamfokei n.k heshima km zoterachel yuko wapi kwa sasa? uhusiano wake na g ukoje? sounds weird but just being curious, sorry dude patrickk
KaribuAsante sana mkuu
Divorce ya nini tena kwa mkeo mpendwa jamani 😅😅😅😅ila siku hizi mambo yamebadilika. Umeoa huku unajihami 😅😅😅😅Ndoa tulifunga ya serikali, kanisani siwezi kabisa kujaribu nilishamuona rafiki yangu anahangaika na divorce tena ilikua katoliki, aisee hapana
Asante sana
Story inafundisha sana, jiepushe na ma-ex usije ukaliharibu penzi letu.
Khe umeniedit TenaSawa kipenzi changu, nitajilinda sana.
Kisses 😘
Sawa mkuu karibuBoss,ombi Uzi huu usiutelekeze siku moja moja unatupia ata summary ya heka heka na majanga uliyoyaruka ili kumaliza uzi huenda tukaokota ya kujifunza
Nimekujibu tu dearKhe umeniedit Tena
Umeniedit sikuandika hivo sijapendaNimekujibu tu dear
😀, Huu ni mwaka wa ku forceUmeniedit sikuandika hivo sijapenda
Hahha Jamani Sasa ndo kuforce hivi kweli😀, Huu ni mwaka wa ku force
I see mapenzi...!Interesting