Paula Paul
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,649
- 13,607
Naomba kuuliza.Hahaaaa dah...! Mkuu pole sana maana nami niliwahi kwenda kina kirefu cha ziwani aisee bahati mbaya nilikanyaga shimo la samaki nilikunywa vikombe vya kutosha walinitoa nimechoka,
Pia kisa kingine nipo na kaangu kanivusha mpaka kwenye jiwe lililokuwa kwenye kina kirefu cha maji wakati tumekaa pale ananiambia utaanguka kwenye maji mi namwambia najua kuogolea, aisee nikawa nachezea ukuku ulioota pale kwenye jiwe bahati mbaya ukanitelezesha nikaanguka kwenye maji aisee nilikunywa vikombe hapo nikaokolewa nilitoka mpole aisee...
Samaki anakuwa kachimba ile sehemu na inakuwa ndefu, na sawa huku nje kavu uingie kwenye bonde na wakati mwingine ukimkuta anakung'ata ng'ata..Naomba kuuliza.
Shimo la samaki linakuwa namna gani?
Ni karibia wiki hivi nilipambana nao asubuhi mchana jioniThis is hilarious, I can't stop laughing!!
Ulikula siku ngapi huo wali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanisaniii...
Watumishi ilitokea wapungua wawili, basi Father Akaomba yeyote anayejua Kutumikia apite mbele akavae joho, mzee mzima nikapanda madhabahuni nikaingia room nikavaa Joho..
Kwa kufupisha nilichanganya madesa kuanzia kwenye uvaaji, kushika vifaa na kila kitu...
Mambo yalivyozidi kua magumu, nikaone isiwe tabuu..
Nilichomokea mlango ule wa nyuma ya Altale, nikavua joho nikasepa misa ikiwa kati...
Niliacha vicheko na taharuki kwa waumini na Wote pale mbele, na ilikua mtu zaidi ya 200..
Pili nilitoka mjini nikaenda kijijini kusalimia, nikajitia najua ngumi tena za movie,
Nikalichokoza jamaa flani hivii...
Kilichonipata ilibidi niingie kwenye karavati, yeye alishindwa sababu ya mwili mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia kinda tukifika morogoro naomba uniambie kinda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mida maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande stika kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Kanisaniii...
Watumishi ilitokea wamepungua wawili, basi Father Akaomba yeyote anayejua Kutumikia apite mbele akavae joho, mzee mzima nikapanda madhabahuni nikaingia room nikavaa Joho..
Kwa kufupisha nilichanganya madesa kuanzia kwenye uvaaji, kushika vifaa na kila kitu...
Mambo yalivyozidi kua magumu, nikaone isiwe tabuu..
Nilichomokea mlango ule wa nyuma ya Altale, nikavua joho nikasepa misa ikiwa kati...
Niliacha vicheko na taharuki kwa waumini na Wote pale mbele, na ilikua mtu zaidi ya 200..
Pili nilitoka mjini nikaenda kijijini kusalimia, nikajitia najua ngumi tena za movie,
Nikalichokoza jamaa flani hivii...
Kilichonipata ilibidi niingie kwenye karavati, yeye alishindwa sababu ya mwili mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kanisaniii...
Watumishi ilitokea wamepungua wawili, basi Father Akaomba yeyote anayejua Kutumikia apite mbele akavae joho, mzee mzima nikapanda madhabahuni nikaingia room nikavaa Joho..
Kwa kufupisha nilichanganya madesa kuanzia kwenye uvaaji, kushika vifaa na kila kitu...
Mambo yalivyozidi kua magumu, nikaone isiwe tabuu..
Nilichomokea mlango ule wa nyuma ya Altale, nikavua joho nikasepa misa ikiwa kati...
Niliacha vicheko na taharuki kwa waumini na Wote pale mbele, na ilikua mtu zaidi ya 200..
Pili nilitoka mjini nikaenda kijijini kusalimia, nikajitia najua ngumi tena za movie,
Nikalichokoza jamaa flani hivii...
Kilichonipata ilibidi niingie kwenye karavati, yeye alishindwa sababu ya mwili mkubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Uliona kisa chake cha kuumwa jino?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ningeshaa kama nisingekuta comment yako kwenye huu uzi..
Wewe una matukio mno.. Ukianza na kile kisa cha Baiskeli[emoji3][emoji3]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kabla sijajibu.. sijakiona. Unaukumbuka huo uzi? Nioneshe basi?Uliona kisa chake cha kuumwa jino?[emoji23][emoji23][emoji23]
Hii nimeipenda kulikpTulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Hii chai mkuuuTulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
trust me hili tukio lilinitokea ila hata mimi pia hua siamin kama kweli limaa kichaichaiHii chai mkuuu
[emoji23]Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Secondary umedisco? ????Wakati fulani huko sekondari wakati tunafanya mitihani ya muhula kila tukitoka kwenye paper tunaulizana swali fulani umejibu vipi mimi ndio nakuwa kimbelembele kusema swali lile jibu lake ni hivi na vile,baada ya kumaliza mitihani na yalipotoka majibu mimi nikawa nimedisco wale wenzangu niliokuwa najadiliana nao kila tunapotoka kwenye peper wakatusua.Hapo ndipo nikajiona tumbili