Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 

Hahaaa nimechekaa sanaa
 
Binafsi ninakumbuka miaka ile simu za mkononi zimeingia kabla hazijaenea sana wakati huo kila simu ya mkononi ikiitwa 'mobitel' nilitoka zangu Dar nikiwa naelekea Kigoma kikazi, nikawa nimepitia kwa ndugu yangu flani pale Kahama.

Huyu ndugu yangu alikuwa akimiliki simu hiyo, nilimuomba nipige Kigoma kujulisha juu ya safari yangu yeye akaniambia haina "dola" (wakati huo vocha ilikuwa ikiitwa dola) tulikwenda dukani tukanunua hiyo dola akataka aingize namba za hiyo dola Ila kwa vile simu nilikuwa nimeishika mimi, nilitaka niziingize hizo namba mwenyewe ili asinione mimi ni mshamba (si unajua aliyetokea Dar?) Yeye hakuwa na makuu akanipatia ile 'dola'. Ifahamike kuwa sikuwa nimewahi kufanya kazi hiyo ya kuingiza vocha tokea kuzaliwa kwangu ila nilikuwa nawaona watu wakiingiza namba flani zilizoko kwenye hicho kikadi.

Ndipo nillipoanza kuingiza namba kabla hata sijaikwangua hiyo kadi huku nikiamini niko sahihi. Kumbe zile namba nilizokuwa naziingiza ni zile serial number za vocha. Niliporudia kama mara mbili bila mafanikio ndipo yule ndugu yangu akanistukia akanielekeza kwa kuniambia kuwa ninapaswa kukwangua kwanza ile "dola" kisha ndio niziingize hizo namba. Duu kwa kweli nilipatwa na aibu ya mwaka!
 
[emoji28][emoji28][emoji28]
 

Daah! Nimeshindwa kusoma parefu sana[emoji2297]
 
hahah
hapo ndio unajikuta unalala na pesa ya mama na akikuuliza unamwambia nimeambiwa niwahi kesho asubuh nikachukue
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nikiwa form one Siku moja nilimuomba braza flan pikpik niendeshe nilifanya kama utani tu nikajua ataninyima ila cha ajabu aliniliuliza unaweza kuendesha pikpik? Nikaangalia kulia na kushoto nikaona mademu wananiangalia wanasubiri nijibu, nikaona nikisema sijui nitaaibika nikasema ndiyo naweza jamaa akanipa ufunguo hii hapa..

Kwakua nilikua najua kuendesha baiskel sikuwa na hofu ya control ila hofu yangu ilikua ni kwenye kuondoka ila nikavuta kumbukumbu nikapata idea nikakumbuka siku moja nilimskia braza wangu alikua na pikpik anamfundisha rafk yake kuendesha huku akimwambia vuta mafuta huku unaachia clutch taratibu, bas na mm nikashik clutch nikaweka gia huku navuta mafuta, ile naachia clutch tu chuma ikapaa tairi ya mbele ikatua nikayumba ila sikudondoka lakin niliskia kelele huko nyuma huk moyo unadunda nikaivutia mafuta chuma ikakolea.

Kufika mbele nikakumbua kusimama sijui nitafanyaje ili pikpik isimame nigeuke? Nikakumbuka kuna uwanja flan wa waz wa mpira uko mbele bas nikaenda nikaigeuzia pale bila kusimama, nikawa narud naivutia mafuta kinoma yan chuma iko kibati balaa, nikikumbuka kuna madem wananisubiri wanione bas mzee ndo namwaga moto kinoma, Sasa kimbembe ikawa nimefika pale nilipowaacha wale mademu na jamaa mwenye pikpik dah nikashika cluctch nikaona pikpik ndo inazid kukimbia, Wenge likazid nikaona hapa Sasa sina ujanja sijui kusimamisha baiki na nipo kibati ilibid nielekezee pikpik kwenye nguzo ya umeme, niliipiga ile nguzo nikaona giza nikaskia maskio yanalia ziiiii ile nimepata uwezo w kuona ile pikpik ilikua haifai imepasuka hapo mbele karibu kila kitu

Msala mkubwa sana uliamka nyumban,,, mwsho wa siku wale madem walikuwa wakiniona wananicheka ilikua bonge la aibu
 
ninambuka kitambo nilienda kumtembelea mjomba wangu moro town, kipindi hicho mimi ni mdau sana wa pool table sasa baada ya kufika kuna eneo jirani na hpo tulipokuwa tunakaa kulikuwa na bar na mda wote watu wanagonga kete tuh. nilipokuwa nacheza nao nilikuwa nawabuluza kinoma hadi ikafikia misifa ikazidi nikawa najiita komando
kumbe jamaa wananichora tu hlf kuna mapoti kibao mule na mimi nilizidisha masihara nikikufunga najisia mimi ni komando nimeshindikana kambini uwezi kushindana na mimi, kumbe baadhi ya wajeda wakawa wanaambiana wawe makini pale coz wapo na komandoo kipindi icho mimi sijui chochote.
basi bhn za mwizi 40 siku hiyo sina hili wala lile nipo na stick mkononi nacheza na jamaa hku naleta mbwembwe ghafla nashangaa nimeshikwa begani nikaambiwa samahani braza tunakuomba mara moja...
kilichofata hpo ni maswali yaani swali juu ya swali mala upo kikosi gan, mala intek gani mimi nimetoa macho tuh kumbe jamaa ni makomando na walikuwa wananimaindi ninavyojipa vyeo pale
na kilichonipata siku ile kilinipa ticket ya kuondoka baada kutoka hospital wiki moja mbele, hadi Leo moro napitaga tuh sijawahi patamani coz sio sehemu salama tena kwenye maisha yang.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hizi ni hadithi za vichekesho za dogo anaitwa KIZIBO..
 
Wewe ulikuwa unambeep mtoa roho kwa kutafuta sifa.
 
Hahaaaa, hiyo halii ishanitokea aisee nashukuru ilikuwa kigangoni[emoji23][emoji23]
 
Dah nimecheka sana!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Wale madogo ambao mlikua mnaangalia porn kwny zile deki za VHS na mara paaaaaap umeme unakatika na haujarudi mpk asubuhi haujarudi mbona siwaoni aisee?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],nilibeba deki kuipeleka kwa fundi akatoe ule mkanda maana adhabu za mshua zilikua kama Adolf Hitler [emoji1787][emoji1787].
 
Kipindi hiko tumemaliza form 6 tunasubiri matokeo,Likizo ndefu hivyo washikaji kutembeleana ilikuwa kawaida....sasa hiyo siku tuko wawili tunaenda kumcheki jamaa yetu home kwao..Tulifika akatupokea vizuri tuu..sema kuna kazi alikuwa anamalizia ndani kwao hivyo tukabaki sebuleni..Sasa akamuagiza mdogo wake wa kike"wawekee muvi ile waangalie wapoteze muda kidogo mi nakuja mida si mirefu"..Na dogo akasema hii muvi kali sana...mkono wa kutosha...

Tukaoma yes..Akaweka muvi kisha na ye akarudi kuendelea kupika..Ile ameingia jikoni tuu Mzee wao kumbe alikuwepo akatoka kuja sebuleni muvi ndo ilikuwa ndo inaanza...sisi hatuna hili wala lile kumbe muvi inaelezea maisha ya steringi kuwa ni mtu wa bata na mademu...heeeeh ile Mzee anakaa tuu na muvi iko jamaa kamuinamisha demu anampiga paipu halafu na kelele za kutoshaaaaa.mwendo wa sekunde kama 30(ila zilikuwa kama masaa 15).Daaaah rimoti iko mbali na Mzee kakaza tuu anatuangalia Mi nikaona nifuate rimoti nitoe Ile muvi..Mzee akatukazia,acha tuu si ndo mambo mnayoangalia siku hizi...Daaaah nikakomaa nakuitoa asee...

Ndani ya dakika 5 tukaaga kwamba tunaenda asee...mbaya zaidi tunaonekana sisi ndo tumeenda special kw ajili ya yale mambo na mzee alikuwa mbali kujua kuwa si tumewekewa tuu na hatuna hatia..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…