BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 980
- 2,679
- Thread starter
- #61
Nilizingua mkuu shida ilikuwa overconfidenceUmezingua ata muislam najua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilizingua mkuu shida ilikuwa overconfidenceUmezingua ata muislam najua
Tunga na wewe. Alafu wewe usie na tatizo unafanya nini kwenye hili kundi sasaHahahaha a.......hiyo ndo proof ya story za kutunga ya hawa mavijana wa JF! Ni tatizo kubwa hili kundi humu.
Sitakagi hizi povuTunga na wewe. Alafu wewe usie na tatizo unafanya nini kwenye hili kundi sasa
Ile story kila nikikumbuka huwa naishia kucheka tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nimecheka kabla sijajibu.. sijakiona. Unaukumbuka huo uzi? Nioneshe basi?
Hiyo siikumbuki..Niwekee hapa basi nicheke na mimi[emoji23]Ile story kila nikikumbuka huwa naishia kucheka tu.
Huyu jamaa ni comedian
Hata siujui mie niliona hyo story kwenye uzi flani uliotaka watu wataje comment zilizowahi kuwavunja mbavu.Hiyo siikumbuki..Niwekee hapa basi nicheke na mimi[emoji23]
Nakumbuka ile ya Baiskeli tu.
'Kuna channel ilikuwa inapatikana kwenye Cable ikifika usiku inaonesha movie za ngono ,na ile mikanda ilikuwa inafichwa geto'.Mama yangu alikuwa Ni mkali ,yaani ukizingua unachezea bakora Africa mashariki na kati hazijawahi kutokea....![emoji23][emoji23]
Nakumbuka kipindi nipo form four home kilikuwa na deki yenye upande wa VHS na DVD, ujio wa CD za DVD ukawa ule upande wa VHS hautumiki sana...
Sasa si unajua utundu wa ukijana Tena,nikaunganisha waya waya zile ikawa unauwezo wa kurecord kitu kinachooneshwa kwenye tv,dhumuni Ni kurecord nyimbo channel 5 enzi hizo hata cable ikiwa haijalipiwa tuwetunachek,
Basi ile kitu ikawa Ni tabia natafuta mikanda ya zamani naifuta narecord nyimbo zangu,mwanzoni alipiga mkwara baadae akazoea naona hata yeye akawa anapenda tunaangalia familia nzima maana nakumbuka kulikuwa na mazishi ya kiongozi mkubwa duniani aliomba nimrecodie,ila nilikuwa makini kuchagua mikanda,maana kuna mikanda yake alikuwa anaipenda hagusi mtu
katika kurecord pia tulikuwa na mikanda yetu sisi vijana wakiume tulikuwa tunarecord video za ngono,Kuna channel ilikuwa inapatikana kwenye Cable ikifika usiku inaonesha movie za ngono ,na ile mikanda ilikuwa inafichwa geto,
Sasa bwana Kuna siku mama katoka kuwapokea wageni wametoka kijijini,Sasa usiku baada ya kumaliza kula watu wote tupo sebuleni ,baada ya taarifa ya habari ya ITV kuisha Mimi kiherehere changu nikasema ngoja niweke mkanda wa rose mhando umburudishe mama na wale wageni maana mama alikuwa anampenda kweli
Lahaula mkanda unaanza rose mhando kipande Mara kinakuja kipande Cha ngono,kumbe Kuna mtu alirecord pasipo kujua Ni mkanda wa rose mhando...
Kwanza nilianza kuona Giza sebule nzima,nilikimbia kwenye tv hata sielewi nifanye nn,nilijikuta nimechomoa waya Hadi ukutani...
Bahati nzuri sisi watoto wakiume tulikuwa tunalala nje Basi nilivyotoka sikurudi Tena nyumbani nilisingizia nipo kambini najisomea kwa ajili ya kuanza na mitihani mpk nilivyomaliza form four.....
Huo uzi naukumbuka.. Ila comment siikumbuki.. ngoja niutafute. Ahsante.Hata siujui mie niliona hyo story kwenye uzi flani uliotaka watu wataje comment zilizowahi kuwavunja mbavu.
Nakumbuka Saint Anne ndiye aliscreen shot comment ya jamaa na ni kweli nilicheka.
hahahaha hii ni kubwa kulikoTulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Kuwait sio Qatar [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah 2015 nilitamka kwa kujiamini Saddam Hussein alikuwa Rais wa Qatar. Noma sana.
hahahahahahaha we jamaa ni fala sanaMimi maza angu hakua mama wa kuchapa,alikua n mama wa adhabu Nakumbuka zamani alishatukataza kuangalia TV bila yeye kutoa ruhusa,siku hiyo tumezoea mama akirudi si atarudi na Gari atapga Honi tukiskia tutazima tv tutakausha kimya.
huo ndio mtindo wetu tukiskia tu honi piiiii,unakimbia getini kufungua huku nyuma usharudisha kila kitu eneo lake,unasambaza madaftari mezani kuonyesha kwamba ulikua unajisomea,si unajua zileee..
Basi bwana! hiyo siku bi mkubwa gari sijui kaacha wapi "anajua mwenyewe" kaingia kupitia geti la nyuma "anafunguo zake" huku kumbuka tulishakatazwa angalia TV bila ruhusa,basi ghafla bin vuu Mama huyu hapa sebleni,Pale sebule yote inakua ndogo,moment kama hizo huwa naombaga MUNGU aje hata MGENI,ila ndio hivyo haji cha mgeni wala nini
Basi bana baada ya kudakwa tuliulizwa tu swali 1,Nilisema nini? "tukajibu" akatuambia nyie si mnapenda sana TV sasa subirini,Akatoka akaenda chumbani kwake kisha akarudi akaenda Chumba chake cha maombi,Maza angu n maza wa prayer kwa sana "ana chumba chake special hicho" basi akaenda akafungua kisha akachukua TV ya chumbani kwake akaipeleka kwenye ile chumba yake ya maombi.
Alipomaliza akaja seblen ambapo alituacha,akatuuliza tulikua tunaangalia nn? tukamdanganya "tukamtajia limkanda la Yesu" akasema uchukueni nifateni,Tukauchukua ule mkanda tukamfata hadi kwenye chumba chake,akatuingiza akasema sasa ingien mkae humu ndani muangalie huo mkanda mpk mchoke,Tukaingizwa Tukafungiwa.
Kile chumba ni master,Dada wa kazi akaambiwa awe anapika chakula kingi,basi tukiletewa asubuhi msosi mle ndani tunakaa humo ndani mpk usiku muda wakutoka kwenda kulala,Usiku ukfka tunaletewa chakula tule tukmaliza usiku kbsa saa 4 tunafunguliwa tukalale chumbani,asubuhi ikifka tunarudi jela yetu,Ile adhabu ilidumu mwezi mzima wa LIKIZO huwezi amini likizo nazionaga fupi,ila hamna likizo nliona ndefu kama hii tuliiyofungiwa chumba kimoja tunaangalia mkanda wa yesu.
Tangu hapo sijawahi kwenda tofaut na maagizo ya mazaaa,yule mama ana ma adhabu ya JKT Halafu mshua wangu alivyogo boya na yeye hata haingiliagi kesi ambazo mazaa anaishughulikia,mi ananiboaga kweli yani,badala hata antetee et akirud kazini jioni anakuja kwenye ile chumba unamskia anasema "hi my sons" ananiboaga basi tu.
Huyo dogo ni mim hapa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Umenikumbusha nilipokua shule nilikua nikitaka hela ya kufanyia mambo yangu narudi nyumbani natunga TRIP namwambia maza shule tuna TRIP ya kwenda bagamoyo,basi maza anakuuliza sh.ngapi unamtajia "anakupa" imetoka hiyo.Zamani sana mid 90s huko. Bi mkubwa alikuwa ananituma kununua mafuta ya taa 5lts kwenye kidumu kwa matumizi ya home. Basi mzeebaba nikawa nanunua 4.5lts ile hela ya nusu lita nachikichia. Basi bana siku ya siku nmepewa hela nikapitia kwanza sehemu nikamega ile hela yangu kama kawaida kabla sijaenda kununua mafuta. Nmeshatafuna vyangu sasa niende kununua mafuta Hamadiii kumefungwa zurura sana nikaenda hadi magomeni hakuna mafuta ya taa kumbe kulikuwa na shortage kidogo. macho yalinitoka nikawa nawaza kichapo tu kwa bi mkubwa ni mkoloni hatari.
Sitahadithia kilichotokea nilivyorudi home
Hahahaha hahahahaUmenikumbusha nilipokua shule nilikua nikitaka hela ya kufanyia mambo yangu narudi nyumbani natunga TRIP namwambia maza shule tuna TRIP ya kwenda bagamoyo,basi maza anakuuliza sh.ngapi unamtajia "anakupa" imetoka hiyo.
sasa kuna siku nimetunga trip yangu,nikarudi home nikamwambia mama J3 ya tarehe 21 tuna trip kwenda mbuga za wanyama,basi akauliza n sh ngapi,kama kawaida nikataja "nikapewa hela"
kufika ijumaaa ya wiki hii ambayo J3 ijayo ndio ile trip niliyotunga tunaenda,tukatangaziwa kuwa J3 ijayo kuna "kikao cha wazazi" kudadeki,shule niliyosoma huwa vikao vya wazazi taarifa wanapigiwa simu kabisa maana zamani ilikua wazazi wanalalamika hatufikishi barua tunazopewa,kwahyo wakakubaliana Simu zitumike na barua tupewe kwahyo hamna namna mwanafunzi hatofikisha barua,maana usipofikisha barua "mzazi atajua maana kashapewa taarifa kuptia simu.
Basi bwana Ijumaa tulivyotangaziwa vile nikawa nawaza hata nirudi home niseme trip imehairishwa ila sasa nkisema hivyo hela ntarudsha hela gani wakati nishaifanyia mambo yangu.
Nikarudi nyumbani na barua yangu nimenyong'onyea sina nguvu nawaza na kuwazua,ile nafika tu mama ananipokea ananiuliza barua niliyopewa shule,nikatoa nikampa kisha nikaenda chumbani kwangu.
Jumamosi ikafika siku ikaenda haraka haraka mara kuangalia hv tyr usiku ushafka,siku imeisha,jpli ikafka nayo ile siku nilihisi haina masaa 24 nilihisi ina masaa 10 tu maana giza liliingia haraka,usiku wa kuamkia J3 nikawaza na kuwazuaa nafanyaje mimi kesho ntaenda umbuka shule jamani.
Nikapata idea ya kuumwa,mama angu huwa hawezagi fanya chochote kama kaona naumwa basi nikalala hadi asubuhi dada kaja niamsha nikajitia natetemeka sijiwezi,mama akaenda ambiwa akasema hebu amka jikaze twende shule nikakuombee ruhusa nikupeleke hospital (kichwa ikawa inagonga alarm tu) nikaona leo naenda kufa mimi.
nilichofanya baada ya kunywa chai kushiba nikajidumbukiza kidole koooni Nikatoa chenchiiii,ila maza bado kakazana "usijali mwanangu tunaenda shule tukitoka tu nakupeleka hospital" nikaona huyu maza vipi huyu.
tulipokua tunaelekea kwenye gari "nikajidondosha" nikaigiza Nimezimia,pale ndio maza kidogo safari ya shule ikakatika nikabebwa juu juu ingizwa kwenye gari hadi hospital...Daktari kufika sijui kanipima nini et nikiwa nimelala vile vile akasema huyu mbona mzima kabisa hana shida,atakua tu kachoka "akaniamsha" ikabdi tu niamke ntafanyaje sasa.
eti mama angu alivyo na kiherehere akanibeba hadi shule kuwahi kikao "asee". Ila Jamani wapendwa ktk bwana napenda tu niishie hapa kwenye hii story yangu ila fahamuni "janja zangu zote ziligundulika" ile siku nilichokipata n mimi tu na wanafunzi washule ile wanajua "nilikoma" mbona.
Sawa sawa, ilikuwa mida flani hv ya hatari'Kuna channel ilikuwa inapatikana kwenye Cable ikifika usiku inaonesha movie za ngono ,na ile mikanda ilikuwa inafichwa geto'.
Hio ni Channel E ya South Africa.
Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Hahah hii umetishaUmenikumbusha nilipokua shule nilikua nikitaka hela ya kufanyia mambo yangu narudi nyumbani natunga TRIP namwambia maza shule tuna TRIP ya kwenda bagamoyo,basi maza anakuuliza sh.ngapi unamtajia "anakupa" imetoka hiyo.
sasa kuna siku nimetunga trip yangu,nikarudi home nikamwambia mama J3 ya tarehe 21 tuna trip kwenda mbuga za wanyama,basi akauliza n sh ngapi,kama kawaida nikataja "nikapewa hela"
kufika ijumaaa ya wiki hii ambayo J3 ijayo ndio ile trip niliyotunga tunaenda,tukatangaziwa kuwa J3 ijayo kuna "kikao cha wazazi" kudadeki,shule niliyosoma huwa vikao vya wazazi taarifa wanapigiwa simu kabisa maana zamani ilikua wazazi wanalalamika hatufikishi barua tunazopewa,kwahyo wakakubaliana Simu zitumike na barua tupewe kwahyo hamna namna mwanafunzi hatofikisha barua,maana usipofikisha barua "mzazi atajua maana kashapewa taarifa kuptia simu.
Basi bwana Ijumaa tulivyotangaziwa vile nikawa nawaza hata nirudi home niseme trip imehairishwa ila sasa nkisema hivyo hela ntarudsha hela gani wakati nishaifanyia mambo yangu.
Nikarudi nyumbani na barua yangu nimenyong'onyea sina nguvu nawaza na kuwazua,ile nafika tu mama ananipokea ananiuliza barua niliyopewa shule,nikatoa nikampa kisha nikaenda chumbani kwangu.
Jumamosi ikafika siku ikaenda haraka haraka mara kuangalia hv tyr usiku ushafka,siku imeisha,jpli ikafka nayo ile siku nilihisi haina masaa 24 nilihisi ina masaa 10 tu maana giza liliingia haraka,usiku wa kuamkia J3 nikawaza na kuwazuaa nafanyaje mimi kesho ntaenda umbuka shule jamani.
Nikapata idea ya kuumwa,mama angu huwa hawezagi fanya chochote kama kaona naumwa basi nikalala hadi asubuhi dada kaja niamsha nikajitia natetemeka sijiwezi,mama akaenda ambiwa akasema hebu amka jikaze twende shule nikakuombee ruhusa nikupeleke hospital (kichwa ikawa inagonga alarm tu) nikaona leo naenda kufa mimi.
nilichofanya baada ya kunywa chai kushiba nikajidumbukiza kidole koooni Nikatoa chenchiiii,ila maza bado kakazana "usijali mwanangu tunaenda shule tukitoka tu nakupeleka hospital" nikaona huyu maza vipi huyu.
tulipokua tunaelekea kwenye gari "nikajidondosha" nikaigiza Nimezimia,pale ndio maza kidogo safari ya shule ikakatika nikabebwa juu juu ingizwa kwenye gari hadi hospital...Daktari kufika sijui kanipima nini et nikiwa nimelala vile vile akasema huyu mbona mzima kabisa hana shida,atakua tu kachoka "akaniamsha" ikabdi tu niamke ntafanyaje sasa.
eti mama angu alivyo na kiherehere akanibeba hadi shule kuwahi kikao "asee". Ila Jamani wapendwa ktk bwana napenda tu niishie hapa kwenye hii story yangu ila fahamuni "janja zangu zote ziligundulika" ile siku nilichokipata n mimi tu na wanafunzi washule ile wanajua "nilikoma" mbona.