Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

Ushawahi kujifanya mjuaji ukaja kuumbuka?

Kipindi hiko tumemaliza form 6 tunasubiri matokeo,Likizo ndefu hivyo washikaji kutembeleana ilikuwa kawaida....sasa hiyo siku tuko wawili tunaenda kumcheki jamaa yetu home kwao..Tulifika akatupokea vizuri tuu..sema kuna kazi alikuwa anamalizia ndani kwao hivyo tukabaki sebuleni..Sasa akamuagiza mdogo wake wa kike"wawekee muvi ile waangalie wapoteze muda kidogo mi nakuja mida si mirefu"..Na dogo akasema hii muvi kali sana...mkono wa kutosha...

Tukaoma yes..Akaweka muvi kisha na ye akarudi kuendelea kupika..Ile ameingia jikoni tuu Mzee wao kumbe alikuwepo akatoka kuja sebuleni muvi ndo ilikuwa ndo inaanza...sisi hatuna hili wala lile kumbe muvi inaelezea maisha ya steringi kuwa ni mtu wa bata na mademu...heeeeh ile Mzee anakaa tuu na muvi iko jamaa kamuinamisha demu anampiga paipu halafu na kelele za kutoshaaaaa.mwendo wa sekunde kama 30(ila zilikuwa kama masaa 15).Daaaah rimoti iko mbali na Mzee kakaza tuu anatuangalia Mi nikaona nifuate rimoti nitoe Ile muvi..Mzee akatukazia,acha tuu si ndo mambo mnayoangalia siku hizi...Daaaah nikakomaa nakuitoa asee...

Ndani ya dakika 5 tukaaga kwamba tunaenda asee...mbaya zaidi tunaonekana sisi ndo tumeenda special kw ajili ya yale mambo na mzee alikuwa mbali kujua kuwa si tumewekewa tuu na hatuna hatia..
He heh vp jamaa yenu hamkumuachia msala?
 
Nakumbuka nipo jo'berg south Africa na jamaa yangu fulani,,,tuna mipango tuelekee Swaziland,, ikafika muda jamaa njaa imemkamata,,,akaniomba rands 100 ili afanye mipango ya kula,,nikamjulisha kwamba rands 100 ni nyingi sana kwa mlo wake wa mara moja,,kama vipi nimpe rands 30 tu tosha kwa kupata chakula pale KFC,,ni mgahawa fulani south wanauza chakula fresh sn,,, nakumbuka ilikuwa 2010,,
Basi baada ya mzozo wa kama dk 10 ikabidi nimpe jamaa rands 100 ktk pesa zake nilizozishika,,,
Huyo jamaa alikuwa hajuwi kingereza hata cha kuuliza saa ngapi?
KFC ,,,tukapanga foleni ya kununuwa chakula,,,basi kwa ujuaji wa jamaa nikasema leo nakuwa mtazamaji kuangalia atakacho kiagiza,,basi jamaa akawa mbele yangu Mimi nikawa namfuata yeye ktk foleni,,,
Mara muhudumu wa KFC akaita NEXT PLZ...jamaa akasogea hadi pale kwenye desk la kuagiza chakula,,
Jamaa hakutaka mambo mengi zaidi ya kuonyesha moja ya picha zile za ukutani zizokuwa zimebandikwa ,,
Jamaa akasema THIS ONE..
aisee!!!baada ya kama dk 10 jamaa alipewa fuko zima la rambo limejaa mikate 10 pcs vipande vya kuku 20 pcs na coca cola chupa kama 4 hivi,,kumbe jamaa alipoint ile jumbo size ambayo ndy order ya family ,ambayo ndy size ya mwisho na kubwa Sana hata watu 2 hawamalizi,,,,,jamaa alitozwa rands 100 yote pale pale ilikiwisha,,
Kivumbi ni jamaa baada ya kuona anapewa lile fuko kubwa la Rambo,,
Jamaa alipokea lile fuko la chakula kwa mshangao mkubwa,,, ikabidi anitoe kwenye foleni,,jamaa akaanza kunibembeleze mm nisinunuwe tena chakula changu,,tule wote kile alichonunuwa yeye maana hatokimaliza ,,ili nimchangie pesa kuliko kununuwa chakula kingine ,,basi tulikula chakula kile siku 2,,,aisee!!!
Basi jamaa wakati anatoka pale kwnye foleni na fuko lake wa south wote wanamshangaa,,na mm nacheka sn,,,
Kwakifupi jamaa alitoka nishai hatari,,mwishowe aibu nimeona mm,,,
Ujuwaji haupendezi ,,kama hujuwi Kama kimya..
 
Mimi maza angu hakua mama wa kuchapa,alikua n mama wa adhabu Nakumbuka zamani alishatukataza kuangalia TV bila yeye kutoa ruhusa,siku hiyo tumezoea mama akirudi si atarudi na Gari atapga Honi tukiskia tutazima tv tutakausha kimya.

huo ndio mtindo wetu tukiskia tu honi piiiii,unakimbia getini kufungua huku nyuma usharudisha kila kitu eneo lake,unasambaza madaftari mezani kuonyesha kwamba ulikua unajisomea,si unajua zileee..

Basi bwana! hiyo siku bi mkubwa gari sijui kaacha wapi "anajua mwenyewe" kaingia kupitia geti la nyuma "anafunguo zake" huku kumbuka tulishakatazwa angalia TV bila ruhusa,basi ghafla bin vuu Mama huyu hapa sebleni,Pale sebule yote inakua ndogo,moment kama hizo huwa naombaga MUNGU aje hata MGENI,ila ndio hivyo haji cha mgeni wala nini

Basi bana baada ya kudakwa tuliulizwa tu swali 1,Nilisema nini? "tukajibu" akatuambia nyie si mnapenda sana TV sasa subirini,Akatoka akaenda chumbani kwake kisha akarudi akaenda Chumba chake cha maombi,Maza angu n maza wa prayer kwa sana "ana chumba chake special hicho" basi akaenda akafungua kisha akachukua TV ya chumbani kwake akaipeleka kwenye ile chumba yake ya maombi.

Alipomaliza akaja seblen ambapo alituacha,akatuuliza tulikua tunaangalia nn? tukamdanganya "tukamtajia limkanda la Yesu" akasema uchukueni nifateni,Tukauchukua ule mkanda tukamfata hadi kwenye chumba chake,akatuingiza akasema sasa ingien mkae humu ndani muangalie huo mkanda mpk mchoke,Tukaingizwa Tukafungiwa.

Kile chumba ni master,Dada wa kazi akaambiwa awe anapika chakula kingi,basi tukiletewa asubuhi msosi mle ndani tunakaa humo ndani mpk usiku muda wakutoka kwenda kulala,Usiku ukfka tunaletewa chakula tule tukmaliza usiku kbsa saa 4 tunafunguliwa tukalale chumbani,asubuhi ikifka tunarudi jela yetu,Ile adhabu ilidumu mwezi mzima wa LIKIZO huwezi amini likizo nazionaga fupi,ila hamna likizo nliona ndefu kama hii tuliiyofungiwa chumba kimoja tunaangalia mkanda wa yesu.


Tangu hapo sijawahi kwenda tofaut na maagizo ya mazaaa,yule mama ana ma adhabu ya JKT Halafu mshua wangu alivyogo boya na yeye hata haingiliagi kesi ambazo mazaa anaishughulikia,mi ananiboaga kweli yani,badala hata antetee et akirud kazini jioni anakuja kwenye ile chumba unamskia anasema "hi my sons" ananiboaga basi tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huyu maza lazma ashawahi kuwa mjeda.N vigumu sana raia wa kawaida kuzijua adhabu kama hz plus ile ya kukulisha wali week nzma
 
Nakumbuka nipo jo'berg south Africa na jamaa yangu fulani,,,tuna mipango tuelekee Swaziland,, ikafika muda jamaa njaa imemkamata,,,akaniomba rands 100 ili afanye mipango ya kula,,nikamjulisha kwamba rands 100 ni nyingi sana kwa mlo wake wa mara moja,,kama vipi nimpe rands 30 tu tosha kwa kupata chakula pale KFC,,ni mgahawa fulani south wanauza chakula fresh sn,,, nakumbuka ilikuwa 2010,,
Basi baada ya mzozo wa kama dk 10 ikabidi nimpe jamaa rands 100 ktk pesa zake nilizozishika,,,
Huyo jamaa alikuwa hajuwi kingereza hata cha kuuliza saa ngapi?
KFC ,,,tukapanga foleni ya kununuwa chakula,,,basi kwa ujuaji wa jamaa nikasema leo nakuwa mtazamaji kuangalia atakacho kiagiza,,basi jamaa akawa mbele yangu Mimi nikawa namfuata yeye ktk foleni,,,
Mara muhudumu wa KFC akaita NEXT PLZ...jamaa akasogea hadi pale kwenye desk la kuagiza chakula,,
Jamaa hakutaka mambo mengi zaidi ya kuonyesha moja ya picha zile za ukutani zizokuwa zimebandikwa ,,
Jamaa akasema THIS ONE..
aisee!!!baada ya kama dk 10 jamaa alipewa fuko zima la rambo limejaa mikate 10 pcs vipande vya kuku 20 pcs na coca cola chupa kama 4 hivi,,kumbe jamaa alipoint ile jumbo size ambayo ndy order ya family ,ambayo ndy size ya mwisho na kubwa Sana hata watu 2 hawamalizi,,,,,jamaa alitozwa rands 100 yote pale pale ilikiwisha,,
Kivumbi ni jamaa baada ya kuona anapewa lile fuko kubwa la Rambo,,
Jamaa alipokea lile fuko la chakula kwa mshangao mkubwa,,, ikabidi anitoe kwenye foleni,,jamaa akaanza kunibembeleze mm nisinunuwe tena chakula changu,,tule wote kile alichonunuwa yeye maana hatokimaliza ,,ili nimchangie pesa kuliko kununuwa chakula kingine ,,basi tulikula chakula kile siku 2,,,aisee!!!
Basi jamaa wakati anatoka pale kwnye foleni na fuko lake wa south wote wanamshangaa,,na mm nacheka sn,,,
Kwakifupi jamaa alitoka nishai hatari,,mwishowe aibu nimeona mm,,,
Ujuwaji haupendezi ,,kama hujuwi Kama kimya..
Mkuu sijaona Kabisa hapa ujuaji wa Mwanetu!!
 
Nakumbuka nipo jo'berg south Africa na jamaa yangu fulani,,,tuna mipango tuelekee Swaziland,, ikafika muda jamaa njaa imemkamata,,,akaniomba rands 100 ili afanye mipango ya kula,,nikamjulisha kwamba rands 100 ni nyingi sana kwa mlo wake wa mara moja,,kama vipi nimpe rands 30 tu tosha kwa kupata chakula pale KFC,,ni mgahawa fulani south wanauza chakula fresh sn,,, nakumbuka ilikuwa 2010,,
Basi baada ya mzozo wa kama dk 10 ikabidi nimpe jamaa rands 100 ktk pesa zake nilizozishika,,,
Huyo jamaa alikuwa hajuwi kingereza hata cha kuuliza saa ngapi?
KFC ,,,tukapanga foleni ya kununuwa chakula,,,basi kwa ujuaji wa jamaa nikasema leo nakuwa mtazamaji kuangalia atakacho kiagiza,,basi jamaa akawa mbele yangu Mimi nikawa namfuata yeye ktk foleni,,,
Mara muhudumu wa KFC akaita NEXT PLZ...jamaa akasogea hadi pale kwenye desk la kuagiza chakula,,
Jamaa hakutaka mambo mengi zaidi ya kuonyesha moja ya picha zile za ukutani zizokuwa zimebandikwa ,,
Jamaa akasema THIS ONE..
aisee!!!baada ya kama dk 10 jamaa alipewa fuko zima la rambo limejaa mikate 10 pcs vipande vya kuku 20 pcs na coca cola chupa kama 4 hivi,,kumbe jamaa alipoint ile jumbo size ambayo ndy order ya family ,ambayo ndy size ya mwisho na kubwa Sana hata watu 2 hawamalizi,,,,,jamaa alitozwa rands 100 yote pale pale ilikiwisha,,
Kivumbi ni jamaa baada ya kuona anapewa lile fuko kubwa la Rambo,,
Jamaa alipokea lile fuko la chakula kwa mshangao mkubwa,,, ikabidi anitoe kwenye foleni,,jamaa akaanza kunibembeleze mm nisinunuwe tena chakula changu,,tule wote kile alichonunuwa yeye maana hatokimaliza ,,ili nimchangie pesa kuliko kununuwa chakula kingine ,,basi tulikula chakula kile siku 2,,,aisee!!!
Basi jamaa wakati anatoka pale kwnye foleni na fuko lake wa south wote wanamshangaa,,na mm nacheka sn,,,
Kwakifupi jamaa alitoka nishai hatari,,mwishowe aibu nimeona mm,,,
Ujuwaji haupendezi ,,kama hujuwi Kama kimya..
Hii imefanana na zangu mbili ya King fish na chicken marsala [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
 
Nilipigiwa simu nkafunge dish mahali. Huyo mtu akaniambia ni karibu na nyumba za usalama wa taifa. Kwa kiherere sijauliza vuzuri nkachukua toyo vuub mpaka nyumba za usalama wa taifa. Du nilikutana na vichalii fulani wakaniuhoji hoji nkashindwa kuwapa majibu ya kutosha. Nilipigishwa zoezi mpaka nkashindwa kusimama nkisimama miguu haina nguvu.

Mbaya zaidi waliponiruhusu nkawatukana nkawaambia tutakutana mtaani du wakanirudisha nilipigishwa kwata hadi nkaomba msamaha nkawambia nyie ni rafiki zangu. Nakumbuka nlipotoka getini nilitembea na matako hadi kwenye toyo miguu haina kazi. Wachana na hawa watu wanaotwa wasijulikana wasikie tu
 
Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimecheka sana aisee. Umetupiga fix lkn
 
Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Hahahahahahaha
 
Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
chai ya muarobaini
 
Habari zenu wanaJF. Kama kichwa cha habari kisemavyo hapo juu, katika harakati za hapa na pale katika maisha inaweza kutokea situation fulani tuu ukajikuta unajua kitu na kukifanya mbele za watu hatimae unaumbuka hapo ndo unakuja ule msemo usemao "utajua ujui".

Mimi binafsi miaka ya nyuma kidogo nilienda water park fulani hivi kurefresh kuogelea kwenye swimming pools kufika pale nikakuta kuna swimming pools za wakubwa zenye kina kirefu na za wadogo zenye kina kifupi. Sasa sikutaka hata kujiuliza kwanini kule kwenye kina kifupi ndio kuna watu wengi kuliko ile pool nyingine yenye kina kirefu nikaona potelea pote washamba tuu. Kwakweli sikuwa nimewahi kwenda before ndo ilikuwa ni mara ya kwanza ndipo kidume nikajikuta mjuaji kwamba ndio best diver sikutaka kwenda kwenye kina kifupi nikajichanganya kwenye swimming pool yenye kina kirefu na kulikuwa na alert kabisa pale ila mimi nikajiona much know. Basi nikaingia kwenye swimming pool taratibu nikiwa nimejiegemeza pembezoni kabisa huku ukutani nikicheki watu wawili watatu mule wakicheza michezo yao. Sasa sijui ni kitu gani kikanitekenya nikaona ngoja nisogee pale katikati nikajipush kutoka pale pembezoni yaani kama nilitumia nguvu ya ule ukuta kuswim hata pale kati sikufika vizuri nikaanza kuhisi kama navutwa ndani ya maji nikaanza kuvuta picha kwa wale wataalam wanavyo ogelea huwa kuna namna wana piga miguu ndani ya maji wanaelea basi na mimi nikaanza kufanya vile nikawa narudi juu kidogo nikiacha kupiga miguu nazama tena pale kwenye angle ya swimming napaona ila kupafikia ndio ilikuwa shughuli kwangu nilipiga sana miguu nikatumia utaalamu wote niliouona kwenye TV vile wanaogeleaga lakini wapi kupiga kelele za kuomba msaada napo nilikuwa naona aibu. Mwisho wa siku baada ya kutapatapa sana na ukizingatia kwenye angle palikuwa sio mbali basi nikachoka nikajiachia tuu nikawa nazama ndo kama nilikuwa naiona dunia inazunguka nikiwa ndani ya maji huku nikiwa nakunywa vikombe heavy vya maji taratibu kabisa. Wakati naelekea kufumba macho kuiaga dunia kwa mbali nikaona malaika ananipa mkono na mimi nikaona nimpe mkono japo kwa kujikongoja sana huku nikijisemea moyoni Bwana ametoa Bwana ametwaa jina lake lihimidiwe, nikampa mkono. Mara ghafla nikaona nimeibuliwa kwa nguvu kutoka ndani ya maji kumbe alikuwa ni jamaa tuu nahisi alikuwa ananichora tuu tangu mda ule natapatapa. Basi akanivuta akanishikisha ile angle aisee niliing'ang'ania kwa nguvu zangu zote huku nikiwa nakohoa nikapanda hadi juu nje ya swimming pool kwa speed ya mwanga nikakaa pembeni nikiwa siamini yaliyo nitokea pale dakika chache zilizo pita huku kwa mbali nikisikia vicheko vya watu ni dhahiri kabisa mimi ndiye niliyekuwa nachekwa maana kwa wakati huo akili haikuwepo kabisa pale.
Nikanyanyuka nikatafuta nguo zangu zilipo nikavaa nikapiga msosi pale fasta nikaondoka zangu home bila hata kugeuka nyuma. Yaani hapo ndio nilijua sijui.

Vipi na nyinyi wadau ni kitu gani ulijifanya mjuaji ukaumbuka hebu tiririkeni hapo hata kama sio wewe lakini ulimshuhudia mtu mwingine,


karibuni.
Mmhahahaah hahahaha unajua kusimulia tukioo nmecheka kinoma


Pole sana mwamba.
 
Nilipigiwa simu nkafunge dish mahali. Huyo mtu akaniambia ni karibu na nyumba za usalama wa taifa. Kwa kiherere sijauliza vuzuri nkachukua toyo vuub mpaka nyumba za usalama wa taifa. Du nilikutana na vichalii fulani wakaniuhoji hoji nkashindwa kuwapa majibu ya kutosha. Nilipigishwa zoezi mpaka nkashindwa kusimama nkisimama miguu haina nguvu.

Mbaya zaidi waliponiruhusu nkawatukana nkawaambia tutakutana mtaani du wakanirudisha nilipigishwa kwata hadi nkaomba msamaha nkawambia nyie ni rafiki zangu. Nakumbuka nlipotoka getini nilitembea na matako hadi kwenye toyo miguu haina kazi. Wachana na hawa watu wanaotwa wasijulikana wasikie tu
Chezea wajeda huhuhuhuh, afu huwa hawan undugu kabisa, poleeeeh San.
 
Tulikua tunaenda Dodoma na coaster tulipofika maeneo ya mbezi kuna dogo akamwambia konda tukifika morogoro naomba uniambie konda kama poa tukafika Kibaha dogo akauliza Moro bado ? Konda akasema bado ,tukafika chalinze dogo akauliza tena ,konda akawa mbogo mixa maneno ya shombo dogo kausha tukifika moro nitakwambia
Basi safari ikasonga baada ya masaa mwili dogo akauliza tena moro bado ? hapo tunaitafuta Gairo konda akasema dah! Moro tushapita dogo , kidume nikageuka mbogo na magwanda yangu ya JKT nikamwambia dereva geuza gari turudi Moro abiria wakamaindi kinoma sema wakiangalia konda kazingua wakiniangalia pia mimi ni mwanausalama halafu mwili jumba niko na wenzangu wawili nimewazid ranks kwashingo upande suka kageuza gari mpaka moro.
Nikamwambia dogo moro ndio hapa ,dogo akasema asante bro akafungua begi lake akatoa chupa ya chai na mkate akaanza kugonga konda akamwambia shuka bas dogo akasema anaenda dom ila mama yake alimwambia akifika moro ndio anywe chai lunch atakula dom, unaambia gari zima macho yenye Jazba, hasira,husda,gubu, nongwa,dharau na uchungu yakaelekezwa kwangu hapo ndio ikabidi nizuge naenda kuchimba dawa nikakimbia nikawatext makamanda mizigo yangu nitaikuta kambini
Tunywe hivi hivi au kuna maandazi yanakuja?
 
Hapo tatizo lilikuwa pesa aliyokuwa nayo mkononi au uchaguzi wa chakula
Tatizo ni pesa na uchaguzi wa chakula, mfano angekuwa na rands 30 hata Kama angeonyesha apewe ile big size isingetosha,,,
Wangempa kulingana na pesa yake,,maana unatoa pesa na halafu unasubiri oder yako..
 
mimi niliendaga msikiti mmoja kupata ibada ya swala....sasa kufika mahali pa kuchukulia udhu...nikakuta mabomba flani hivi yaani yamekaa kama unazungusha ili maji yatoke,mimi bila kuuliza /kuangalia wenzangu nikaanza kuzungusha....maji hayatoki nikakomaa kuzungusha lakini wapi hadi akaja jamaa akabinya maji yakatoka...nilijiona mshamba kama wa chato.
 
Kipindi hiko tumemaliza form 6 tunasubiri matokeo,Likizo ndefu hivyo washikaji kutembeleana ilikuwa kawaida....sasa hiyo siku tuko wawili tunaenda kumcheki jamaa yetu home kwao..Tulifika akatupokea vizuri tuu..sema kuna kazi alikuwa anamalizia ndani kwao hivyo tukabaki sebuleni..Sasa akamuagiza mdogo wake wa kike"wawekee muvi ile waangalie wapoteze muda kidogo mi nakuja mida si mirefu"..Na dogo akasema hii muvi kali sana...mkono wa kutosha...

Tukaoma yes..Akaweka muvi kisha na ye akarudi kuendelea kupika..Ile ameingia jikoni tuu Mzee wao kumbe alikuwepo akatoka kuja sebuleni muvi ndo ilikuwa ndo inaanza...sisi hatuna hili wala lile kumbe muvi inaelezea maisha ya steringi kuwa ni mtu wa bata na mademu...heeeeh ile Mzee anakaa tuu na muvi iko jamaa kamuinamisha demu anampiga paipu halafu na kelele za kutoshaaaaa.mwendo wa sekunde kama 30(ila zilikuwa kama masaa 15).Daaaah rimoti iko mbali na Mzee kakaza tuu anatuangalia Mi nikaona nifuate rimoti nitoe Ile muvi..Mzee akatukazia,acha tuu si ndo mambo mnayoangalia siku hizi...Daaaah nikakomaa nakuitoa asee...

Ndani ya dakika 5 tukaaga kwamba tunaenda asee...mbaya zaidi tunaonekana sisi ndo tumeenda special kw ajili ya yale mambo na mzee alikuwa mbali kujua kuwa si tumewekewa tuu na hatuna hatia..
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119]
 
Back
Top Bottom