Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo baba yako alikuwa mshamba sana, kwahiyo watoto mnakaa na njaa mpaka mnasinzia alikuwa anawatesa sana aisee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Huyo baba yako alikuwa mshamba sana, kwahiyo watoto mnakaa na njaa mpaka mnasinzia alikuwa anawatesa sana aisee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inawezekana ulikuwa hauna akili .
Kama mama yako Bado yupo muulize
Ni familia ya hovyo hiyo na bila shaka nyie ni wachoyo kwa hii tabiaAsilimia kubwa watanzania ndivyo tulivyo.hauwezi kula kabla ya mtafutaji hajala.
hata kipindi nipo home ulikuwa hauwezi kula kabla ya baba hajarudi.labda ukadokoe jikoni kwenye sufuria lakini chakula kikishatengwa mezani haugusi
Kabisa mkuuTabia za kifukara na uchoyo....
Wewe mjinga kweli kumbe upo proud na alichokuwa anakifanyaBaba yenu alikuwa anawaambia mle kabla yake?
Au baba yako alikuwa kiben 10 mida yote yupo nyumbani analelewa na maza.
isije ikawa mama ndo alikuwa analea familia baba Hana sauti.
Ila baba anayetafuta hawezi kuruhusu hilo litokee
utaratibu upi alikuwa anautumia mama yako kukupa chakula?Ni familia ya hovyo hiyo na bila shaka nyie ni wachoyo kwa hii tabia
Wewe sema baba yako alikuwa kiben 10 ndo maana ulikuwa haumuheshimu.Wewe mjinga kweli kumbe upo proud na alichokuwa anakifanya
Inamaana huyo baba yenu alikuwa hajui majukumu yake yakuhakikisha watoto wanatakiwa wale
Huyo baba yenu alikuwa mkatili na mjinga kama wewe
Mzee kwetu chakula ni public good, kikiiva walioko wanakula, wasio kuwepo watakuta potion yao, na babaangu ilikua chakula kikiwa tayar akakuta hakijaliwa huo ugomvi wake hauishi, yeye anasema kikiva kiliwe na chake akija mgeni apeweutaratibu upi alikuwa anautumia mama yako kukupa chakula?
Au ndo ukoo wa kambare baba ndevu mtoto ndevu.
Unaanza vipi mtoto wa kiume kwenda kufungua hotpot mezani?
hapo mlikuwa mnapakuliwa na maza.Mzee kwetu chakula ni public good, kikiiva walioko wanakula, wasio kuwepo watakuta potion yao, na babaangu ilikua chakula kikiwa tayar akakuta hakijaliwa huo ugomvi wake hauishi, yeye anasema kikiva kiliwe na chake akija mgeni apewe
Mkuu hata kama unapesa usije fikiri kila mtu anayekuja kwako anakimbilia msosi wengine msosi makwetu sio jambo zitoUtakula ulipopeleka mboga.Mmezoea sana dezo.Huu ujinga ujinga wa kukimbilia msosi ndio unafanya wengi wapende dezo.
Mkuu hata kama unapesa usije fikiri kila mtu anayekuja kwako anakimbilia msosi wengine msosi makwetu sio jambo zitoUtakula ulipopeleka mboga.Mmezoea sana dezo.Huu ujinga ujinga wa kukimbilia msosi ndio unafanya wengi wapende dezo.
Ni sahihi watoto kukaa na njaa kisa baba hajarudi??Inawe utakuwa umesahau muulize mama yako .NI SAHIHI watoto kula chakula kabla baba hajala?
If only i could give 5 stars to this commentMimi sili kwa mtu kimasikhara, na wanaonijua nikila kwako nimekuheshim ya ela yote, mbaya sana kusimangiwa food yaan chakula ambacho baba na mama walinifunza kikishaiva ni public good, let people eat hutofilisika so ili kulinda heshma yangu nnachagua mnoo yaan sana nyumba ya kula, hii ni tokea nikiwa shule mpaka leo
5 [emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294]Ukienda kwa mtu nenda muda ambao sio wa kula au karibia na kula, epuka kulakula kwa watu ulinde heshma yako, ukiwa na kwako mwanaume toa amri kwa familia hako kwamba chakula kikiwa tayar walioko wale, wasio kuwepo watengewe cha kwao, epuka mashart ya kijinga nyumbani kwako juu ya chakula, utazalisha kizazi chenye uroho, walafi na wanaoona chakula big deal, watoto watakua wadokozi maana watashindwa kusubiri wakati wana njaa, NNARUDIA Baba acha tabia za kipumbavu, wafanye watu wa nyumba yako wazoee chakula laah utazalisha wachoyo na walafi
Nipeee hiyo 5 star mkuu lkn kula kwa watu bwana unaweza banduka na aibu, kila mtu ana table manner yake kuna mtu unakula kwake ukitoka anaenda kukusema kwa watu sasa nikisikia na huo ujamaa utafia hapo so ili kulinda ujamaa na mahusiano sili kwako, siji kwako wakati wa kula na nikikumbana nacho bahati mbaya ntaomba maji ya kunywaIf only i could give 5 stars to this comment
Thank you for 5stars5 [emoji294][emoji294][emoji294][emoji294][emoji294]
Kwann Mzee asitengewe msosi mliopo mlehapo mlikuwa mnapakuliwa na maza.
Ila sio hot pot limewekwa mezani ukapakue.
sisi dingi alikuwa anarudi saa 2 usiku kutoka kazini.yaani mpaka saa 2 anakuwa yupo tayari nyumbani anaangalia taraifa ya habari huku anakula .
Ikiwa kachelewa mpaka saa 3 au saa 4 mama anachukua uamuzi wa kutupakulia SIO UNAPAKUA MWEMYEWE.
ila sio saa 1 dingi hajarudi ukimbilie hot pot upakue chakula ule.hapo NI kesi ya jinai
Alooh kuna wanaume wana masharti kuliko waganga, yaan wapo wanaohesabu mpaka finyango vya nyama, Ujima ujima tuKwann Mzee asitengewe msosi mliopo mle