Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

hili la pili likitokea palepale sinza mapambano kwa manyweleeee pana matukioo weweeee....

kunakademu nilikakuta kakoo bar kanasubiri jamaa kamekaa meza yangu nkaomba namba kakatoa badae jama akakapotezea...nkamwambia akizungua nikosinza mapambano nipigie

nususaa lisaa kapiga hi ukowapi nkajibu nipoo same place nimekwambia

gafla Clara kaja huyoo tukachukua chumba.....mtoto anataka wine keupee katamu kwa macho...nikagiza dompo

mtoto akanywaa akazidiwa asianze kelele ument.....sanaa umeniumizaa sanaa omatusi kama yotee ooh nkaona sio hii

nkamwuliza unakaa wapi mama mbezibeach nkangalia pochi ana 50k
Nkaita bajaji tukampahela 15 mfikishe kituoni anza

NNikachomoq15 yangu ya dompo...akabaki na salio.nikajifixha chumba cha pili

Ameondokaa tuu wewee naijuahiooo
nkatoka ndukiiiiiiii

bahati kwa simu yake nilifuta cont zote na msg zote yaan hata sikuchagua kama n zangu

nahisi ilikuwa pona yanguu

baada ya mwaka nanusu nikoo skylounge pub kabla aijafungwaa aise nakaona kanaingia nkahama kwenye mwanga nkahamia gizan..hata manzii niliekuwa nae alishangaa nkamjibu nduguzangu waking ona watanipiga mzinga...

jpili nkaenda kutubu
 
umkimbie wa nn badala ya yeye akukimbie?
Mapele mgongoni Wazee msipende kuzima taa au kupiga kwenye mataa ya barabarani yale yenye rangi rangi kuna vitu mnakosa kuviona vizuri tembea na LED bulb au lamp la solar ukifika unakagua mwili kabla bila hivyo utapiga mzoga bila kujua unasikia harufu haieleweki kumbe unafakamia mzoga uliochoka
 
m nimifanya zali nkajua umelewa nahamia chumbq cha pili naweka mazingira na mpwa wa Lodge akuondoe kwanza

UUkikomaa wanakufungia mlangoo nakamqtqpikpik naanza tutakutana
Kwa mikesha
6dec kwa suguye.13 Dec kwa mwamposa
 
hili la pili likitokea palepale sinza mapambano kwa manyweleeee pana matukioo weweeee....

kunakademu nilikakuta kakoo bar kanasubiri jamaa kamekaa meza yangu nkaomba namba kakatoa badae jama akakapotezea...nkamwambia akizungua nikosinza mapambano nipigie

nususaa lisaa kapiga hi ukowapi nkajibu nipoo same place nimekwambia

gafla Clara kaja huyoo tukachukua chumba.....mtoto anataka wine keupee katamu kwa macho...nikagiza dompo

mtoto akanywaa akazidiwa asianze kelele ument.....sanaa umeniumizaa sanaa omatusi kama yotee ooh nkaona sio hii

nkamwuliza unakaa wapi mama mbezibeach nkangalia pochi ana 50k
Nkaita bajaji tukampahela 15 mfikishe kituoni anza

NNikachomoq15 yangu ya dompo...akabaki na salio.nikajifixha chumba cha pili

Ameondokaa tuu wewee naijuahiooo
nkatoka ndukiiiiiiii

bahati kwa simu yake nilifuta cont zote na msg zote yaan hata sikuchagua kama n zangu

nahisi ilikuwa pona yanguu

baada ya mwaka nanusu nikoo skylounge pub kabla aijafungwaa aise nakaona kanaingia nkahama kwenye mwanga nkahamia gizan..hata manzii niliekuwa nae alishangaa nkamjibu nduguzangu waking ona watanipiga mzinga...

jpili nkaenda kutubu
Ahaah ase pole
 
Yes, kwanza nilimpata pale njia panda ya mabibo, tumeingia Gest, akataka nimpe fedha kabisa, Tsh 10,000 nikagundua nimeopoa mfanya biashara.

Kilinikimbiza mpaka nikamuachia chumba, nimempa ile 10, anadai nimpe nyingine eti sijampa.
Pslepale nigundua malaya hana aibu, ila mimi nina aibu hapa nitaabika, nikamuaga kwa kumuambia, anisubiri, niende kwenye A.T.M pale manzese Darajani nitarudi.
Akakubali akijua naenda kushusha mzigo, Sikurudi niksona bora nile hasara hii, kuliko kuaibishwa na malaya.
 
Ahaha uliochoka unatafuta wakubeba msiba
Mapele mgongoni Wazee msipende kuzima taa au kupiga kwenye mataa ya barabarani yale yenye rangi rangi kuna vitu mnakosa kuviona vizuri tembea na LED bulb au lamp la solar ukifika unakagua mwili kabla bila hivyo utapiga mzoga bila kujua unasikia harufu haieleweki kumbe unafakamia mzoga uliochoka
 
Sikuhizi kuna style moja
Wanakupa utom....e tu huku kwenye maziwa anagoma kunyofoa nguoo

Ndugu kuna mmoja niliforce bahati nkamhakikishia nampa 20 badla ya 10k

Kufungua nguo madonda kama yote yamezingiraa maziwa juu chini....tukabywa nkaset saa alarm baada ya dk 15 ikaita kama simu imepigwa

Nkamwambia hny nafika hapo afrikasana hip 2022..akasema hurudi hny akanza kunihold nkamwambia kama huaminishikaa hii 10000 tukigongana namalizia 10000 nkaacha bia nzima nanusu yangu....

Nimepanda basi kufika mwenge nkamusms malov yaan sis kapata shida huku wewe malizia hioo bia mpenzi...

Duduloteee lililala chini siku 3 sinahamuu
 
Yes, kwanza nilimpata pale njia panda ya mabibo, tumeingia Gest, akataka nimpe fedha kabisa, Tsh 10,000 nikagundua nimeopoa mfanya biashara.

Kilinikimbiza mpaka nikamuachia chumba, nimempa ile 10, anadai nimpe nyingine eti sijampa.
Pslepale nigundua malaya hana aibu, ila mimi nina aibu hapa nitaabika, nikamuaga kwa kumuambia, anisubiri, niende kwenye A.T.M pale manzese Darajani nitarudi.
Akakubali akijua naenda kushusha mzigo, Sikurudi niksona bora nile hasara hii, kuliko kuaibishwa na malaya.
Ahahha watu wapo kazini hakuna kupoa
 
Back
Top Bottom