Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #21
AhahaBabu acha tu ilinikuta hii nilitoka umeme nikapitiliza hadi kituo mwendo wa ngiri hakuna kugeuka nyuma hio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhahaBabu acha tu ilinikuta hii nilitoka umeme nikapitiliza hadi kituo mwendo wa ngiri hakuna kugeuka nyuma hio
Mapele mgongoni Wazee msipende kuzima taa au kupiga kwenye mataa ya barabarani yale yenye rangi rangi kuna vitu mnakosa kuviona vizuri tembea na LED bulb au lamp la solar ukifika unakagua mwili kabla bila hivyo utapiga mzoga bila kujua unasikia harufu haieleweki kumbe unafakamia mzoga uliochokaumkimbie wa nn badala ya yeye akukimbie?
Sikusimulii ilivyokua leo nakuacha hivyo hivyo ila washeni taa mnapofika maeneo msizime taaAhaha
Ahaah ase polehili la pili likitokea palepale sinza mapambano kwa manyweleeee pana matukioo weweeee....
kunakademu nilikakuta kakoo bar kanasubiri jamaa kamekaa meza yangu nkaomba namba kakatoa badae jama akakapotezea...nkamwambia akizungua nikosinza mapambano nipigie
nususaa lisaa kapiga hi ukowapi nkajibu nipoo same place nimekwambia
gafla Clara kaja huyoo tukachukua chumba.....mtoto anataka wine keupee katamu kwa macho...nikagiza dompo
mtoto akanywaa akazidiwa asianze kelele ument.....sanaa umeniumizaa sanaa omatusi kama yotee ooh nkaona sio hii
nkamwuliza unakaa wapi mama mbezibeach nkangalia pochi ana 50k
Nkaita bajaji tukampahela 15 mfikishe kituoni anza
NNikachomoq15 yangu ya dompo...akabaki na salio.nikajifixha chumba cha pili
Ameondokaa tuu wewee naijuahiooo
nkatoka ndukiiiiiiii
bahati kwa simu yake nilifuta cont zote na msg zote yaan hata sikuchagua kama n zangu
nahisi ilikuwa pona yanguu
baada ya mwaka nanusu nikoo skylounge pub kabla aijafungwaa aise nakaona kanaingia nkahama kwenye mwanga nkahamia gizan..hata manzii niliekuwa nae alishangaa nkamjibu nduguzangu waking ona watanipiga mzinga...
jpili nkaenda kutubu
Hatari sana 😂Huku unajipiga kifuani na kujitukana
Mapele mgongoni Wazee msipende kuzima taa au kupiga kwenye mataa ya barabarani yale yenye rangi rangi kuna vitu mnakosa kuviona vizuri tembea na LED bulb au lamp la solar ukifika unakagua mwili kabla bila hivyo utapiga mzoga bila kujua unasikia harufu haieleweki kumbe unafakamia mzoga uliochoka
Embu simulia wengine uwenda walikutana navyo wakaona kawaidaSikusimulii ilivyokua leo nakuacha hivyo hivyo ila washeni taa mnapofika maeneo msizime taa
Ahahha watu wapo kazini hakuna kupoaYes, kwanza nilimpata pale njia panda ya mabibo, tumeingia Gest, akataka nimpe fedha kabisa, Tsh 10,000 nikagundua nimeopoa mfanya biashara.
Kilinikimbiza mpaka nikamuachia chumba, nimempa ile 10, anadai nimpe nyingine eti sijampa.
Pslepale nigundua malaya hana aibu, ila mimi nina aibu hapa nitaabika, nikamuaga kwa kumuambia, anisubiri, niende kwenye A.T.M pale manzese Darajani nitarudi.
Akakubali akijua naenda kushusha mzigo, Sikurudi niksona bora nile hasara hii, kuliko kuaibishwa na malaya.
Iyo njia jombaa ukiotumia kiboko sanaKisamaki aisee,
Nilimwambia jamaa anipigie simu ya dharula , nahitajika central haraka sn
M naset alarm naweka pemben najua hapa dk 10 shetani ntakuwa nimemshinda kwa kunywa bia tu ikiita weweeeKisamaki aisee,
Nilimwambia jamaa anipigie simu ya dharula , nahitajika central haraka sn
Kwahiyo ukupiga?Kisamaki aisee,
Nilimwambia jamaa anipigie simu ya dharula , nahitajika central haraka sn