Ushawahi kumkimbia mwanamke guest?

Ahaha umzaniaye ndie kumbe........
 
Ahahaha wa humu sio?
 
Hii mbonaa sijaelewa elwa iv embu rudia
 
Hadi papai 🀣🀣🀣🀣
Acha basi
 
Mwaka 2015 mtwara hiyo baada ya kutangazwa anko Magu kuwa ndiye mshindi ccm waliandaa sherehe fulani ya mziki pale uwanja wa mashujaa.
Tukaenda na mwanangu ambaye ni poti kufika kule nikaona mtoto bwana kusema naye akanipa namba nilitaka mzigo siku hiyo hiyo akasema Leo hapana labda kesho.
Kesho yake namcheki akaniambia nimfuate, kwenda kumchukua heeeeeee mtoto anatoka na begi kubwaa la nguo,nikamuuliza vipi akasema we twende nitakusimulia. Mpango wa kumpeleka geto ukafa ikabidi Sasa nimpeleke lodge piga sana mzigo mtoto yule,usiku nikampanga poti ajifanye ni mkuu wangu anipigie kunipa oda kuwa kesho asubuhi natakiwa kwenda operation masasi.
Mwamba alivyopiga nikaweka na loud JAMBO AFANDE mwamba kanyooka na mimi kunipa taarifa ya kwenda masasi.
Mtoto wa watu nilimpa 20,000 nikamwambia nyingine nakutumia.
KWA LILE BEGI ANGEENDA GETO BASI KUMTOA INGEKUWA KAZI KUBWA SANA.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Dah kuna watu wana matukio😹
a
 
Hivi alikuchukuliaje hahahah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…