Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana mkuu😅Uzi pendwa. Unatembea kama moto wa nyika aisee!
Lete kisa chakBongo nyosso
Ujaweka kisa up nowNoma sana mkuu😅
Kweli kabisa, aiseeAhaha umzaniaye ndie kumbe........
Mkuuhili la pili likitokea palepale sinza mapambano kwa manyweleeee pana matukioo weweeee....
kunakademu nilikakuta kakoo bar kanasubiri jamaa kamekaa meza yangu nkaomba namba kakatoa badae jama akakapotezea...nkamwambia akizungua nikosinza mapambano nipigie
nususaa lisaa kapiga hi ukowapi nkajibu nipoo same place nimekwambia
gafla Clara kaja huyoo tukachukua chumba.....mtoto anataka wine keupee katamu kwa macho...nikagiza dompo
mtoto akanywaa akazidiwa asianze kelele ument.....sanaa umeniumizaa sanaa omatusi kama yotee ooh nkaona sio hii
nkamwuliza unakaa wapi mama mbezibeach nkangalia pochi ana 50k
Nkaita bajaji tukampahela 15 mfikishe kituoni anza
NNikachomoq15 yangu ya dompo...akabaki na salio.nikajifixha chumba cha pili
Ameondokaa tuu wewee naijuahiooo
nkatoka ndukiiiiiiii
bahati kwa simu yake nilifuta cont zote na msg zote yaan hata sikuchagua kama n zangu
nahisi ilikuwa pona yanguu
baada ya mwaka nanusu nikoo skylounge pub kabla aijafungwaa aise nakaona kanaingia nkahama kwenye mwanga nkahamia gizan..hata manzii niliekuwa nae alishangaa nkamjibu nduguzangu waking ona watanipiga mzinga...
jpili nkaenda kutubu
Huyo demu atakuwa ana nyota ya muarobaini 😂Nilikutana na demu mchungu huyo yn hana utamu kabisa, demu mchungu kama korokwini 😂 afu ndo kwanza bado mapema ikabidi nmpange mwanangu anipigie simu aniambie nahitajika kazini ndo ikawa ticket kusepa, nkaja kumrudia tena ila bado tuu demu hana utamu ndo nkampotezea mazima
Majini tenaKuna pisi tupo kitandani, nipo bize natafuta shot on target si ikapandisha majini.
Aiseee nadhani ile siku ata Usain Bolt mwenyewe asingeweza kunishika kwa zile mbio.
Ni hatariMajini tena