Ushawahi kumuona Sir David Livingstone sura yake?

Ushawahi kumuona Sir David Livingstone sura yake?

Ingawa na mimi pia nilifundishwa kwamba huyu bwana ndiye ''mgunduzi'' wa hili ziwa kiuhalisia yeye alikuwa MZUNGU WA KWANZA KULIONA ZIWA VICTORIA, maana hilo ziwa si lilikuwa linajulikana kwa wenyeji wa nchi zinazolizunguka?
naona sasa waafrica akili zetu zinaanza kujirudia!! hivi ilikuaje hadi mwalimu mweusi nae akafundisha watoto wa kanda ya ziwa kwamba huyu dr ndie aligundua ziwa victoria?
 
Sema mzungu wa kwanza kuliona ziwa nyanza.....na kwa taarifa yako si yeye....rudi shule ukasome tena!livingstone hakuwah liona wala kufika ziwa nyanza[emoji13] [emoji13]
Livingstone hakuwahi ona ziwa nyanza, mzungu wa kwanza kuona ziwa nyanza Alikuwa Richard butorn
 
naona sasa waafrica akili zetu zinaanza kujirudia!! hivi ilikuaje hadi mwalimu mweusi nae akafundisha watoto wa kanda ya ziwa kwamba huyu dr ndie aligundua ziwa victoria?
Walimu wa mwanzo walikuwa wanatumia mitaala iliyoandaliwa na wakoloni...
 
View attachment 401457[/QUOTE]
Ww kasome vizuri historia huyo jamaa wala hakuwahi kufika ziwa nyanza /Victoria, na wala ziwa Hilo hakuligundua mzungu, wakikuwepo wasukuma, waganga, wahaya, wakikuyu walishaliona siku nyingi, Livingstone Alikuwa mzungu wa kwanza kuona maporomoko ya Victoria Falls kule Zimbabwe siyo ziwa nyanza.
 
Ingawa na mimi pia nilifundishwa kwamba huyu bwana ndiye ''mgunduzi'' wa hili zjiwa kiuhalisia yeye alikuwa MZUNGU WA KWANZA KULIONA ZIWA VICTORIA, maana hilo ziwa si lilikuwa linajulikana kwa wenyeji wa nchi zinazolizunguka?

Livingstone hakuwahi kufika kanda ya Ziwa, yeye alikwenda kusini mpaka Zambia, kama nakumbuka vizuri Mzungu aliyekuwa anafatilia source of River Nile ni Speke, katika harakati zake hizo ndiyo ajikuta amefika ziwa Nyanza/Rwelu yeye ndiye aliye pachika jina la Lake Victoria Ziwa badala ya Nyanza alifanya hivyo kwa heshima ya Queen Victoria ambaye alikuwa ni Malikia wa Uingereza enzi hizo.

Livingstone hakuhusika na chochote na uvumbuzi wa Lake Victoria.
 
naona sasa waafrica akili zetu zinaanza kujirudia!! hivi ilikuaje hadi mwalimu mweusi nae akafundisha watoto wa kanda ya ziwa kwamba huyu dr ndie aligundua ziwa victoria?

Wazungu waliandika uvumbuzi huo kwa ajili ya raia wa Ulaya na Merikani siyo kwa Wafrika - wazungu walikuwa wana shahuku ya kujua kinacho endelea kwenye kile wakicho kiita Dark Continent - matajiri na wamiliki wa magazeti ya huko Merikani na Ulaya ndiyo walikuwa wanadhamini/gharimia safari za wazungu hao kuja Afrika kufanya tafiti.

Kwa wazungu ujio wao Africa na kukutana na vitu vigeni kwao, hilo wenyewe walilichukulia kama ni uvumbuzi kwa hiyo tusishangae wakisema walivumbua Lake Nyanza nk.
 
Nikusaidie hakugundua ziwa victoria.Maana kabla ya kupewa jina hilo ziwa kilikuwa linaitwa ziwa Nyanza
 
Mm naona matango pori kwa sasa hayatakiwi; hakugundua bali aliita jina na kuna uwezekano kuwa ziwa Victoria lina jina la asili tofauti na hili la victory
 
Sir David Livingstone
Mtu wa kwanza kugundua ziwa victoria

neno moja kwake
View attachment 401457
Hili la Living Stone na Victoria mkuu UMEPUYANGA KWELI KWELI, KIFUPI ALIKUFA PASI NA KULIONA,Nadhani huyu historia yake kwa TANZANIA imeegemea sana ZIWA TANGANYIKA kule...c kule hata makumbusho yake ipo? Na hata sehemu alokuwa anapigia mswaki bado ipo pia[emoji12] Na hilo la WAZUNGU kugundua hata BABU YANGU ALILIKATAA KABISA[emoji23]
 
Sir David Livingstone
Mtu wa kwanza kugundua ziwa victoria

neno moja kwake
View attachment 401457
Acheni uboya wa kuaminishwa! Eti aligundua ziwa Victoria?? Ina maana waafrika waliokuwa wakiishii na kuvuendesha shughuli zao za uvuvi na kilimo maeneo ya ziwa Victoria walikuwa hawajawahi kuliona?? Yani kisa huyu jamaa aliliona akawapelekea habari matapeli wenzake huko Ulaya ndo wakambatiza ameligundua na sisi waafrika tunaambiwa aliligundua yeye tunaitika "Mooo'' kama ming'ombe ya Masai!

Eti aliligundua?? Ni ziwa ni kifaa kwamba alitumia teknolojia kuliunda??

Tuwe tunasoma mambo ya darasani kujibia mitihani lakini tubaki na akili yetu.
 
So far najua mzungu wa ziwa Victoria ni Speke na sio Livingstone
 
Sio kugundua tu....hata kuliona tu hakuwahi liona..!
Acha kupotosha watu
Huyu ni mzungu wa kwanza kugundua hilo ziwa but before yeye waafrica waliishi along the shore
So ni uongo ukisema yeye ndiye mtu wa kwanza kuligundua hilo ziwa
 
Back
Top Bottom