Ushawahi kumuona Sir David Livingstone sura yake?

Ushawahi kumuona Sir David Livingstone sura yake?

Sema mzungu wa kwanza kuliona ziwa nyanza.....na kwa taarifa yako si yeye....rudi shule ukasome tena!livingstone hakuwah liona wala kufika ziwa nyanza[emoji13] [emoji13]
hizi shule za kata kweli majanga,wachangiaji wote hao hakuna aliyesema bw livingstone hakufika ziwa nyanza,kuna tatizo kwenye elimu yetu.
 
aligundua ziwa victoria au alilipa jina ziwa victoria
Ziwa Victoria kabla ya kuitwa hivyo lililikuwa linaitwa Ziwa Nyanza.
Jina la Victoria lilipewa na mzungu anayeitwa John Hanning Speke mwaka 1858 kwa heshina ya malikia Victoria wa Uingereza wa wakati huo.
Alexander the greater
 
Halafu tuache ujinga wizara yetu ya elimu tuache kumuita MTU wa kwanza kugundu inabidi ifahamike ni mzungu wa kwanza kuliona ziwa nyanza maana pale kulikua na watu wanaishi na walikua wanalitumia ziwa hili so lilikua tayari lishagunduliwa....
 
Lakini, inasemekana (rejea vyanzo mbalimbali) kuwa mzungu wa kwanza kuliona ziwa Victoria ni John Hanning speke mwaka 1874...na ukiwa mwanza karibu na BOT pale kuna roundabout ndogo pale kuna kibao kimewekwa pale kikielezea kuwa ndo mahali pale jamaa aliposimama na kuliona ziwa Hilo.
 
Au aligundua kuwa ni ziwa kubwa kuliko yote Afrika . Waafrika tulishangaa tu hatukujua kama ni kubwa kiasi hicho , kwa heshima ya ugunduzi wake likaitwa victoria
 
MTU wa kwanza kutoka Europe kugundua lake Victoria maana pale kuna wahaya wasukuma wakerewe wako ziwani miaka 3000 iliyopita
Nadhani mkuu tunakosea kusema KUGUNDUA, usahihi ni mtu wa kwanza toka Ulaya KUONA ..............
 
Sir David Livingstone
Mtu wa kwanza kugundua ziwa victoria

neno moja kwake
View attachment 401457
kabla yake hilo ziwa liliitwaje je hao walioliita hawakugundua isipokuwa huyo locust. Mzungu mbaya sana katufanya waafrika tuonekana mazuzu unakuta jitu na kielimu chake ila bado anaamini mtu wa kwanza kugundua ziwa ni Mzungu.
hii ina maana wenyeji sio watu ni manyani, nitoe wito kwa wizara kubadili machapisho haya yenye kutujingaisha.
Stone ni mzungu wawanza KUONA ziwa viktoria full stop
 
Nakubali kugundua wanyama ambo hata sisi kwa macho yetu hatuendi porini kuwaona, lakini ziwaRweru, Nyanza eti liligunduliwa siyo sawa sema aliliweka kwenye ramani ya ulimwengu maana sisi hatuna culture cha kuchora ramani.
 
kugundua kivipi ziwa victoria?

Kuliona?

Kama ni kuliona jee ina maana yeye ndo wa kwanza kuliona mpaka isemwe kagundua yeye?

Au kaonyeshwa ?
 
Umewahi kujiuliza huyu jamaa asingeligundua wakazi wa kule wangekuwa na hali gani?tumshukuru leo hii tunapata na samaki.bila ugunduzi wake.lile ziwa hata lingepotea au kuzama kabisa.
 
Back
Top Bottom