Wanaojielewa humu wote washaoa.Mie nimempata mpenzi ila ameoa ni wa jf ni handsome balaa na anasifa nyingi tu muelewa na anafuraha kila saa tokea 2019 hadi 2022 nipo naye tu
Tunapoelekea nisiri yetu haiwausu.
Mume humu Badoo
Ndo maana ake!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha tu[emoji16],mie sitaki[emoji706]
Kuchunguliwa na kila mtu siyo ishu aisee,
Ukimpata mmoja anaejielewa tulia nae,
Wala sihitaji mwenza wa huku, wa mtaani wanatoshaaa sanaaa.Acha uoga warembo wanajiamini au ulishampata mwenza wako humu? Bahati imekuchagua
Jaman mbona mnaandamana kuelekea chumba binafsi?
Kumbe humu wapweke ni wengi eeh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wale wenye wapenzi zaidi ya 10 wataishia soma comment[emoji2440]
Wee jf nami sitokii usintanieeee [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Na wana ishia kusema "hakuna kitu palee maji mara 1" afu huku jukwaani wanakupa hype kukujazaa, JF sihamiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Na wana ishia kusema "hakuna kitu palee maji mara 1" afu huku jukwaani wanakupa hype kukujazaa, JF sihamiiiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unauliza makofi policeKwamba kuna watu humu wana, wapenzi.zaidi ya wawili, humuhumu JF??
Ndiyo hivyo mlongoNdo maana ake!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnaniuaje Mbavuuuuuu zangu kwa kichekoo hukuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]!Sana,jamvi la wageni uwiiiih[emoji1787]
Wajuba wanapasiana tu huko pm[emoji3]
Si unajiona wewe ndiyo wewe tena kumbe wenzio wanakuzooom tu,
Weuweeeeeeeeeeh[emoji706]
Nakujaaa shoss akee!! Mie teinaaaaahh!!Sasa shougaaaa mie ushuhuda nautoa wapi? Hata cjawahi eti.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] afu shougaaa hebu njoo tsup unipe umbea kidg.
Kuna mmoja alimtoa mtu Mwanza akaja akampa elfu saba sijui na ngapi hivi, ili trend sana hapa JFMpeni maujanja na yeye aonje mashangazi wa JF
Bora utulie[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mimi sina comment maana naweza achwa kupitia hii thread
Ukizubaaa unapewa chambavu watu tunachukua jimbooo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]! Zubaa tu na ushamba wako ka mahoo hapa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!!Full kuvuruguana, yaan ni mkiki mkiki, no kuzubaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe ni konki aiseeHuu mtandao unachekesha
Unaweza mtaja bae wako uko proud nae kumbe kuna wenzako wanakuzoom tu..
Huongei na mtu leo mna beef kesho akija na id mpya unakuwa swahiba wake.
Unadate mtu mnagombana kesho akija na id mpya unazama pm yake unamtongoza upya bila kujua[emoji23]