CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
Cocastic ni mchumba[emoji849] huyo anayetaka kumchukua nitaroga toto la mtu, nionekane mbayaBado wewe kuingia kwenye orodha shossssssss [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]!! Nawe lazima upitirweeeee [emoji1787][emoji1787] wenzio tulijishebedua ivoivooooo Saivi tumeufyantaaaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Dj waletreeeeeeeeeeee [emoji126][emoji126][emoji126]
Acha tu, nikajifanya kuikimbilia ndoa, saa hizi inanitoa kamasi....naona aibu hata kumtafuta. Na sijui kabadili ID, Ila alikuwa mtu na nusu.Majuto ni vitukuu
Kiporo huwa hakihitaji moto mwingi kwenye kukipasha. Moto mwingi ni wakati wa kupika tu.Nilimpataga enzi hizo nasoma, alinitunza, alinisaidia ada....sijui ilikuwaje tunakaachana. Ila Mimi ndo nilikuwa tatizo, utoto ulikuwa mwingi.
Popote alipo namshukuru, sijawahi kusahau wema wake kwangu.
Nimependa Avatar yako
🤣🤣🤣 Hawezi kubali kiporo, nilimletea utoto sana.Kiporo huwa hakihitaji moto mwingi kwenye kukipasha. Moto mwingi ni wakati wa kupika tu.
Aibu hufunikwa na mapenzi. Mtafute tu kwa ID yake unayoijuaAcha tu, nikajifanya kuikimbilia ndoa, saa hizi inanitoa kamasi....naona aibu hata kumtafuta. Na sijui kabadili ID, Ila alikuwa mtu na nusu.
Ha haa hebu tuishie hapa tafadhaliNimependa pia ya kwako
🤣🤣🤣🤣🤣😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hebu hesabu walio nyuma yako, nataka nitafute prime [emoji648]. Woiiiiiih
🤣🤣🤣🤣 We kibokoAibu hufunikwa na mapenzi. Mtafute tu kwa ID yake unayoijua
Kha! Kwa hiyo ile 30k nilikutimia kumbe nimetumia dume lezangu😭😭😭😭😭😭Hi kweli usemalo?
Jishushe na uwe mdogo kama sisimizi..!! Hakunaga mkate mgumu kwenye chai🤣🤣🤣 Hawezi kubali kiporo, nilimletea utoto sana.
Hana mbambambaa kabesaaaaaa!!Na kweli umenyoooka km rulaaaaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kati yangu na kiboko nani kiboko?🤣🤣🤣🤣 We kiboko
Ndrrriiioooo ndrrriiioooo!!!! Hanaga shida kabesaaa shoss anguuu utaenjoy ✌️✌️✌️!!Cocastic ni mchumba[emoji849] huyo anayetaka kumchukua nitaroga toto la mtu, nionekane mbaya
Sent from my LND-L29 using JamiiForums mobile app
Ha haa hebu tuishie hapa tafadhali
MlongoooNa kweli umenyoooka km rulaaaaaaaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unavyonishawishi kupasha kiporo sasa🤣.Kwani kati yangu na kiboko nani kiboko?