Raymanu KE
JF-Expert Member
- Jan 20, 2022
- 8,611
- 16,118
Kila la heri mkuu humu kuna mabinti wabichi wengi tuu..Me niko serious afu sio Mzee [emoji4]
Kila la heri mkuu humu kuna mabinti wabichi wengi tuu..
DuuhTusiojua porojo hatukubaliki Mkuu
Kumbe mubebe ni ji shangazi π π πMimi nikiwa na Babe wangu wa JF kwenye mishemishe za kila sikuπππ
View attachment 2446265
Duuh
Naogopaaaaaaa mnooo kusimangwaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe babe muoga hivyo Depal ebu mfundishe ujasiri umuogope binadamu mwenzio kwamba atakuwa anakusimanga [emoji1787][emoji1787] hizo shida zake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa mnoooo mie. Cna moyoo wa kuvumilia kwa kweli. Naogopaaa mnoooooAnajishaua huyo hana lolote [emoji23][emoji23]
Ukute huko duniani bwanake ni yule X wangu ambae muda wowote nikimuita anakuja [emoji23][emoji23]
Em kasitusumbue
Cc cocastic
Acha uoga maneno hayauiNaogopaaaaaaa mnooo kusimangwaaaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesikia Ana mimba ya MINOCYCLINE πππHivi yule Joanah ameshindikana kbsa humu eti?
Naomba unitajie mkuu niruke naoHumu Kuna pc za. Kihindi na kikorea
Hii ni jamii watu wataachaje kujamiiana? πKumbe watu mnadinyanya gumu halafu hamsemi.
Wabaya sana nyie.
[emoji23][emoji23][emoji119]Huu mtandao unachekesha
Unaweza mtaja bae wako uko proud nae kumbe kuna wenzako wanakuzoom tu..
Huongei na mtu leo mna beef kesho akija na id mpya unakuwa swahiba wake.
Unadate mtu mnagombana kesho akija na id mpya unazama pm yake unamtongoza upya bila kujua[emoji23]
Mm niishawapata watatu humu. Mmoja nilimtolea mpaka mahari akazigua nikaachana nae ila jf ina mademu wazuriMitandao ya kijamii alimaarufu kama social media imekuwa nyenzo moja wapo tena kubwa sana ya watu kuanzishia mahusiano kwa miaka ya hivi karibuni.
Yaani unakutana na mtu online mnachat, mnabadilishana namba mnakutana live mnakulana na mishe zengine zinaendelea.
Imefikia hatua mpaka watu wanaingia kwenye ndoa ukifatilia walikutania wapi? Utaambiwa FB, mara insta mara twitter mara sijui wapi siku hizi mitandao ni mingi.
Je?? Humu JamiiForums, ushawahi kukutana na mtu mpaka mkawa wapenzi?
Japo naamini kwa nature ya JF ni ngumu kidogo watu ku'interact kwenye masuala binafsi ila kuna wale martin kadinda, duduke, nyoka pangoni, wanangu wa ngono zembe wao kupata mpenzi ni popote hata msibani.
........
Kama uliwahi kupata mpenzi em tuambie ilikuaje kuaje? Na mpaka sasa mmefikia hatua gani?