Ushawahi kupata mwenza humu JamiiForums?

Kwahiyo humu ndani mnakulana na hamsemi!! Watu mko na siri sana!!
 
Anajishaua huyo hana lolote [emoji23][emoji23]
Ukute huko duniani bwanake ni yule X wangu ambae muda wowote nikimuita anakuja [emoji23][emoji23]

Em kasitusumbue

Cc cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaaa mnoooo mie. Cna moyoo wa kuvumilia kwa kweli. Naogopaaa mnooooo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe watu mnadinyanya gumu halafu hamsemi.


Wabaya sana nyie.
 
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Mm niishawapata watatu humu. Mmoja nilimtolea mpaka mahari akazigua nikaachana nae ila jf ina mademu wazuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…