sergio 5
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 9,405
- 10,637
Habari za mda huu wakuu
Poleni watanzania kwa msiba wa Dkt. Faustine Ndugulile mwana CCM pekee aliyekuwa amebaki mwenye akili
Hii familia sijui wananipendea nini, anyway naamka na simu ya dada yao tulieachana miaka mingi japo sitaki kurudi
Unatoka hiyo inaingia ya mdogo wao wa kike ka first year kanaulizia mambo flani ya chuo 😁
Sasa hivi natoka kuongea na kaka Yao ananiambia nakupitia ukamsalimie sister angu bhana ni dereva ninagoma huenda kaolewa nitauawa anasisitiza unafeli wewe tu kuyajenga nae
Hawa watakuja kuniroga
Poleni watanzania kwa msiba wa Dkt. Faustine Ndugulile mwana CCM pekee aliyekuwa amebaki mwenye akili
Hii familia sijui wananipendea nini, anyway naamka na simu ya dada yao tulieachana miaka mingi japo sitaki kurudi
Unatoka hiyo inaingia ya mdogo wao wa kike ka first year kanaulizia mambo flani ya chuo 😁
Sasa hivi natoka kuongea na kaka Yao ananiambia nakupitia ukamsalimie sister angu bhana ni dereva ninagoma huenda kaolewa nitauawa anasisitiza unafeli wewe tu kuyajenga nae
Hawa watakuja kuniroga