Sijawahi na kipindi nipo chuo dada yao alikuwa ananisomesha😁Tuhela twenu mlikuwa mnahonga familia nzima ili waseme Shem ana hela alafu mnakuja hapa kutuuliza eti kwanini mnapendwa 😠
Tupumzisheni tuna Mambo mengi ya kufanya hapa msibani kwa Kaka Fau
mliachana kisa nini sasaUnanikumbusha kipindi naachana na x wangu jinsi familia nzima ilivyokua inapambana kutetea nisimuache dada yao.
Tupo kwenye operation ya kuwakamata akina Mario wote na kuwafunga kwa mwaka mmoja .Sijawahi na kipindi nipo chuo dada yao alikuwa ananisomesha😁
Ungekataa ata wewe?Tupo kwenye operation ya kuwakamata akina Mario wote na kuwafunga kwa mwaka mmoja .
Nilikomenti vile ili niweze kujua uliwahi kuwa Mario au hapana ,Sasa soon vijana wangu watakuchukua kwa mahojiano zaidi.
Poor Tanzania ,poor youth of Tanzania
Basi wanakuona ni katoto kao ka hiyariUngekataa ata wewe?
Huwa ananipigia simu kudai pesa zake 😁
Lipa hela ya watuUngekataa ata wewe?
Huwa ananipigia simu kudai pesa zake 😁
Haha!!siyo BAVICHABora kuliko kuwa uvccm
🤣🤣Tuhela twenu mlikuwa mnahonga familia nzima ili waseme Shem ana hela alafu mnakuja hapa kutuuliza eti kwanini mnapendwa 😠
Tupumzisheni tuna Mambo mengi ya kufanya hapa msibani kwa Kaka Fau
Sawa, lakini yeye pia anakupenda pamoja na dada zake.Sasa si ananisukumizia dada zake