Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenikumbusha Msukuma mmoja hvi dah 🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 3240508Ilikuwaje? 😄
Hii ni habari au hoja?View attachment 3240508Ilikuwaje? 😄
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikikwambia sina hata mia kuwa muelewa wewe unaona mia hapoView attachment 3240529
Nimecheka had baas, [emoji23][emoji23][emoji23]Kuna siku nilipanda basi kwenye siti yangu ikabaki nafasi moja, kuna bidada mmoja mwenye shep matata nilitegemea aje akae yeye badala yake akasukumwa na mbwiga mmoja akawahi siti , yani nilitamani nimnase kibao yule fala basi tu.
Kuku za Juzi haswaa,waziongezea ndimu tuðŸ¤Mwache ale as long as hakubugdhi, binafsi sio mpenda kula njiani na zile kuku zao za juzi.
Bora safari za usiku, hamnaga kero za watu wa namna hiyo ila mchana unakuta mtu kafunga msosi toka kwake na bado njiani anakula hovyo.
Kuna jambo linaweza kuathiri assume umekaa siti moja na mtu anatafuna kama nguruwe nlanlanlanla nla ,nakulamba mavidole kama jinga🤔Wanadamu tumeumbwa tofauti na kila mmoja ana hulka na utashi wake.... ili kuweka msawazo kwenye jamii tunapaswa kuvumiliana.......
Kama jambo lake halikuathiri moja kwa moja wewe basi yapaswa kumvumilia tu
Hayo ndio mapungufu yenyewe sasa....kama mwenyewe analamba madole yake sio kesi......labda kama anakulamba na wewe vidole vyako bila ridhaa yako....Kuna jambo linaweza kuathiri assume umekaa siti moja na mtu anatafuna kama nguruwe nlanlanlanla nla ,nakulamba mavidole kama jinga🤔