msapinungu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 839
- 692
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
utakuja kuwekewa madawa ya kulevya mwisho uibiwe kwa kupenda kukaribishwa vyakula na watu usiowajua.Wanakera sana, ni wasumbufu kutaka gari lisimame porini wakajisaidi a.k.a kuchimba dawa. Wengine ni wachoyo wanakula wenyewe tu hukaribishwi, hao wacho huwa wananifanya na mimi niwe huru kula bila kukaribisha mtu. Kuna wengine ukiwakaribisha wanakuambia asante tu hawali ila hununua vyao na kula. Sinaga swaga za kulakula hovyohovyo garini na kukaribisha mtu anayekataa kula changu. Bora ninunue karanga au biskuti nisukumie na maji au soda/juisi nile kimya kimya. Sipendi nikaribishe mtu halafu anikatalie
Ulimuonea sana, tumbo likivurugika msaada popote mkuu.Kuna siku nasafiri na usafiri binafsi na mama watoto. Tumefika Korogwe tukaingia mgahawani mimi nikachukua chai ya rangi na andazi tu. Yeye sasa anapenda kula balaa kasomba mazaga kibao na chai nikamwambia utavuruga tumbo hilo na tuko safarini utapata shida, anaona napenda kumsema kwenye misosi. Tumetoka hapo Korogwe tukapita Mombo hapo tushatembea kidogo kutoka Mombo tumbo likaanza kumkomesha. Na pale hakuna sehemu ya maana hadi Same. Nikamwambia hapa ni mpaka Same lakini ukizidiwa tutasimama utaingi kwenye mashamba ya katani hayo umalize shida zako. Nilikanyaga gari siku hio baada kama ya 45minutes tukafika Same akaenda msalani tangu siku hio anajifikiria kabla ya kula kula hovyo.
Kwani lazima urejelee msukuma kama mfano madako gaweeUmenikumbusha Msukuma mmoja hvi dah 🤣🤣🤣🤣🤣
Wasukuma,waha na wamasai(hawa ni careless)View attachment 3240508Ilikuwaje? 😄
Duh uwongo njia yake fupi, unamsafirisha toka Arusha, tena kutokea ubungo anakula tu? Acha urongoSiku niko na dogo toka mkoani Arusha nampeleka kijijini Mbeya ilikua tabu.
Kuanzia ubungo ye anatafuna kila anachokiona, teremshia mimaji , chai, Coca-Cola twende.
Kufika ruvu tu kuitafuta moro alikoma.
Mpaka tufike msamvu hadi analia.
Toka pale katia adabu
Sasa km ndio msukuma kwanini asiseme? Wasukuma mnajulikana kwa ushamba hakuna anayeshangaaKwani lazima urejelee msukuma kama mfano madako gawee
Tumbo lisikie mwaka jana ilibidi nishuke sehemu hata sijui ni wapi najua tu ni tanzania😂Kuna dada alijinyea,bas zima likanuka mavi
alitoka arussha akaja dar nikampeleka mbeya bwege wewe nikudanganye ili iweje we nyauDuh uwongo njia yake fupi, unamsafirisha toka Arusha, tena kutokea ubungo anakula tu? Acha urongo
ndio nilishawahi nikitokea geita kuja dar,ila tumbo lilipomshika dereva alichelewa kusimamisha dar!!!"AKAJINYEA"View attachment 3240508Ilikuwaje? 😄
mzee baba huku kuna wa2 kazi yao ni kukosoa wa2 tu!!alitoka arussha akaja dar nikampeleka mbeya bwege wewe nikudanganye ili iweje we nyau