min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sure bro😆Hayo ndio mapungufu yenyewe sasa....kama mwenyewe analamba madole yake sio kesi......labda kama anakulamba na wewe vidole vyako bila ridhaa yako....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure bro😆Hayo ndio mapungufu yenyewe sasa....kama mwenyewe analamba madole yake sio kesi......labda kama anakulamba na wewe vidole vyako bila ridhaa yako....
Nimecheka hadi watu wananishangaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Umenikumbusha bana..... nilikuwa nasafiri na Rahaleo natoka Dar naelekea Tanga. Kuna mtu wa makamu tu kakaa dirishani na chupa yake ya Mango juice na keki. Tulipofika Kibaha Maili moja kanunua mayai ya kuchemsha, clips za viazi kaongeza na juice. Tunafika Chalinze kanunua mahindi ya kuchoma anakula tuuuu. mbele kidogo kapandishwa muuza korosho; jamaa anaye.... sasa watu wakaanza kumwangalia na kumshangaa, kwa kifupi alikuwa anakula muda wote vingine kaviweka kwenye vifuko. Tukiwa tunakaribia Segera ikatokea harufu mbaya sana kwenye gari; watu wa karibu wakamgeukia wakimshuku amejamba. Harufu ikazidi sana kuna jamaa akamwambia mzee umezidi bwanaaa ... jamaa akataharuki akasema unasemaje kwani mie ndie nimejamba???? Jamaa akamwambia ndio wewe umejamba.... mtu gani unakula njia nzimaa..... abiria tukacheka kwa sauti ikawa vurugu mle.. Mzee akasimama kashika siti kwa sauti akasema mie nakula nguvu zangu .... sijajamba mie... mwanionea wivu siyo? Jamaa mwingine karukia ... hakuna cha wivu hapa.... unakula mno hadi unakera ona sasa harufu basi zima. Lilizuka zogo la kufa mtu hadi konda alipokuja na kusema eneo lile lina harufu kutoka kwenye korona la katani ambalo halijatumika muda mrefu na sio ushuzi..... ndio kidogo watu walitulia lakini mzee alikuwa anafoka balaaa na watu ni vicheko tu
Waha haoView attachment 3240508Ilikuwaje? 😄
Arusha Nako kunastendi ya ubungoSiku niko na dogo toka mkoani Arusha nampeleka kijijini Mbeya ilikua tabu.
Kuanzia ubungo ye anatafuna kila anachokiona, teremshia mimaji , chai, Coca-Cola twende.
Kufika ruvu tu kuitafuta moro alikoma.
Mpaka tufike msamvu hadi analia.
Toka pale katia adabu
Huwa sinunui zile kuku zao za mchongo, acha nile kavu na mishikaki tu.Kuku za Juzi haswaa,waziongezea ndimu tuðŸ¤
Hakubughudhi vipi wakati muda wote mdomo nuka uko wazi na mara akumwagie vinywaji au chakulaMwache ale as long as hakubugdhi, binafsi sio mpenda kula njiani na zile kuku zao za juzi.
Bora safari za usiku, hamnaga kero za watu wa namna hiyo ila mchana unakuta mtu kafunga msosi toka kwake na bado njiani anakula hovyo.
Duh, usiombe kuwe na joto na majasho yanawatokaSikunimepanda Bus kwenda Iringa toka Dom King-Kross boda mtera hapo vumbi tu kubandeki, siti ya nyuma kule nimekaa e bana mbele mbele kati hapo wakazama wamasai wagogo rundo konda kawaleta kule nyuma e bana eeh waliingia na mtindi unanuka balaa alafu wenyewe wamejipaka mafuta ya samli.
Basi unaambiwa,mara mtindi wanashushia viazi vitamu na miwa huku wanakoroganya kilugha chao,
Fikiria waplipoanza kujamba sasa plus harufu yao nilijihisi niko kandahar
Ilibidi niombe ukimbizi dere akanipa hifadhi, vinginevyo ningekufa si utani.
Sasa mtu umekutana nae kwenye gari halafu itegemee akuamini kiasi cha kupokea chakula unachokula?Wanakera sana, ni wasumbufu kutaka gari lisimame porini wakajisaidi a.k.a kuchimba dawa. Wengine ni wachoyo wanakula wenyewe tu hukaribishwi, hao wacho huwa wananifanya na mimi niwe huru kula bila kukaribisha mtu. Kuna wengine ukiwakaribisha wanakuambia asante tu hawali ila hununua vyao na kula. Sinaga swaga za kulakula hovyohovyo garini na kukaribisha mtu anayekataa kula changu. Bora ninunue karanga au biskuti nisukumie na maji au soda/juisi nile kimya kimya. Sipendi nikaribishe mtu halafu anikatalie
basi poa kila mtu ale chake kimyakimya bila kukaribishanaSasa mtu umekutana nae kwenye gari halafu itegemee akuamini kiasi cha kupokea chakula unachokula?
Ungemwambia seat umemuwekea mtu na mtu mwenyewe ni huyo bidada.Kuna siku nilipanda basi kwenye siti yangu ikabaki nafasi moja, kuna bidada mmoja mwenye shep matata nilitegemea aje akae yeye badala yake akasukumwa na mbwiga mmoja akawahi siti , yani nilitamani nimnase kibao yule fala basi tu.
Hivi wakisafiri nja huwa inaongezeka? Kwanini mtu ale kila kituo?kuna safari nilisafiri kwenda Ddm kutoka Dar, nilikuwa nimepata siri ya dirishani, akaja dada mmoja mwenye watoto watatu, basi akaanza kuagiza vitumbua lete, karanga lete, mayai lete, juisi lete, sasa vikavurugana kule ndani, alinitapikia nilimmaindi, gari zima walimuwashia moto
wengine ni hulka yao, pengine wakiwa makwao hawapati nafasi ya kula vya barabaranHivi wakisafiri nja huwa inaongezeka? Kwanini mtu ale kila kituo?
😂😂😂Kuna siku nilipanda basi kwenye siti yangu ikabaki nafasi moja, kuna bidada mmoja mwenye shep matata nilitegemea aje akae yeye badala yake akasukumwa na mbwiga mmoja akawahi siti , yani nilitamani nimnase kibao yule fala basi tu.
Wapo wastaarabu mkuu, sio wote wanakula vibaya.Hakubughudhi vipi wakati muda wote mdomo nuka uko wazi na mara akumwagie vinywaji au chakula