Ushawahi kusafiri kwenye basi umekaa na mtu yeye kila anachokiona njian yeye anakula tu,

utakuja kuwekewa madawa ya kulevya mwisho uibiwe kwa kupenda kukaribishwa vyakula na watu usiowajua.

Kuna siku nilipanda basi na wamasai wametoka mnadani kuuza ng'ombe walikuwa na vibunda vya maana .Kumbe walipotoka kuna jamaa walikuwa wanawalia timing..mmoja akakaa na mmasai ,njiani akatoa biscuit/juice hivi akampa mmasai.. jamaa ile kubugia tu akalewa na kuzima mazima..jamaa akamchomoa kibunda kisha akashukia njiani..

mmasai kuja kuamshwa hajielewi kalewa zaidi ya mlevi wenzake wakasema huyu hanywi pombe. Kumsachi kiunoni hana hata mia mbovu.
 
Ulimuonea sana, tumbo likivurugika msaada popote mkuu.
 
Duh uwongo njia yake fupi, unamsafirisha toka Arusha, tena kutokea ubungo anakula tu? Acha urongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…