Nyendo
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,336
- 4,731
Kuna watu wanaishi maisha ya ajabu sana, na wao wanaona ni sawa.
Kuna sehemu nilienda wakaanza kuandaa chakula, mara nikaona mpishi anapika mara akafutia sufuria na kanga aliyojifunga, nikasema tobaa hiki chakula siwezi kukila tena.
Usafi ni muhimu sana kwa mpishi kwani ukizingua kwenye usafi magonjwa ya milipuko kama kipindupindu hakiwezi kukuacha salama.
Ushawahi ona ushafu wa aina gani kwenye kuandaa chakula ukashindwa kula?
Kuna sehemu nilienda wakaanza kuandaa chakula, mara nikaona mpishi anapika mara akafutia sufuria na kanga aliyojifunga, nikasema tobaa hiki chakula siwezi kukila tena.
Usafi ni muhimu sana kwa mpishi kwani ukizingua kwenye usafi magonjwa ya milipuko kama kipindupindu hakiwezi kukuacha salama.
Ushawahi ona ushafu wa aina gani kwenye kuandaa chakula ukashindwa kula?