Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Gas ya buku si unatembea nayo kwenye mfuko wa koti tu!!!kuanzia Sh 1000 (Buku). Hawa jamaa wanafunga mita juu ya mitungi yao na wanakupa kadi janja maalum ambayo ina namba zako za malipo na unalipia kwenye Tigo Pesa, Airtel Mony, M Pesa n.k
kabisaTabata iko muda mrefu, ni mfumo kama wa uku
Swala si kununua kidogo kidogo swala ni je, nitapata ujazo sawia na kununua kwa pesa jumla?Kabisa, unafuu wake ni kuwa badala ya sh 23000-24000 unaweza kununua kidogokidogo kwa viwango vile vile
huajelewa, gesi ipo ndani ya mtungi ila mita inaruhusu kiwango cha gesi kulingana na malipo yakoGas ya buku si unatembea nayo kwenye mfuko wa koti tu!!!
Mtungi wa kg 15 nikitaka kulipia gas yote ni sh ngapi?Kabisa, unafuu wake ni kuwa badala ya sh 23000-24000 unaweza kununua kidogokidogo kwa viwango vile vile
Boss wenu kimeumanaa...!!habari, mitungi yetu ni ya kg 11 ambayo kwa makadirio mpaka unaisha unakuwa umetumia sh 45000
Yani ww ndio muhusika ila unajifanya unatoa namba ya muhusika....kwann hutak kujulikana kuwa ndio muhusika???....by the way issue ya Boss wenu vp tena au bado anajaribu kuchezeshahabari, mitungi yetu ni ya kg 11 ambayo kwa makadirio mpaka unaisha unakuwa umetumia sh 45000
Jifunze tofauti ya matumizi ya Jamii Forum na Facebook. Mada iliyopo unaiona usilete vitu visivyohusika.Yani ww ndio muhusika ila unajifanya unatoa namba ya muhusika....kwann hutak kujulikana kuwa ndio muhusika???....by the way issue ya Boss wenu vp tena au bado anajaribu kuchezesha