ms emmaa
Senior Member
- Jun 13, 2023
- 119
- 207
Daktari sasa itakuaje nikija kutibiwa na ulidesa paper
[emoji23]Mbona Tupo tunatibia watu fresh tu [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daktari sasa itakuaje nikija kutibiwa na ulidesa paper
Aisee. Hawa ndio wataalamu wetu walioandaliwa huko vyuoni.
Inasikitisha sana kwa kweli.
Daah ngoja tuendelee kuzingatia mlo na mazoezi tu[emoji23]Mbona Tupo tunatibia watu fresh tu [emoji23][emoji23]
Aliwakomeshaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tuliwahi kufanya hivi kwenye Supplementary, mlinzi akagundua akaenda kulitoa. Tulipoenda kupiga chabo kwa kisingizio cha kwenda Toi tukalikosa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi vitu vipo duniani koteAisee. Hawa ndio wataalamu wetu walioandaliwa huko vyuoni.
Inasikitisha sana kwa kweli.
Chuo nilichosoma mimi hizo saa haziruhusiwi ni kosa kisheria naona walishtuka mapemaKuna vifaa niliagiza nje ya nchi vina thamani ya laki 350k tu... ni miwani na saa yake ...hio saa unailisha mazaga ya kutosha na kwa macho ya kawaida huwez soma chochote kwny hio saa mpka uvae miwani yake ndo unaweza kusoma mzgo wowote uliouweka kwnye hio saa... nakumbuka kuna yale masomo yana notc nyingii hayo ndo nilikuwa natembea nayo nilikuwa nahamisha kama nilivo ... hata msimamizi akae mbele yangu hawez kuona chochote kwnye hio saa mpka awe kavaa miwani...nilikuwa nabutua sana tena sana
Nb: hivo vifaa ninavyo mpka leo na niliagiza croatia kutoka kwa supplier.. ni smartwach na miwani yake.
Daahh, alituweza sana.Aliwakomeshaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna comment yako moja kwenye ule uzi unaozungumzia kama umewahi kufanya kazi gani ya hovyo, ukasema ulienda kuomba kazi ukaishia kupewa buku tu ukanywe chai maana jamaa walipokutazama tu waliona umechoka hujiwezi kabisa 🤣🤣🤣[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ulistop kuwa kama J Plus ukaona sasa uwe Chen Hu moja kwa mojaShule ya msingi na sekondari nilikuwa kichwa. Nilipofika chuo akili ikaniambia kule ulikotoka ni champioship na hii ni ligi ya wakubwa, changanya na zako. Basi nikawa kila pepa lazima niingie na weapons of mass destruction.
Aiseee[emoji23][emoji23]aisee kuna kikaka kilikuwa kinanipenda pale MUHAS alikuwa anaingia na simu afu mimi nakaa nyuma yake akimalz pepa ananipasia aisee popote ulipo japhet Ubarikiwe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kutumia vibomu kwa njia yoyote ile.Daahh, alituweza sana.
Jambo la kufurahisha ni kuwa niliyoyaandika mule nilikuwa nimejitahidi pia kuyameza ila ukiwa kwenye room temperature(pepa) unakuwa na presha na kusahau haraka. Sasa oblongata ilipogota si nikasema ngoja nikacheki mzigo toi. Kufika tu nikakuta jamaa kafanya yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna comment yako moja kwenye ule uzi unaozungumzia kama umewahi kufanya kazi gani ya hovyo, ukasema ulienda kuomba kazi ukaishia kupewa buku tu ukanywe chai maana jamaa walipokutazama tu waliona umechoka hujiwezi kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huenda ulisoma kozi rahisi chuo.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sijawahi kutumia vibomu kwa njia yoyote ile.
Ila Necta 4m 4, pepa la bios, mtu alikosea kurusha kibomu kikatua kwangu, sitasahau kamwee.
Kumbe ni mtu wa afya. Afadhari. Siyo wewe aisee. Nilikuwa nakufananisha na mtu fulani hivi somewhere na sikutaka awepo JF at least for now. Hahaaaa[emoji23]Mbona Tupo tunatibia watu fresh tu [emoji23][emoji23]