Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,711
- 3,279
Habari wakuu,
Hii kitu naiona kwa upande wangu sijui kwa nyie wenzangu. Yaani upo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu na mpo karibu lakini kupata penzi ni kwa manati. Hapa naongelea wale ambao hatujaoa sijui kwa wale wanaoishi pamoja hali ikoje.
Binafsi mimi sinaga tabia ya kuanza kujiliza liza kwa mtu japo inaumiza sana. Yaani inafikia hadi miezi miwili na kuendelea hujalamba kitu dah! ila story mnapiga fresh tu lakini siku ukimpanga aje hiyo siku inapita hivi hivi na haoneshi hata kujali na siku zinasonga.
Je, kwa ambao yashawakuta huwa mnahandle vipi?
TUTAFUTE PESA ZA KUTOSHA KWA KWELI.
Hii kitu naiona kwa upande wangu sijui kwa nyie wenzangu. Yaani upo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu na mpo karibu lakini kupata penzi ni kwa manati. Hapa naongelea wale ambao hatujaoa sijui kwa wale wanaoishi pamoja hali ikoje.
Binafsi mimi sinaga tabia ya kuanza kujiliza liza kwa mtu japo inaumiza sana. Yaani inafikia hadi miezi miwili na kuendelea hujalamba kitu dah! ila story mnapiga fresh tu lakini siku ukimpanga aje hiyo siku inapita hivi hivi na haoneshi hata kujali na siku zinasonga.
Je, kwa ambao yashawakuta huwa mnahandle vipi?
TUTAFUTE PESA ZA KUTOSHA KWA KWELI.