Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si Uishi mwenyewe kua sista[emoji23]
Karibu chamani.Sure kaka kuanzia jana nimezika rasmi mahusiano na nimerudi kwenye chama chetu
Japo nikiri nlikua nampenda sana nayeye kwenye sms anaonesha anajali lakini suala la kutoa mzigo naona labda sistahili.
So Sitajibu sms wala kupokea simu yake
Dah! lingekua suala jingine ningemwambiaKaribu chamani.
Ila mchane usimwache hewani hewani
Mtafute mwambie hii mambo yakukunyima mchezo uintateini na unaona hana umuhimu kwako na kama maana hiyo pia wew huna umuhimu kwake hivyo unamuacha rasmi na anakaa akijua umemuacha kwa sababu hiyo.
#Utekelezaji Mwema.
Chak unazingua[emoji39]Miezi miwili ni michache mkuu..
Huwa tunakaaga mwaka.
Mwisho wa yote pole sana..muda ukifika utalamba mpka uchoke.
Ndo ukweli huo lakini😅😅😅Chak unazingua[emoji39]
Si rahisi Mtu uhudumiwe Kama mpenzi then ugome kutoa papuchi ,Nina wasiwasi na mtoa mada hasimami katika zamu yake
Asa kuanza kutafuta kwingine wakati una mtu na anajinadi anakupenda ina maana gani mkuu
Hata akioa namuhakikishia hawezi pata kila siku, ila ajitahidi aoe tu awe anapimiwa mafungu makubwa makubwa kuliko sasaKama unataka kila siku si uoe tu
Pole sanaHabari wakuu,
Hii kitu naiona kwa upande wangu sijui kwa nyie wenzangu. Yaani upo kwenye mahusiano ya kimapenzi na mtu na mpo karibu lakini kupata penzi ni kwa manati. Hapa naongelea wale ambao hatujaoa sijui kwa wale wanaoishi pamoja hali ikoje.
Binafsi mimi sinaga tabia ya kuanza kujiliza liza kwa mtu japo inaumiza sana. Yaani inafikia hadi miezi miwili na kuendelea hujalamba kitu dah! ila story mnapiga fresh tu lakini siku ukimpanga aje hiyo siku inapita hivi hivi na haoneshi hata kujali na siku zinasonga.
Je, kwa ambao yashawakuta huwa mnahandle vipi?
TUTAFUTE PESA ZA KUTOSHA KWA KWELI.